Mnaojiita Vyama Pinzani Tanzania msipokubali kuacha ubinafsi na kuwatumikia Wananchi kwa Elimu ya Siasa Ikulu mtapasikiga tuu

Mnaojiita Vyama Pinzani Tanzania msipokubali kuacha ubinafsi na kuwatumikia Wananchi kwa Elimu ya Siasa Ikulu mtapasikiga tuu

CHADEMA na Vyama vingine vya upinzani wakati umefika sasa mkae chini na kujitafakari!

Tena mjitafakari na kuwa wakweli nafsini mwenu kwamba siasa mnazofanya ni kwa maslahi ya familia zenu huku vyama vyenu vikiwa havina hata misingi imara kwa jamii

Hakuna mtanzania anayekataa au asiyejua umuhimu wa upinzani katika taifa lakini hakuna mtanzania anayeweza kukubali upinzani usio na dira wala maslahi kwa wananchi walio wengi.

Vyama pinzani Tanzania vimekua vyama vya watu wachache ambao ni viongozi wa vyama hivyo. Vyama pinzani havina msingi imara sababu nguvu yao kubwa iko kwa viongozi huku wananchi wakiwa hajui wala kuona maslahi yoyote toka kwa vyama hivyo zaidi ya wao kutafutwa tuu wakati wa kupiga kura.

CCM wanaielewa jamii ya watanzania kwa uzuri sana ndio maana upinzani mnaishia kupumilia mashine kila uchaguzi.

Na kinachozidi kuwapoteza ni kwamba viongozi wote wa vyama vya upinzani sio wakweli kwa vyama vyenu wala kwenu wenyewe. Mmeshindwa kuwa wakweli sababu hamuangalii nyie na vyama vyenu vinawafanyia nini watanzania na nchi yetu kwa ujumla Ila mnaangalia tuu vyama vinawawezeshaje nyie binafsi na familia zenu kuishi maisha mazuri.
Watanzania wameshawaelewa na wanawapuuza sababu ubinafsi wenu umewafanya mjifikirie wenyewe na kusahau kwamba wananchi ndio mtaji wenu

Upinzani unapogeuka kuwa sehemu ya kujipatia rizki lazima malengo ya chama yasahaulike ili kufanikisha kwanza maslahi ya wachache.

Watanzania sio wajinga mnavyofikiria, ushirikiano wapinzani mliofanya na ccm hadi kufanikisha kumuondoa Lowasa kwenye nafasi ya uwaziri mkuu uliwajengea heshma kubwa na imani kwa jamii, na maana halisi ya upinzani ilidhihirika! Ila sasa, usaliti mlioufanya kwa wananchi kumpa huyohuyo jamaa nafasi ya kugombea urais haujasahaulika, hautosahaulika na hamjasamehewa
Wananchi wanajiuliza, kama Lowasa aliweza kuwanunua chadema wakageuka wasaliti kwao si taifa lolote lenye fedha linaweza kuitumia chadema kuwanunua watanzania?

Mkiweza kupata wataalamu wa siasa na uongozi nje ya vyama (wasiokua na maslahi binafsi) watakaoweza kufanya utafiti wa kueleweka jinsi ya kuimarisha chama na kujenga imani kwa wananchi. Mkamwacha huyo mtaalamu awatengenezee mfumo na mbinu za kujenga vyama
Mkamwacha awasimamie nyie viongozi ili kuhakikisha mnatimiza kile anachowaambia kwa muda uliopangwa mtainuka tena na kuwatumikia wananchi

Vinginevyo CCM itaendelea kuwa chama pekee chenye nguvu Tanzania na wapinzani mtaendelea kulalamika kwa tatizo lilelile miaka30

Na sisi kina mama D tutaendelea kusema KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan[emoji120]

Gross fallacy. Wewe sio mjinga; unaujua ukweli jinsi CCM inavyoshinda chaguzi zote. Kila mwenye akili anajua. Ulichoandika hapa hakina ukweli wala mantiki. Ni kubomoa taifa kupitia uongo mkuu. It’s embarrassing.
 
