Mnaomchukia Rais Samia mna hoja au ni chuki tu?

Wakati wa Jiwe
  • Mchele kilo 900
  • Mafuta ya kula 3500/lita
  • Diesel 2800/lita

Wakati wa mpiga mwingi
  • Mchele 2300/kilo
  • Mafuta ya kula 7000/lita
  • Diesel 3400/lita

Linganisha afu jipe jibu
Ingekuwa vizuri ungeanza wakati wa kikwete ukalinganisha na wa jiwe ukaja Samia ungepata uwiyano mzuri
 
Huyo jamaa ni mwehu, mjinga mmoja wa kupuuzwa
 
We unazingua kmmmk
Mkuu hilo ni roboti lipo programmed na python kusifia kila jambo, hilo ni chatbot linatumia AI technology.
Usipoteze nguvu zako, mi mwenyewe mwanzoni nilijua ni mtu kumbe ni bot lipo programmed kuimba na kusifia usiku mchana upuuzi.

Usipoteze muda.
 
Na mafuta yanavyokwenda juu ni proportional na gharama za maisha.
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Muna point kweli au ndio munafuata mkumbo tu, kwa sababu naona wengi wanasema eti maisha ni magumu ndio maana wanalaumu. Kwani lini yaliwahi kuwa mazuri?

Tuanzie hapo kwanza.
Ningekuwa mmoja wao ningekujibu hivi:
Ni chuki tu; kwa nini yeye ni Rais halafu mimi siyo?
 
U DC nafasi zimejaa
 
Hapa kwenye mafuta na mahindi umeandika ujinga. Yangepanda zaidi ya hivi na wananchi mngenunua kwa kushangilia na yule ambaye angelalamikia mafuta angeambiwa ajaze mkojo wake kwenye gari lake aendeshe. Wapi JPM alikuwa responsible kwa majanga?
Kaka unaakili kweli wewe au ndio wale majobless unaishi kwa shemeji ako ukiamka asubuhi kitandani unaenda tena kulala sebuleni kwenye sofa utazame tamthilia za Azam tv, kwamba Corona halikuwa janga? Kwa hii EA umejaribu kuangalia nchi zingine bei ya mafuta ipoje? Au unalopokwa tu? Kama kwetu ipo juu ni kwanini? Unazijua sababu zinazofanya mafuta yawe juu?

Kwenye mahindi haki ya Mungu kamt*mbe mama ako la sivyo ufute kauli JPM asingeruhusu yatoke nje yangekuwepo ya kutosha na bei zingebaki vile vile

Ukweli ni kwamba maisha yamekuwa magumu mali tatu ilivyokuwa kwa JPM nyie mnaoishi kwa ndugu zenu mnaona kawaida shemeji yako anaemt*mba dada ako ww ukiwa umelala sebuleni hawezi kukuambia hana hela na ww utaendelea kuishi kwa shemeji siku zote coz huambiwi
 
Mpaka sasa kwa wale wanaompijga mama hakuna aliyekuja na sababu bora kwamba ni wakati gani maisha yalikuwa mazuriiii tu,
Na ukweli ni inkwamba hakuna kitu kama hicho,
So please mwacheni mama apige kazi
Mbeleni hukooo mutafurahi tu
Na hili ni hakika
 

We nymbff unatafiti au una bwabwaja kwa kua hicho kitecno kina bando la jero?
 
Watanzania wengi wamedumaa akili mkuu unafikiri wanachanganua hivi vitu kazi kusifu visivyosifika

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hilo ni roboti lipo programmed na python kusifia kila jambo, hilo ni chatbot linatumia AI technology.
Usipoteze nguvu zako, mi mwenyewe mwanzoni nilijua ni mtu kumbe ni bot lipo programmed kuimba na kusifia usiku mchana upuuzi.

Usipoteze muda.
Kumbe ni chawa Bot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…