Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

Mnaoishi na wanawake mnawezaje? Miezi 3 naona kama miaka 44

Habari za jumapili wana JamiiForums

Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu wa kufikiria naona unapungua.Akiamka asubuhi amenuna,naona matumizi yangu ya pesa yapo juu maana anataka vitu vizuri vizuri tu,yaani hawazi future na ukileta habari za maendeleo hazitaki kabisa anapenda mambo ya tamthilia na story za maigizo mengi,ukimkataza kuhusu hayo mambo ya kufikirika ananuna siku nzima,na mimi sitaki kuifuata akili yake naona ananipoteza tu naana ni nosense.

Aisee kuishi na mtu mpaka mzeeke ni sawa na kubeba bomu la kurusha kwa mkono kwenye begi la mgongoni
Aaa we mi sitaki haya mambo.
Nyie hampendani
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mie mwaka 2009 nikiwa na sogea tuishi kimara mwisho niliwahi ondoka na begi la nguo ru mgongoni, niliacha chumba na sebule full, laptop yani nilikuwa well furnished kiukweli, aisee nikadanganya nimepata kakazi moro mpaka leo.
Shida ilikuwa nn?
 
Habari za jumapili wana JamiiForums

Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu wa kufikiria naona unapungua.Akiamka asubuhi amenuna,naona matumizi yangu ya pesa yapo juu maana anataka vitu vizuri vizuri tu,yaani hawazi future na ukileta habari za maendeleo hazitaki kabisa anapenda mambo ya tamthilia na story za maigizo mengi,ukimkataza kuhusu hayo mambo ya kufikirika ananuna siku nzima,na mimi sitaki kuifuata akili yake naona ananipoteza tu naana ni nosense.

Aisee kuishi na mtu mpaka mzeeke ni sawa na kubeba bomu la kurusha kwa mkono kwenye begi la mgongoni
Aaa we mi sitaki haya mambo.
Huyo mwanamke inaonekana uliamua kuishi naye ili upate mbususu muda wote na sio mtu sahihi kwako
 
Habari za jumapili wana JamiiForums

Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu wa kufikiria naona unapungua.Akiamka asubuhi amenuna,naona matumizi yangu ya pesa yapo juu maana anataka vitu vizuri vizuri tu,yaani hawazi future na ukileta habari za maendeleo hazitaki kabisa anapenda mambo ya tamthilia na story za maigizo mengi,ukimkataza kuhusu hayo mambo ya kufikirika ananuna siku nzima,na mimi sitaki kuifuata akili yake naona ananipoteza tu naana ni nosense.

Aisee kuishi na mtu mpaka mzeeke ni sawa na kubeba bomu la kurusha kwa mkono kwenye begi la mgongoni
Aaa we mi sitaki haya mambo.
Kwa hiyo ulihesabu kuanzia moja mpaka tisini ukagundua ni miezi mitatu kweli.
 
Bado hujaishi na mwanamke, unaishi na jini maimuna,
Ukiishi na mwanamke hutakuja kulalama lalama hapa labda uwe nawe na roho ya kike.
 
Since umeyataka mwenyewe sasa ngoja nikushauri.

Kwanza inabidi ujue kuwa ni ngumu sana kuishi kindoa na mwanamke,kama body count yako ni wanawake 5,inapaswa ili uwe mature kuoa,uwe at least umewahi kuwa na wanawake si chini ya 10.

Kwa sababu kuwajua wanawake ni kazi sana,na ili uoe inabidi uwe umemjua sana mwanamke/wanawake.

Wanawake ni viumbe tata sana,bora sisi wanaume ni rahisi mtu kujua ni watu wa aina gani,ila ogopa kuishi nyumba moja mtu ambaye humjui vizuri.

Sisi wanaume ni rahisi kujua kuwa huyu ni mlevi,mwizi,malaya,au ana hasira.

Ila mwanamke anaweza kuwa anavuta bangi ila wewe usijue kamwe,cos ni waigizaji wakubwa sana,na wajanja sana(tena sana).

Imagine mtu unaishi nae miaka 30 plus then unakuja gundua watoto unaodhani kuwa wako sio wako??

USHAURI WANGU SASA,we mwache tu afanye anachofanya au anachopenda,ni vyema kama ushajua kuwa hapendi kuskia habari za maendeleo,basi usimshirikishe.

Huwezi lazimisha apende unachopenda wewe,halafu wanawake wengi sana wanapenda maigizo na hizo drama za kwenye tv,ukijaribu kumkataza ataenda kusema unamnyanyasa.

Ni wazi kuwa unataka yeye aishi kama wewe,kitu ambacho hakiwezekani,WEWE NI KIONGOZI WA NYUMBA ,FANYA MAMBO KAMA KIONGOZI NA YEYE AKIONA MAMBO YANA FLOW VIZURI ATAONA SABABU YA KUKUUNGA MKONO.

kuwajua wanawake wanataka nini duniani haiji kuwezekana wakuu,tusijidanganye.
 
Ulipoamua kuishi na malaya ulitegemea nini?

Nani alikwambia unaweza kumbadilisha malaya awe mke?

You chose to ignore her past and red flags and you think you have the right to blame her for her actions?

A foolish man
 
Back
Top Bottom