Bi Mkubwa katisha sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daah kwahiyo kabla mumewe hajachoma mtambo ulikua na shida ya network[emoji16][emoji16]huyu mama akili zake anazijua samia
 
Gross fallacy. Wewe sio mjinga; unaujua ukweli jinsi CCM inavyoshinda chaguzi zote. Kila mwenye akili anajua. Ulichoandika hapa hakina ukweli wala mantiki. Ni kubomoa taifa kupitia uongo mkuu. It’s embarrassing.

Ni aibu kwa watu wazima tena wenye akili timamu kulalamikia tatizo moja miaka 30 bila kulipatia suluhu ya kudumu

Halafu mlivyokua matapeli mkajuaga mkijiuza kwa Lowasa ndio mtashika dola😂😂😂😂
 
Vyama vya upinzani vyote vimejikita kudai chaka la katiba ambalo hata likiwekwa bado ikulu wataisikia tuu nahisi hata miaka 30 ijayo,, Hakuna siku chama chochote kimezungumzia swala la maisha ya mtanzania na kero zao za maisha bali kutudanganya tu ati wananchi wanadai katiba mpya na wapi alikutana nao wakamtuma hawatuonyeshi.

Katiba mpya takwa na hitaji la hao viongozi wa vyama vya upinzani kwani wanajua labda kwa kupitia chaka la katiba hata tume ya uchaguzi itakuja kuwa kichochoro cha wao kupitia kuelekea magogoni

Hawa watu ni hatari lkn kizuri watanzania wamewajua vizuri,,, Nenda kijijini uliza watu laki moja kama kuna mtu anaijua katiba hakuna sasa upinzani wametumwa na nani?

Wametumwa na tamaa na ndoto zao,,, Msomeni mzee Warioba alienguliwaje kwenye kinyang'anyiro cha urais huko nyuma muone ilikuwaje ili muone kwa nini anaongea kuhusu katiba mpya mpuuzeeni ana lake jambo!!!!
Kwahiyo hadi leo kero za huyo mtanzania hatuzijui? hivyo zinahitaji kuzungumzwa sana na wapinzani au zinatakiwa kutatuliwa na hao ccm waliozijua tokea enzi ya Nyerere (ujinga, maladhi na umaskini). Think guy!
 
CHADEMA na Vyama vingine vya upinzani wakati umefika sasa mkae chini na kujitafakari!

Tena mjitafakari na kuwa wakweli nafsini mwenu kwamba siasa mnazofanya ni kwa maslahi ya familia zenu huku vyama vyenu vikiwa havina hata misingi imara kwa jamii

Hakuna mtanzania anayekataa au asiyejua umuhimu wa upinzani katika taifa lakini hakuna mtanzania anayeweza kukubali upinzani usio na dira wala maslahi kwa wananchi walio wengi.

Vyama pinzani Tanzania vimekua vyama vya watu wachache ambao ni viongozi wa vyama hivyo. Vyama pinzani havina msingi imara sababu nguvu yao kubwa iko kwa viongozi huku wananchi wakiwa hajui wala kuona maslahi yoyote toka kwa vyama hivyo zaidi ya wao kutafutwa tuu wakati wa kupiga kura.

CCM wanaielewa jamii ya watanzania kwa uzuri sana ndio maana upinzani mnaishia kupumilia mashine kila uchaguzi.

Na kinachozidi kuwapoteza ni kwamba viongozi wote wa vyama vya upinzani sio wakweli kwa vyama vyenu wala kwenu wenyewe. Mmeshindwa kuwa wakweli sababu hamuangalii nyie na vyama vyenu vinawafanyia nini watanzania na nchi yetu kwa ujumla Ila mnaangalia tuu vyama vinawawezeshaje nyie binafsi na familia zenu kuishi maisha mazuri.
Watanzania wameshawaelewa na wanawapuuza sababu ubinafsi wenu umewafanya mjifikirie wenyewe na kusahau kwamba wananchi ndio mtaji wenu

Upinzani unapogeuka kuwa sehemu ya kujipatia rizki lazima malengo ya chama yasahaulike ili kufanikisha kwanza maslahi ya wachache.

