Mnaolalamika na kubeza Mbowe kwenda kuonana na Rais, Mlitaka afanye nini?

Mnaolalamika na kubeza Mbowe kwenda kuonana na Rais, Mlitaka afanye nini?

Mbowe kuonana na Rais imewaumiza mnoo CCM haswa waleee. Wapo CCM hawakupenda hata kesi ya Mbowe ya kubambika,lakini vipo vigagula ambavyo havijui lolote!! Mtoa mada umeongea points,hata Mandela kutoka jela ilikuwa ni hatua ya mwisho baada ya vikao vingi kati yake na De Clerk na Ni officials wachache Sana wa ANC walijua.
Na kwa taarifa ni makaburu zaidi waliokasirika Mandela alipotoka jela.
Yes tena niseme na huenda aliechanga karata vizuri ni Mbowe maana yake kaenda Ikulu kamsikiliza Rais halaf anarudi ndani ya chama anakaa,
wanajadili na anawaambia aliyokubaliana na Mama na wao kama chama wanakuja na Wazo na hapo ndio ataongea sasa vizuri na watanzania.
 
Angekuwa Gaidi kweli Mara baada ya msamaha ilitakiwa aishi kwa kizuizi sehemu ambapo vyombo vya ulinzi itakuwa rahisi kumdhibiti.
Sasa ni moja kwa moja Ikulu.Gaidi hakuhatarisha usalama tena
 
Angekuwa Gaidi kweli Mara baada ya msamaha ilitakiwa aishi kwa kizuizi sehemu ambapo vyombo vya ulinzi itakuwa rahisi kumdhibiti.
Sasa ni moja kwa moja Ikulu.Gaidi hakuhatarisha usalama tena
Nchi hii ina utoto Mwingi sana Gaidi anakaa na Rais na Rais Analiuliza Gaidi Eti Unashida gani?😂😂
 
Amani Itawale kwenu Nyote!

Jana nahisi ilikua moja ya siku atakazozikumbuka Mwamba FAM kwenye Maisha yake hasa juu ya kesi iliyokua inamkabili yeye na wenzake ambapo DPP jana Aliamua kuifuta kesi hio au aliamua kutokuendelea nayo.

Baada ya taarifa ile shangwe nyingi zilikuepo niseme hata Mimi hapa nilifurahi sanaaaa kupita kiasi.

Sasa watu wakiwa na Furaha Mara Taarifa na picha zikatoka na ni Official zikimuonyesha Mbowe akiwa na Rais wa JMT hapo kila kitu kikaanza kunenwa tofauti hata humu kunawengine wameapia CCM itawale Milele kisa tu Eti Mwamba FAM kaonyesha Uzwazwa sa NAJIULIZA Ule ni Uzwazwa kweli? Au watu hatuelewi SIASA?

Mbowe kila siku Mi nasema na niseme hapa He is A Pure POLITICIAN anaelewa misingi ya Siasa yote sio mpuuzi kwenda Ikulu ni ulize tu Mtu ulikua na Kesi ya Ugaidi inafutwa halaf GAIDI unaitwa Ikulu unakataa sa unakataa vipi, si unaenda ili watu wenye kujiuliza wajiulize na wapate majibu ni Kweli huyu alikua GAIDI yani GAIDI aitwe Ikulu? Hili ndio swali Mlitakiwa kujiuliza jana kesi imefutwa ila inatakiwa tuendelee kufuata mambo madogomadogo ili tuelewe zaidi tusiiishe kwenye kusema Angesusa alichofanya FAM ni ukomavu wa Akili Mkubwa ndani ya SIASA.

Ni malize kwa kuuliza mlitaka Afanye Nini labda Nyie Waungwana?
Mbowe anajua siasa vizuri sn
 
Alitakiwa akutane na wanachama kwanza. Au leo angetoa taarifa kwa umma nini aliongea na Rais, na nini msimamo wa chama.
Ukimya wake una maana alitolewa kwa masharti akapelekwa kulishwa maneno na mtesi wake.
Lissu arudi aongoze mapambano Mbowe kafika bei.

Mkuu nia yako Vita au maendeleo. Naona kama unatoka kwenye Lengo.
 
Kusema kweli na nisiwe mnafiki Mimi amenikera Sana na nimechukia.

Sina mengi ya kuandika ila huo ndio ukweli wangu.

Sitakuja kufuatilia wala kuchangia siasa au wanasiasa wa Tanzania tena!

Umechukia nini Sasa. Huna Familia. Huna malengo. Siasa inakufanya uchukie? Basi toka tu maana Siasa Ni deal tu. Leo Huyu Kesho yule.
 
Amani Itawale kwenu Nyote!

Jana nahisi ilikua moja ya siku atakazozikumbuka Mwamba FAM kwenye Maisha yake hasa juu ya kesi iliyokua inamkabili yeye na wenzake ambapo DPP jana Aliamua kuifuta kesi hio au aliamua kutokuendelea nayo.

Baada ya taarifa ile shangwe nyingi zilikuepo niseme hata Mimi hapa nilifurahi sanaaaa kupita kiasi.

Sasa watu wakiwa na Furaha Mara Taarifa na picha zikatoka na ni Official zikimuonyesha Mbowe akiwa na Rais wa JMT hapo kila kitu kikaanza kunenwa tofauti hata humu kunawengine wameapia CCM itawale Milele kisa tu Eti Mwamba FAM kaonyesha Uzwazwa sa NAJIULIZA Ule ni Uzwazwa kweli? Au watu hatuelewi SIASA?

