Mnaojiita Vyama Pinzani Tanzania msipokubali kuacha ubinafsi na kuwatumikia Wananchi kwa Elimu ya Siasa Ikulu mtapasikiga tuu

Wanaojua wameshindwa ni wale wanaojichapishia makaratasi yao ya kura majumbani, kujiwekea tiki wao wenyewe na kuzipeleka katika vituo vya kura chini ya ulinzi wa polisi. Kama unajua utashinda kwa nini uchapishe makaratasi yako mwenyewe nyumbani?
 
Wanaojua wameshindwa ni wale wanaojichapishia makaratasi yao ya kura majumbani, kujiwekea tiki wao wenyewe na kuzipeleka katika vituo vya kura chini ya ulinzi wa polisi. Kama unajua utashinda kwa nini uchapishe makaratasi yako mwenyewe nyumbani?

Wanaojiita wana nguvu ya umma lakini wanalialia kwa tatizo hilohilo miaka30 bila suluhu tunawaitaje!?

Hivi kina Chief Mkwawa walioweza kumtingisha mzungu aliyekua na technojia ile kipindi kile wangekua wamelegea na kulialia hivi hili taifa lingekuepo kweli

Vitu vingine ni aibu buana
 

Huwa nashangaa inakuaje watu wazima timamu wanalalamikia tatizo moja miaka30 bila kupata utatuzi!?
Hii ni wazi kabisa hakuna wanachokiweza zaidi ya kulialia na kuomba huruma ya ccm
 
Sijui unaombea nini? Vita? Akili mbovu sana. Ndio maana mnaajiriwa wa fomu 4 division 3 na 4 tu.
 
Sidhani kama wewe ni mwananchi Wa kawaida wewe ni mnufaika wa utawala Wa ccm.
Masikini kabisa aliyeko vijijini na mijini hawezi kukuelewa. Maisha ni magumu vijijini na mijini usipime.
Kingine in hivi ccm haijawahi kushinda kihalali uchaguzi wowote.
Nyinyi bila policcm hamshindi, na wewe unalijua hili sema unajipendekeza tu.
 
Nadhani wapinzani ni wabinafsi na wanafiki sana ndio maana ikulu watapasikia tu.
Maana ni miaka 60 ya uhuru lakini bado hakuna maji Safi na salama, hakuna elimu wala huduma bora za afya.
Naona miaka yote kujisifu kufanya maendeleo lakini hakuna uchaguzi huru na haki zaidi ya kujaza makada wa chama kwenye nafasi mbalimbali za uteuzi ie maRC, maDC, maDED, mwenyekiti wa time pamoja na watumishi wengine wa time ya uchaguzi
Kweli upinzani ikulu wataisikia tuu maana bajeti ya serikali 80% ni kwa matumizi ya kawaida na 20% ni matumizi ya maendeleo yaani hela nyingi zinaenda kununua viete,kujaza mafuta kwenye misafara ya mwenge au kuzindua miradi ambayo sio endelevu
Kweli wapinzani ikulu wataisikia maana kundi kubwa la vijana hawana uhakika wa maisha kiuchumi na ajira huku waliambiwa wajiajiri bila sera na sheria zinazorahisisha na kuwezesha miundombinu ya kujiajiri na fursa za ajira kwa usawa
Kweli wapinzani ikulu watapasikia maana bunge linapitisha sheria za mapato na Kodi na tozo kandamizi bila kudhibiti matumizi ya serikali
 
Kwanini mnakataa katiba mpya, kwanini msiache watu wajadili na kutoa elimu ya uraia na katiba badala ya kutumia nguvu ya polisi kuzuia watu wasijadili
 
Jipe moyo tuu ndugu yangu sababu vyama pinzani vya nchi yako havina vinachofanya mfanano na huko ulikotaja

Acheni kumsingizia Mungu uzembe wenu
Lauryn Hill ni critical thinker
Hana akili mbovu kama zako
Nakuamrisha kuondoa picha yake na uweke ya shonza au dorithy gwajima
 
Lauryn Hill ni critical thinker
Hana akili mbovu kama zako
Nakuamrisha kuondoa picha yake na uweke ya shonza au dorithy gwajima

Hiyo kritkothinkin ya Lauryn Hill unaijua wewe

Kwendraaas
 
Fisi anamfundisha Swala jinsi gani ya kuepuka kuliwa na mbwa mwitu.
Only in Africa.
 
Unafikiri upinzani wa zambia walikua wachumia tumbo wa kutafuna ruzuku kama nyie!??
Endeleeni kujipa moyo ila msipotushawishi wananchi kura mtazisikia na maandamano mtafanya na wake na watoto zenu
Yaani wewe hata hujui kinachoendele. CMM wanapata ruzuku ya Serikali. CHADEMA wanapata michango ya wananchi.
Halafu helasio Kila kitu mje muelewage Hilo, Ni muhimu sana.
 
Yaani wewe hata hujui kinachoendele. CMM wanapata ruzuku ya Serikali. CHADEMA wanapata michango ya wananchi.
Halafu helasio Kila kitu mje muelewage Hilo, Ni muhimu sana.

Wewe ndio huelewi wala kujielewa kabisaaa
Sasa CMM ndio ndio nini๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„

Kwa hiyo Mbowe na Tundu walikuongopea kuwa hawapati ruzuku!? Pole kwa kutapeliwa
 
Wewe ndio huelewi wala kujielewa kabisaaa
Sasa CMM ndio ndio nini๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„

Kwa hiyo Mbowe na Tundu walikuongopea kuwa hawapati ruzuku!? Pole kwa kutapeliwa
Mnawanyayasa sana na hivyo viruzuku wamewaachia ili mchukue fungu lao mpate za kukipana posho wao uao wataipata kwa wananchi wanaowaunga mkono.
 
Hiki ndicho kilinifanya mimi niache kuiunga mkono chadema. Jamaa walitusaliti sana kwa pesa kiduchu tu. Hawaaminiki hawa, hakuna anayeweza kuwaamini vigeugeu.
Mama D umesema vizuri, chadema ya sasa hivi ni kagenge ka wahuni fulani tu wenye interest zao binafsi na wanakitumia chama ili kufanikisha hayo malengo yao binafsi. Hakuna chama hapo, ni utapeli mtupu.
 
Sawa usiiamini. Je unaamini kuwa tunaihitaji tume huru ya uchaguzi nakatiba mpya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