Watanzania sio wajinga mnavyofikiria, ushirikiano wapinzani mliofanya na ccm hadi kufanikisha kumuondoa Lowasa kwenye nafasi ya uwaziri mkuu uliwajengea heshma kubwa na imani kwa jamii, na maana halisi ya upinzani ilidhihirika! Ila sasa, usaliti mlioufanya kwa wananchi kumpa huyohuyo jamaa nafasi ya kugombea urais haujasahaulika, hautosahaulika na hamjasamehewa
Wananchi wanajiuliza, kama Lowasa aliweza kuwanunua chadema wakageuka wasaliti kwao si taifa lolote lenye fedha linaweza kuitumia chadema kuwanunua watanzania?

Mkiweza kupata wataalamu wa siasa na uongozi nje ya vyama (wasiokua na maslahi binafsi) watakaoweza kufanya utafiti wa kueleweka jinsi ya kuimarisha chama na kujenga imani kwa wananchi. Mkamwacha huyo mtaalamu awatengenezee mfumo na mbinu za kujenga vyama
Mkamwacha awasimamie nyie viongozi ili kuhakikisha mnatimiza kile anachowaambia kwa muda uliopangwa mtainuka tena na kuwatumikia wananchi

Vinginevyo CCM itaendelea kuwa chama pekee chenye nguvu Tanzania na wapinzani mtaendelea kulalamika kwa tatizo lilelile miaka30

Na sisi kina mama D tutaendelea kusema KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan🙏
Kwani CCm hakuna wachumia tumbo. Ufisadi mkubwa wote uliowahi kufanywa nchini. Umetokea upinzani? Acha siasa za ajabu ndani ya platform ya kama hii. By the way Manaipa promo zaidi upinzani. Wapeni uhuru basi uone watakavyo kusukumia moto.
 
Hiki ndicho kilinifanya mimi niache kuiunga mkono chadema. Jamaa walitusaliti sana kwa pesa kiduchu tu. Hawaaminiki hawa, hakuna anayeweza kuwaamini vigeugeu.
Mama D umesema vizuri, chadema ya sasa hivi ni kagenge ka wahuni fulani tu wenye interest zao binafsi na wanakitumia chama ili kufanikisha hayo malengo yao binafsi. Hakuna chama hapo, ni utapeli mtupu.

Kwa viongozi wa Chadema pale zilipo pesa ndiko iliko mioyo yao
 
Hiki ndicho kilinifanya mimi niache kuiunga mkono chadema. Jamaa walitusaliti sana kwa pesa kiduchu tu. Hawaaminiki hawa, hakuna anayeweza kuwaamini vigeugeu.
Mama D umesema vizuri, chadema ya sasa hivi ni kagenge ka wahuni fulani tu wenye interest zao binafsi na wanakitumia chama ili kufanikisha hayo malengo yao binafsi. Hakuna chama hapo, ni utapeli mtupu.
Kweli kabisa,wabunge wetu watiifu kwa wananchi wametupitishia Tozo za mshikamano!!
 
Wapinzani wamegawanywa ni ngumu kuwa na umoja, hawaaminiani na wengi ni opportunistics......wanachokisema sicho wanachokiishi
 
CHADEMA na Vyama vingine vya upinzani wakati umefika sasa mkae chini na kujitafakari!

Tena mjitafakari na kuwa wakweli nafsini mwenu kwamba siasa mnazofanya ni kwa maslahi ya familia zenu huku vyama vyenu vikiwa havina hata misingi imara kwa jamii

Hakuna mtanzania anayekataa au asiyejua umuhimu wa upinzani katika taifa lakini hakuna mtanzania anayeweza kukubali upinzani usio na dira wala maslahi kwa wananchi walio wengi.

Vyama pinzani Tanzania vimekua vyama vya watu wachache ambao ni viongozi wa vyama hivyo. Vyama pinzani havina msingi imara sababu nguvu yao kubwa iko kwa viongozi huku wananchi wakiwa hajui wala kuona maslahi yoyote toka kwa vyama hivyo zaidi ya wao kutafutwa tuu wakati wa kupiga kura.