Mbowe kila siku Mi nasema na niseme hapa He is A Pure POLITICIAN anaelewa misingi ya Siasa yote sio mpuuzi kwenda Ikulu ni ulize tu Mtu ulikua na Kesi ya Ugaidi inafutwa halaf GAIDI unaitwa Ikulu unakataa sa unakataa vipi, si unaenda ili watu wenye kujiuliza wajiulize na wapate majibu ni Kweli huyu alikua GAIDI yani GAIDI aitwe Ikulu? Hili ndio swali Mlitakiwa kujiuliza jana kesi imefutwa ila inatakiwa tuendelee kufuata mambo madogomadogo ili tuelewe zaidi tusiiishe kwenye kusema Angesusa alichofanya FAM ni ukomavu wa Akili Mkubwa ndani ya SIASA.

Ni malize kwa kuuliza mlitaka Afanye Nini labda Nyie Waungwana?
Hii pia ilikuwa kuudhihirishia ulimwengu kuwa mwamba amekuwa akionewa na awamu ya sita imekuwa haihusiki na dhambi hii ya uonevu na ubaguzi kwake🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️♨️
 
Kwa mm mwanaccm sio hatari yoyote juu ya Mh: Mbowe kukutana na Samia.
Kwanza kwa upande wa Mbowe na Chadema imewasafisha kuwaondolea tuhuma za Ugaidi kwani Gaidi hakumbatiwi kumbuka ni adui na kama alivyoalikwa Ikulu imemweshimisha zaida Mbowe na Chama Chao.
Dunia ya leo Diplomasia ndo inafanyakazi badala ya mizozo isiyo na tija kwa Watanzania wapenda amani kama alichokifanya Mbowe
 
Kwa mm mwanaccm sio hatari yoyote juu ya Mh: Mbowe kukutana na Samia.
Kwanza kwa upande wa Mbowe na Chadema imewasafisha kuwaondolea tuhuma za Ugaidi kwani Gaidi hakumbatiwi kumbuka ni adui na kama alivyoalikwa Ikulu imemweshimisha zaida Mbowe na Chama Chao.
Dunia ya leo Diplomasia ndo inafanyakazi badala ya mizozo isiyo na tija kwa Watanzania wapenda amani kama alichokifanya Mbowe
Kwani huwez kuelezea pasipo kuandika we mwanaCcm?😂😂
 
Ni kukosa uelewa
Mkulu alienda Belgium akakutana na aliyepigwa risasi 16 lakini Mungu alimuokoa huku hamkupiga kelele eboooh
.
Ameonana na Mwenyekiti Mbowe baada ya kukaa gerezani siku zaidi ya 200

Hii ndio Tz Mwl Nyerere aliitengeneza Umoja wetu ndio nguzo
Wanaomlaumu Mwenyekiti ni kuwaacha kwani mioyo yao ni migumu na ya visasi...

Mbowe ni mwenye utu
Yaani hawa walalamikaji nao wanasumbua vichwa vya watu kuwajibu?

Hawa ndio maadui wakubwa wa CHADEMA, ni wale wale waliokuwa wanavaa sare za chama hicho, huku wakiwa wana CCM , eti wakilaani chama chao CHADEMA isihimize katiba mpya.

Baadhi yao, kama wanajitambulisha kuwa wapenzi wa CHADEMA, ukifuatilia nyendo zao hata siku moja hawajakifanyia lolote chama hicho. Wakiitwa kwenye maandamano hawaonekani, wakiambiwa kushiriki kwenye harakati za chama huwaoni; ila ukiangalia pembeni kama hivi sasa, ndio vinara wa kutoa lawama.

CHADEMA inatakiwa kuwatambua hawa watu kwani ndio maadui wakubwa wa chama chao. Inabidi wawafichue na kuwatangaza hadharani watu wawajue ni nani hawa. Ni 'opportunists' wakubwa hawa, ndio hujionyesha mbele panapotokea mafanikio ya aina yoyote ndani ya chama, hata kama wao sio walioleta mafanikio hayo.

Hawa ni kansa ndani ya chama.
 
Wengi wenu hapa mnabwabwaja tu lakini hata mahabusu tu hampafahamu. Miezi minane gerezani tena bila kosa unafikiri hata mentally unakuwa OK? Kuweni na ubinadamu bwana.

Baada ya kutulia na kupata counseling na huduma za afya ya ubongo, nategemea kuona kama huyu kamanda ataendelea na harakati zake za kudai katiba mpya kwa mbinu zile zile za shari na dharau...

Kwa maoni yangu apumzike uenyekiti na Lissu au Lema wampokee kijiti. Ameshafanya ya kutosha!
Bado anaitajika sana Mbowe, kama miaka 15 mbele
 
Unaalikwaje straight kutoka jela?

Mbowe alipaswa baada ya kutoka jela akutane na wanachama waliosimama nae muda wote wakati kiteswa gerezani na kina samia. Awashukuru kwa kusimama nae.

Huko mbele kama angekutana na rais hakukua na shida.

Sasa wewe unaachiwa, watu waliosimama na wewe hawajasikia unasema nini moja kwa moja ikulu kucheka na aliekufunga, huo ni utaahira.

Ndio maana tunasema Tanzania haina wanasiasa, ina waganga njaa.
UBAYA unalipwa kwa wema hizo ni akili milioni mbele kiazi kama wewe hutoelewa mpaka siku unaoza na kupasuka tumbo lako,ndiyo maana hata pumbafu wenzako wakina kingai ,ziro COMTE ,kupara kipya wanajiuliza Gaidi gani anasalimiana kwa vipepsi na Rais wa nchi ndani ya jumba jeupe kwa kifupi MBOWE sio Gaidi na hajawai kuwa Gaidi ikulu imethibitisha!!
 
Back
Top Bottom