Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Mnaokaa Uswahilini (Wilaya ya Temeke) Mungu awafanyie wepesi ndugu zangu. Jana machozi yalinitoka

Jamaa mna mwandama buree..Ali maanisha kwa siku ya Jana alipo enda temeke alikua na fixed budget kiasi kwamba asinge weza kutoa jero ingine ya ziada.πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£

Nimemuelewa mtoa thread 🧡
Mzee wangu na wewe unaish wapi πŸ˜‚ πŸ˜‚

Mimi Tandale kwa bi nyauπŸ˜‚πŸ˜
 
Okay mjibu kwa aina fulani politely usipoona akapunguza mwendo mwenyewe.....

Trust me Man don't do that....

Mjibu kwa hoja

Chali wangu ishi humo πŸ‘Š
Ile ID yangu original ya mwaka 2011 ndio nilikuwa polite ila sio sasa mkuu. Watu wananizoea vibaya..
 
Mkuu, hawa watoto wa 2,000 walioivamia JF, utawaweza basi..
Watu wa Temeke wamekuja juu wanaona km umewafanyia namna gani kwenye maeneo yao kuwafanyia utalii wa ndani wa kushtukiza bila kuwapa taarifa halafu mtalii wao ulivyo huna hata soni unatembea na nauli 2 tu hubebi hata hela ya maji ya kunywa au soda km dharula
 
Watu wa Temeke wamekuja juu wanaona km umewafanyia namna gani kwenye maeneo yao kuwafanyia utalii wa ndani wa kushtukiza bila kuwapa taarifa halafu mtalii wao ulivyo huna hata soni unatembea na nauli 2 tu hubebi hata hela ya maji ya kunywa au soda km dharula
Mkuu, nilianzia Kigamboni, Posta, alafu mwisho Temeke, hivyo nikabakiwa na 2,000 tu kwenye mfuko wa shati
 
Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudua mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Njia pekee ya kuwasadia watoto maskini ni kuboresha elimu ya uzazi wa mpango; yaani huko uswahili Watu wanazaa kama panya na ukiuliza historia ya mababa wa watoto hao unaweza kata tamaa; unakuta mwanamke mmoja ana watoto 5 kwa mababa tofauti na kila baba hasimamii majukumu yake
 
Mimi ninakaa Wilaya ya Ilala. Jana nilikuwa Wilaya ya Temeke nilishuhudua mida ya mchana badala ya mama kuwapikia watoto (watoto walitoka kucheza wakaja kulalamika njaa) akawapa 500 wote wawili wakanunue bagia na askrimu (ice cream) na ndio imetoka hiyo mpaka Usiku, kulingana na maelezo ya mwenyeji wangu. Sema na mimi nilikuwa majalala, nilibakiwa na nauli tu, laiti kama ningekuwa na kitu chochote ningeweza kuwaongezea hata 500 nyingine aisee.

Kama hauna pesa ya kumsaidia mtoto masikini, basi mkumbuke hata wakati wa sala au swala.

Daah, uswahilini panatisha wadau, hususan kwa watoto wadogo.
Na hao ndo wanaoenda shule za serikali za kata, wapo darasani na njaa kuanzia Primary mpaka Sekondari unatarajia wafaulu.
 
Njia pekee ya kuwasadia watoto maskini ni kuboresha elimu ya uzazi wa mpango; yaani huko uswahili Watu wanazaa kama panya na ukiuliza historia ya mababa wa watoto hao unaweza kata tamaa; unakuta mwanamke mmoja ana watoto 5 kwa mababa tofauti na kila baba hasimamii majukumu yake
Sad indeed
 
Mzee wangu na wewe unaish wapi πŸ˜‚ πŸ˜‚

Mimi Tandale kwa bi nyauπŸ˜‚πŸ˜
Mimi nashinda wilaya ya ilala 3/4 ya muda WANGU...then 1/4 ya muda WANGU naenda kulala temeke... Hiyo ndio cyclolic process in day to day activities πŸ˜…πŸ˜…β˜ΊοΈβ˜ΊοΈπŸ˜Š

NB.
Kuhusu makazi napo kaa niliyo yaandika hapo juu ni uongo na upotoshaji mkubwa ni puuzwe 🀣🀣
 
Back
Top Bottom