CCM wanaielewa jamii ya watanzania kwa uzuri sana ndio maana upinzani mnaishia kupumilia mashine kila uchaguzi.

Na kinachozidi kuwapoteza ni kwamba viongozi wote wa vyama vya upinzani sio wakweli kwa vyama vyenu wala kwenu wenyewe. Mmeshindwa kuwa wakweli sababu hamuangalii nyie na vyama vyenu vinawafanyia nini watanzania na nchi yetu kwa ujumla Ila mnaangalia tuu vyama vinawawezeshaje nyie binafsi na familia zenu kuishi maisha mazuri.
Watanzania wameshawaelewa na wanawapuuza sababu ubinafsi wenu umewafanya mjifikirie wenyewe na kusahau kwamba wananchi ndio mtaji wenu

Upinzani unapogeuka kuwa sehemu ya kujipatia rizki lazima malengo ya chama yasahaulike ili kufanikisha kwanza maslahi ya wachache.

Watanzania sio wajinga mnavyofikiria, ushirikiano wapinzani mliofanya na ccm hadi kufanikisha kumuondoa Lowasa kwenye nafasi ya uwaziri mkuu uliwajengea heshma kubwa na imani kwa jamii, na maana halisi ya upinzani ilidhihirika! Ila sasa, usaliti mlioufanya kwa wananchi kumpa huyohuyo jamaa nafasi ya kugombea urais haujasahaulika, hautosahaulika na hamjasamehewa
Wananchi wanajiuliza, kama Lowasa aliweza kuwanunua chadema wakageuka wasaliti kwao si taifa lolote lenye fedha linaweza kuitumia chadema kuwanunua watanzania?

Mkiweza kupata wataalamu wa siasa na uongozi nje ya vyama (wasiokua na maslahi binafsi) watakaoweza kufanya utafiti wa kueleweka jinsi ya kuimarisha chama na kujenga imani kwa wananchi. Mkamwacha huyo mtaalamu awatengenezee mfumo na mbinu za kujenga vyama
Mkamwacha awasimamie nyie viongozi ili kuhakikisha mnatimiza kile anachowaambia kwa muda uliopangwa mtainuka tena na kuwatumikia wananchi

Vinginevyo CCM itaendelea kuwa chama pekee chenye nguvu Tanzania na wapinzani mtaendelea kulalamika kwa tatizo lilelile miaka30

Na sisi kina mama D tutaendelea kusema KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan🙏
Mambo kadhaa wapinzani watendewe, ni kupewa haki ya kufanya mambo yao kwa mujibu wa Sheria bila kubughudhiwa.

1. Mikutano ya ndani na hadhara
2. Makongamano na mijadala mbalimbali
3. Maandamano ya Amani yaliyopo kisheria pale wanapotaka kupaza sauti zao.
4. CCM lazima iamini na ielewe na kukubali kuwa uongozi ni zamu na zamu zinapangwa na wananchi hivyo wananchi waachwe hurukugweka madarakani viongozi wao wanaowataka.
 
Mambo kadhaa wapinzani watendewe, ni kupewa haki ya kufanya mambo yao kwa mujibu wa Sheria bila kubughudhiwa.

1. Mikutano ya ndani na hadhara
2. Makongamano na mijadala mbalimbali
3. Maandamano ya Amani yaliyopo kisheria pale wanapotaka kupaza sauti zao.
4. CCM lazima iamini na ielewe na kukubali kuwa uongozi ni zamu na zamu zinapangwa na wananchi hivyo wananchi waachwe hurukugweka madarakani viongozi wao wanaowataka.

Hiiiiiiiii
 
CHADEMA na Vyama vingine vya upinzani wakati umefika sasa mkae chini na kujitafakari!

Tena mjitafakari na kuwa wakweli nafsini mwenu kwamba siasa mnazofanya ni kwa maslahi ya familia zenu huku vyama vyenu vikiwa havina hata misingi imara kwa jamii

Hakuna mtanzania anayekataa au asiyejua umuhimu wa upinzani katika taifa lakini hakuna mtanzania anayeweza kukubali upinzani usio na dira wala maslahi kwa wananchi walio wengi.

