Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Mzee wangu na wewe unaish wapi π πJamaa mna mwandama buree..Ali maanisha kwa siku ya Jana alipo enda temeke alikua na fixed budget kiasi kwamba asinge weza kutoa jero ingine ya ziada.π π π π€£
Nimemuelewa mtoa thread π§΅
Tatizo anataka tumuone ye niwa kishuaπππJamaa mna mwandama buree..Ali maanisha kwa siku ya Jana alipo enda temeke alikua na fixed budget kiasi kwamba asinge weza kutoa jero ingine ya ziada.π π π π€£
Nimemuelewa mtoa thread π§΅
Ile ID yangu original ya mwaka 2011 ndio nilikuwa polite ila sio sasa mkuu. Watu wananizoea vibaya..Okay mjibu kwa aina fulani politely usipoona akapunguza mwendo mwenyewe.....
Trust me Man don't do that....
Mjibu kwa hoja
Chali wangu ishi humo π
Watu wa Temeke wamekuja juu wanaona km umewafanyia namna gani kwenye maeneo yao kuwafanyia utalii wa ndani wa kushtukiza bila kuwapa taarifa halafu mtalii wao ulivyo huna hata soni unatembea na nauli 2 tu hubebi hata hela ya maji ya kunywa au soda km dharulaMkuu, hawa watoto wa 2,000 walioivamia JF, utawaweza basi..
Hahaaaandio kuchoka kwenyewe huko
Usitaalabu ni kipawaIle ID yangu original ya mwaka 2011 ndio nilikuwa polite ila sio sasa mkuu. Watu wananizoea vibaya..
Kwa hio umeona uwachane wakazi wa Temeke au viongozi wao?Ile ID yangu original ya mwaka 2011 ndio nilikuwa polite ila sio sasa mkuu. Watu wananizoea vibaya..
Mkuu, nilianzia Kigamboni, Posta, alafu mwisho Temeke, hivyo nikabakiwa na 2,000 tu kwenye mfuko wa shatiWatu wa Temeke wamekuja juu wanaona km umewafanyia namna gani kwenye maeneo yao kuwafanyia utalii wa ndani wa kushtukiza bila kuwapa taarifa halafu mtalii wao ulivyo huna hata soni unatembea na nauli 2 tu hubebi hata hela ya maji ya kunywa au soda km dharula
why not usiweze kufanya hivyo?Ile ID yangu original ya mwaka 2011 ndio nilikuwa polite ila sio sasa mkuu. Watu wananizoea vibaya..
Kwanini mkuu??..we ni jinga kabisa,,pumbaff
Njia pekee ya kuwasadia watoto maskini ni kuboresha elimu ya uzazi wa mpango; yaani huko uswahili Watu wanazaa kama panya na ukiuliza historia ya mababa wa watoto hao unaweza kata tamaa; unakuta mwanamke mmoja ana watoto 5 kwa mababa tofauti na kila baba hasimamii majukumu yakeMimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudua mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.
Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.
Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Kwenye maisha tusiwe polite sana. Tuwe wakali kidogo pale unapohitajika..why not usiweze kufanya hivyo?
Wape ushindi tuone watafanya nn ?
Na hao ndo wanaoenda shule za serikali za kata, wapo darasani na njaa kuanzia Primary mpaka Sekondari unatarajia wafaulu.Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudua mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.
Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.
Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Sad indeedNjia pekee ya kuwasadia watoto maskini ni kuboresha elimu ya uzazi wa mpango; yaani huko uswahili Watu wanazaa kama panya na ukiuliza historia ya mababa wa watoto hao unaweza kata tamaa; unakuta mwanamke mmoja ana watoto 5 kwa mababa tofauti na kila baba hasimamii majukumu yake
Ukanunua zako karanga za kukaanga ukaanza kuwachora watoto wa Temeke wanavyoteseka na njaa au sio? Alubati Chalamila atakuja na maelezo makali sana kuhusu statement yako ya leoMkuu, nilianzia Kigamboni, Posta, alafu mwisho Temeke, hivyo nikabakiwa na 2,000 tu kwenye mfuko wa shati
Inasikitisha sana mkuu wangu..Na hao ndo wanaoenda shule za serikali za kata, wapo darasani na njaa kuanzia Primary mpaka Sekondari unatarajia wafaulu.
Mimi nashinda wilaya ya ilala 3/4 ya muda WANGU...then 1/4 ya muda WANGU naenda kulala temeke... Hiyo ndio cyclolic process in day to day activities π π βΊοΈβΊοΈπMzee wangu na wewe unaish wapi π π
Mimi Tandale kwa bi nyauππ