Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

Habari za jumapili wana JamiiForums

Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu wa kufikiria naona unapungua.Akiamka asubuhi amenuna,naona matumizi yangu ya pesa yapo juu maana anataka vitu vizuri vizuri tu,yaani hawazi future na ukileta habari za maendeleo hazitaki kabisa anapenda mambo ya tamthilia na story za maigizo mengi,ukimkataza kuhusu hayo mambo ya kufikirika ananuna siku nzima,na mimi sitaki kuifuata akili yake naona ananipoteza tu naana ni nosense.

Aisee kuishi na mtu mpaka mzeeke ni sawa na kubeba bomu la kurusha kwa mkono kwenye begi la mgongoni
Aaa we mi sitaki haya mambo.
Bila shaka anatako kubwa eee
 
Habari za jumapili wana JamiiForums

Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu wa kufikiria naona unapungua.Akiamka asubuhi amenuna,naona matumizi yangu ya pesa yapo juu maana anataka vitu vizuri vizuri tu,yaani hawazi future na ukileta habari za maendeleo hazitaki kabisa anapenda mambo ya tamthilia na story za maigizo mengi,ukimkataza kuhusu hayo mambo ya kufikirika ananuna siku nzima,na mimi sitaki kuifuata akili yake naona ananipoteza tu naana ni nosense.

Aisee kuishi na mtu mpaka mzeeke ni sawa na kubeba bomu la kurusha kwa mkono kwenye begi la mgongoni
Aaa we mi sitaki haya mambo.
we ni mvulana siyo mume
 
Habari za jumapili wana JamiiForums

Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu wa kufikiria naona unapungua.Akiamka asubuhi amenuna,naona matumizi yangu ya pesa yapo juu maana anataka vitu vizuri vizuri tu,yaani hawazi future na ukileta habari za maendeleo hazitaki kabisa anapenda mambo ya tamthilia na story za maigizo mengi,ukimkataza kuhusu hayo mambo ya kufikirika ananuna siku nzima,na mimi sitaki kuifuata akili yake naona ananipoteza tu naana ni nosense.

Aisee kuishi na mtu mpaka mzeeke ni sawa na kubeba bomu la kurusha kwa mkono kwenye begi la mgongoni
Aaa we mi sitaki haya mambo.
Sio compatible.
 
Wengi aisee naona ni utoto unakua unawasumbua vumilia usiache kumfundisha ila zaidi ya yote uwe na msimamo na usitetereke
 
Ndoa ni utapeli.

Yaani umelifuga toto la mtu, unalilisha mauji na maugali unaishia kuambulia papuchi ambayo haina hata jotro.

Kwa walafi wa papuchi lazima waoe, ndio maana mume wangu aliamua kunioa kwa sababu ni mlaku wa papuchi. Ananizagamua vilivyo.

Kijana sikushauri uoe. Ndoa ni biashara ya papuchi dhidi ya uhuru.

Labda tu uwe mlaku wa papuchi.

Cc: Lamomy
Na akizoea kulishwa cku unamiambia ondoka anachanganyikiwa kabisa kwakua amezoea ganda la ndizi
 
Mkuu at your age 33 yrs means upo hatua ya kutafuta usahihi kwa vitu vingi including intimacy , wife , job , and etc.

The point to note.

Nakupa hii siri unapohitaji kitafuta MTU wa kuishi naye hakikisha anafundishika.

MTU anayefundishika mta-settle vizuri atajua what is right what is wrong.


Hivyo usianze kumfukuza Ila jaribu kwenda naye taratibu kwa kuwa humble ,kumsikiliza na kusikiliza na uanze mfundisha ni vipi awe .


Endelea kukuza ufahamu wako , taratbu.
Kuna mmoja nilianza kuishi nae kwa style ya sogea tuishi.

Nikawa namrekebisha huko kumfundisha unako kusema

Jibu alilonipa ni kwamba mbwa mzee hafundishwi kunusa!!!


baada ya hapo ikawa ni mabishano mwanzo mwisho.

Tumekaa tu 3months

Nikamwambia wewe nenda tu.
 
Habari za jumapili wana JamiiForums

Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu wa kufikiria naona unapungua.Akiamka asubuhi amenuna,naona matumizi yangu ya pesa yapo juu maana anataka vitu vizuri vizuri tu,yaani hawazi future na ukileta habari za maendeleo hazitaki kabisa anapenda mambo ya tamthilia na story za maigizo mengi,ukimkataza kuhusu hayo mambo ya kufikirika ananuna siku nzima,na mimi sitaki kuifuata akili yake naona ananipoteza tu naana ni nosense.

Aisee kuishi na mtu mpaka mzeeke ni sawa na kubeba bomu la kurusha kwa mkono kwenye begi la mgongoni
Aaa we mi sitaki haya mambo.
Umemuweka ndani mtoto mdogo
 
Mbona ni mtu mzima ambae ana akir za kitoto maisha ya ndoa yanahitaj akir na kuish kirafiki ili muweze kwenda mbele kimaendeleo Kwa kushauriana hapo nyie kushauliana ni ngumu
Huyu itakuwa alioa ile style ya kuchukuwa chako mapema kabla umri hujaenda sana nimeona hapo ana miaka 33

Huyu mwanamke hana historia nae japo 1year
 
Back
Top Bottom