Vyama pinzani Tanzania vimekua vyama vya watu wachache ambao ni viongozi wa vyama hivyo. Vyama pinzani havina msingi imara sababu nguvu yao kubwa iko kwa viongozi huku wananchi wakiwa hajui wala kuona maslahi yoyote toka kwa vyama hivyo zaidi ya wao kutafutwa tuu wakati wa kupiga kura.

CCM wanaielewa jamii ya watanzania kwa uzuri sana ndio maana upinzani mnaishia kupumilia mashine kila uchaguzi.

Na kinachozidi kuwapoteza ni kwamba viongozi wote wa vyama vya upinzani sio wakweli kwa vyama vyenu wala kwenu wenyewe. Mmeshindwa kuwa wakweli sababu hamuangalii nyie na vyama vyenu vinawafanyia nini watanzania na nchi yetu kwa ujumla Ila mnaangalia tuu vyama vinawawezeshaje nyie binafsi na familia zenu kuishi maisha mazuri.
Watanzania wameshawaelewa na wanawapuuza sababu ubinafsi wenu umewafanya mjifikirie wenyewe na kusahau kwamba wananchi ndio mtaji wenu

Upinzani unapogeuka kuwa sehemu ya kujipatia rizki lazima malengo ya chama yasahaulike ili kufanikisha kwanza maslahi ya wachache.

Watanzania sio wajinga mnavyofikiria, ushirikiano wapinzani mliofanya na ccm hadi kufanikisha kumuondoa Lowasa kwenye nafasi ya uwaziri mkuu uliwajengea heshma kubwa na imani kwa jamii, na maana halisi ya upinzani ilidhihirika! Ila sasa, usaliti mlioufanya kwa wananchi kumpa huyohuyo jamaa nafasi ya kugombea urais haujasahaulika, hautosahaulika na hamjasamehewa
Wananchi wanajiuliza, kama Lowasa aliweza kuwanunua chadema wakageuka wasaliti kwao si taifa lolote lenye fedha linaweza kuitumia chadema kuwanunua watanzania?

Mkiweza kupata wataalamu wa siasa na uongozi nje ya vyama (wasiokua na maslahi binafsi) watakaoweza kufanya utafiti wa kueleweka jinsi ya kuimarisha chama na kujenga imani kwa wananchi. Mkamwacha huyo mtaalamu awatengenezee mfumo na mbinu za kujenga vyama
Mkamwacha awasimamie nyie viongozi ili kuhakikisha mnatimiza kile anachowaambia kwa muda uliopangwa mtainuka tena na kuwatumikia wananchi

Vinginevyo CCM itaendelea kuwa chama pekee chenye nguvu Tanzania na wapinzani mtaendelea kulalamika kwa tatizo lilelile miaka30

Na sisi kina mama D tutaendelea kusema KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan🙏
Mama D bwana ccm ilishaondoka tz iliyopo ipo pitia mlango wa nyuma that's ccm mna kibri sana
 
Kama ni kweli kwanini CCM wanaiba kura? Msijidanganya upinzani hautakufa Tanzania kama Chadema pekee wana wanachama wachangiaji 7M! ina maana chama chao kinakuwa
Kuishabikia Chadema ni kama kuwa kwenye ndoa ya manyanyaso.
Lazima uwe na mapenzi kama mashabiki wa Arsenal. Wanalia kila siku.
 
Tofauti sio vyama ni strategies. Viongozi wa wapinzani wa nchi hii wanakula ruzuku na familia zao badala ya kuimarisha vyama.

Kama hamtakua waaminifu na wenye dhamira ya dhati ya kujenga nchi hata mkawachukue NEC ya zambia mtashindwa tuuu

Acheni harakati za mitandaoni kaeni chini muimarishe vyama na mjenge nchi
Hebu yuwe serious kidogo mkuu, ruzuku ipi hiyo vyama pinzani vinakula?? Hii hii iliyotolewa au kuna nyingine wanapewa mlango wa nyuma??

Kwa siasa za nchi hii tunavilaumu bure tu hivyo vyama, kwanza tuwapongeze sana sana. Hebu fikiria mtu akivaa gwanda la chadema tu utasumbuliwa na polisi mpaka ukome.
Wamepigwa ban mikutano ya ndani, ruzuku ndio hiuo kiduchu huku chama tawala kikijipa mamilion.

