Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Enzi zetu za ligi za mchangani mtu anayetumia mguu wa kushoto huwa ama acheze namba tatu,sita na kumi na Moja (wahenga watanielewa)
Nashangaa Balua anatumia mguu wa kushoto lakini anapangwa namba saba.
Au ndiyo Mpira wa kisasa?
Nashangaa Balua anatumia mguu wa kushoto lakini anapangwa namba saba.
Au ndiyo Mpira wa kisasa?