Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Baaado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi wala popoma ni popoma tu, nyumbani kwake Mirembe, IdodonyaaaKwa sababu amemsifia mchezaji wenu? Kesho akiandika tofauti na mpendavyo, si maneno ya hovyo mumrushiayo! Na yeye anawajua, aandike nini mfurahi!
Stupid.Account hacked, please notify administrators for more reformation.
Pumbavu.Dah mkuu ni wewe umeandika huu upuuzi?
Namkubali kuliko Clatous Chama Wetu.hadi ww umekubaLi aisee 🔥🔥🔥🔥🔥
Huna Akili.Unaongelea mchezaji mwenye assist zaidi ya 35 ligi kuu
10+ mechi za kimataifa
10+ goals ligi kuu
Big game player unamfananisha na aziz ki?
Dah😂
Na huo ndiyo Uhalisia wangu GENTAMYCINE hata katika Maisha yangu ya Kawaida.I salute you brother. I pay homage to you. Wewe ni mwerevu na mkweli.
Idiot.Acha kumfananisha chama na mapung'o
Nizoee na Nivumilie tu Mkuu.We jamaa,sometimes mtamu sometimes mchungu kama ndimu.
Una Akili sana Mkuu. Utafika mbali.Kwa sababu amemsifia mchezaji wenu? Kesho akiandika tofauti na mpendavyo, si maneno ya hovyo mumrushiayo! Na yeye anawajua, aandike nini mfurahi!
Wewe umemzalia nani?Basi hapo kwa kusema hivyo uto wako tayari hata uwazalishe
Kwahiyo brother Azizi ki anakufurahisha sana mpaka unasisimukaUkiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu.
Kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mchezaji Stephane Aziz K ndiyo Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa NBC Premier League, anaisaidia Timu Kiuhakika na anajua Kuonyesha Thamani yake Uwanjani na sote tunaiona.
Yoyote Yule atakayeuchukia huu Ukweli wangu kumhusu huyu Mchezaji awahi Duka lolote lililo karibu nae anunue Sumu ya Panya anywe ili Afe aniondolee Udhia / Kero.
Chama wetu hamfikii Aziz K kabisa!!!
Kama vile Mkeo anavyonisisimua Kitandani.Kwahiyo brother Azizi ki anakufurahisha sana mpaka unasisimuka
TMA tokea Mwezi April, 2023 Wslitabiri kuwepo kwa Mvua Kubwa ya El Nino kuanzia tarehe 1 Oktoba hadi tarehe 13 Oktoba, 2023 je, mpaka leo tarehe 23 Oktoba, 2023 imeshanyesha? Mbona hamuwashushui TMA na hamuwaabii kuwa ni Waongo na Watabiri Feki? Hamna Akili...!!Unatafuta sifa na huruma kwa wana Yanga baada ya ule uzi wako uliosema zaidi ya asilimia 75 Yanga ana acha point kwa Azam kubumba.
Mama yako alishapona tatizo nililonalo na Uliloliandika kwa Madaha na Upumbavu mwingi hapa Jamvini?Popoma bin nyonyoma.
Umeanza kupona ukichaa.
Ukiendelea hivi ni week tatu tu unakua vizuri