Nadhani unajifariji tu mkuu yani unamchapa viboko mwanao halafu unajisifu kua umepigana.
 
CHADEMA na Vyama vingine vya upinzani wakati umefika sasa mkae chini na kujitafakari!

Tena mjitafakari na kuwa wakweli nafsini mwenu kwamba siasa mnazofanya ni kwa maslahi ya familia zenu huku vyama vyenu vikiwa havina hata misingi imara kwa jamii

Hakuna mtanzania anayekataa au asiyejua umuhimu wa upinzani katika taifa lakini hakuna mtanzania anayeweza kukubali upinzani usio na dira wala maslahi kwa wananchi walio wengi.

Vyama pinzani Tanzania vimekua vyama vya watu wachache ambao ni viongozi wa vyama hivyo. Vyama pinzani havina msingi imara sababu nguvu yao kubwa iko kwa viongozi huku wananchi wakiwa hajui wala kuona maslahi yoyote toka kwa vyama hivyo zaidi ya wao kutafutwa tuu wakati wa kupiga kura.

CCM wanaielewa jamii ya watanzania kwa uzuri sana ndio maana upinzani mnaishia kupumilia mashine kila uchaguzi.

Na kinachozidi kuwapoteza ni kwamba viongozi wote wa vyama vya upinzani sio wakweli kwa vyama vyenu wala kwenu wenyewe. Mmeshindwa kuwa wakweli sababu hamuangalii nyie na vyama vyenu vinawafanyia nini watanzania na nchi yetu kwa ujumla Ila mnaangalia tuu vyama vinawawezeshaje nyie binafsi na familia zenu kuishi maisha mazuri.
Watanzania wameshawaelewa na wanawapuuza sababu ubinafsi wenu umewafanya mjifikirie wenyewe na kusahau kwamba wananchi ndio mtaji wenu

Upinzani unapogeuka kuwa sehemu ya kujipatia rizki lazima malengo ya chama yasahaulike ili kufanikisha kwanza maslahi ya wachache.

Watanzania sio wajinga mnavyofikiria, ushirikiano wapinzani mliofanya na ccm hadi kufanikisha kumuondoa Lowasa kwenye nafasi ya uwaziri mkuu uliwajengea heshma kubwa na imani kwa jamii, na maana halisi ya upinzani ilidhihirika! Ila sasa, usaliti mlioufanya kwa wananchi kumpa huyohuyo jamaa nafasi ya kugombea urais haujasahaulika, hautosahaulika na hamjasamehewa
Wananchi wanajiuliza, kama Lowasa aliweza kuwanunua chadema wakageuka wasaliti kwao si taifa lolote lenye fedha linaweza kuitumia chadema kuwanunua watanzania?

Mkiweza kupata wataalamu wa siasa na uongozi nje ya vyama (wasiokua na maslahi binafsi) watakaoweza kufanya utafiti wa kueleweka jinsi ya kuimarisha chama na kujenga imani kwa wananchi. Mkamwacha huyo mtaalamu awatengenezee mfumo na mbinu za kujenga vyama
Mkamwacha awasimamie nyie viongozi ili kuhakikisha mnatimiza kile anachowaambia kwa muda uliopangwa mtainuka tena na kuwatumikia wananchi

Vinginevyo CCM itaendelea kuwa chama pekee chenye nguvu Tanzania na wapinzani mtaendelea kulalamika kwa tatizo lilelile miaka30

Na sisi kina mama D tutaendelea kusema KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan[emoji120]
Acha kelele lipa tozo

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe ni mwanaCCM eti yupo hapa anatoa ushauri kwa Chadema?

Tangu lini mwana CCM akawa na mapenzi mema na Chadema adui yake?

We know,huu si ushauri ni nonsense tupu.

Chadema hawajibiki kukubali ushauri wa yeyote kutoka CCM maana ana haki zote za kuamini ni ushauri mufilisi!

Eti Chadema wabinafsi?

