Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Kwa taarifa mwambie mimi nikifikisha 60 ndipo nitajenga ghorofa langu! Kwa nini mtu anipangie bwana!Wengi wanaangalia future ghorofa huwa na muonekano mzuri pia inasave nafasi ambayo unaweza ukaweka grden na parking
By the way speaking of uzee, sio kila anayejenga ni old age kuna wengine wapo Mid 20's sasa 40 years to come asiisho kwenye ghorofa kisa tu akiwa 65 itamsumbua, wakati haya ndio mazoezi mazuri kabisa kwake
PS: hata ukija kuzeeka, wajukuu wapo tu
Hata moja unaweka liftHivi lift inatakiwa kwenye nyumba inayoanzia gorofa ngapi...?
Salam.
Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje
Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.
Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?
Nyumba za ghorofa zina changamoto nyingi
Ghorofa zibaki kwa vitega uchumi na maofisi tu lakini kwa ajili ya kuishi Jenga nyumba ya kawaida.
hivi lift inatakiwa kwenye nyumba inayoanzia gorofa ngapi...?
Umasikini unakusumbuaWabongo wengi wanaamini ukijenga ghorofa uko matawi ya juu wakati sio kweli[emoji1]kawaida sana
♥️Tunajenga ghorofa kwa sababu eneo ni dogo na familia ni kubwa inabidi nyumba ibebe nyumba mwenzake ili tuenee.
Space 80%Salam.
Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje
Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.
Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?
Nyumba za ghorofa zina changamoto nyingi
Ghorofa zibaki kwa vitega uchumi na maofisi tu lakini kwa ajili ya kuishi Jenga nyumba ya kawaida.
Kama unavyokusumbua wewe ghorofa sio utajiri kenge weUmasikini unakusumbua