Wabinafsi wa nini?Eti wanajijali,kwa kuiba wapi?Wakati wezi ni CCM wanaiba serikalini na kujaza matumbo yao?

Chadema yenyewe haichukui ruzuku popote,eti viongozi wao wabinafsi,kivipi kwa mfano?

Kwa kufungwa?Kwa kunyang'anywa mali zao?Kwa kupigwa?Kwa kunyang'anywa kura zao?

Tuna vichaa dunia hii na wewe ni mmoja wao aisee

Sijawahi kuwa mwanachama wa CCM wala chama chochote cha siasa

Ninachojua kama nchi tunahitaji upinzani imara kwa afya siasa na uchumi wa taifa letu

Vinginevyo acha makasiriko
 
CHADEMA na Vyama vingine vya upinzani wakati umefika sasa mkae chini na kujitafakari!

Tena mjitafakari na kuwa wakweli nafsini mwenu kwamba siasa mnazofanya ni kwa maslahi ya familia zenu huku vyama vyenu vikiwa havina hata misingi imara kwa jamii

Hakuna mtanzania anayekataa au asiyejua umuhimu wa upinzani katika taifa lakini hakuna mtanzania anayeweza kukubali upinzani usio na dira wala maslahi kwa wananchi walio wengi.

Vyama pinzani Tanzania vimekua vyama vya watu wachache ambao ni viongozi wa vyama hivyo. Vyama pinzani havina msingi imara sababu nguvu yao kubwa iko kwa viongozi huku wananchi wakiwa hajui wala kuona maslahi yoyote toka kwa vyama hivyo zaidi ya wao kutafutwa tuu wakati wa kupiga kura.

CCM wanaielewa jamii ya watanzania kwa uzuri sana ndio maana upinzani mnaishia kupumilia mashine kila uchaguzi.

Na kinachozidi kuwapoteza ni kwamba viongozi wote wa vyama vya upinzani sio wakweli kwa vyama vyenu wala kwenu wenyewe. Mmeshindwa kuwa wakweli sababu hamuangalii nyie na vyama vyenu vinawafanyia nini watanzania na nchi yetu kwa ujumla Ila mnaangalia tuu vyama vinawawezeshaje nyie binafsi na familia zenu kuishi maisha mazuri.
Watanzania wameshawaelewa na wanawapuuza sababu ubinafsi wenu umewafanya mjifikirie wenyewe na kusahau kwamba wananchi ndio mtaji wenu

Upinzani unapogeuka kuwa sehemu ya kujipatia rizki lazima malengo ya chama yasahaulike ili kufanikisha kwanza maslahi ya wachache.

Watanzania sio wajinga mnavyofikiria, ushirikiano wapinzani mliofanya na ccm hadi kufanikisha kumuondoa Lowasa kwenye nafasi ya uwaziri mkuu uliwajengea heshma kubwa na imani kwa jamii, na maana halisi ya upinzani ilidhihirika! Ila sasa, usaliti mlioufanya kwa wananchi kumpa huyohuyo jamaa nafasi ya kugombea urais haujasahaulika, hautosahaulika na hamjasamehewa
Wananchi wanajiuliza, kama Lowasa aliweza kuwanunua chadema wakageuka wasaliti kwao si taifa lolote lenye fedha linaweza kuitumia chadema kuwanunua watanzania?

Mkiweza kupata wataalamu wa siasa na uongozi nje ya vyama (wasiokua na maslahi binafsi) watakaoweza kufanya utafiti wa kueleweka jinsi ya kuimarisha chama na kujenga imani kwa wananchi. Mkamwacha huyo mtaalamu awatengenezee mfumo na mbinu za kujenga vyama
Mkamwacha awasimamie nyie viongozi ili kuhakikisha mnatimiza kile anachowaambia kwa muda uliopangwa mtainuka tena na kuwatumikia wananchi

Vinginevyo CCM itaendelea kuwa chama pekee chenye nguvu Tanzania na wapinzani mtaendelea kulalamika kwa tatizo lilelile miaka30

Na sisi kina mama D tutaendelea kusema KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan🙏
Kidumu Daima dawama.
 
Back
Top Bottom