Mnaomfananisha Mbahatishaji Chama na Anayejua Aziz K mna Akili sawa sawa Kweli?

Mnaomfananisha Mbahatishaji Chama na Anayejua Aziz K mna Akili sawa sawa Kweli?

Nikashangaa sana yaani kisa goli tatu za jana ndo kamzidi chama?? Hizo goli si ata sopu anajipigia tu
Game Changer na si unaona nilivyoizuga Mizuzu na sasa imefurahi kweli kweli kama ni kweli vile huku Genius / Brainiac GENTAMYCINE nikiisanifu, nikiicheka na nikiidharau tu.

Ukiwa na Akili Kubwa ni raha mno tu.

Cc: Ghiti Milimo, Glenn, SAGAI GALGANO etc.
 
Wewe si ukisema yanga atoki baada ya Azam kufanya yake nje ya uwanja? Imekuwaje Tena unamsifia Azizi ki?
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini ( TMA ) tokea Mwezi wa Nne ( April ) mwaka huu Walitutangazia kuwa kuanzia tarehe 1 hadi 13 Mwezi huu Oktoba, 2023 kutakuwa na Mvua Kubwa ya El Nino je, imenyesha?

Mbona hamuwashushui na hamuwashangai kwa Tabiri yao kwenda ndivyo sivyo ila kwa GENTAMYCINE kusema Yanga SC itafungwa na Azam FC na haijafungwa na imeshinda mnanishangaa na Kunishushua?

Halafu mnaotokwa na Mapovu dhidi yangu kwa Tabiri yangu kwenda ndivyo sivyo huwa mnakuwaga wapi pale Tabiri zangu zingine zikitokea kama nilivyotabiri? Je, nilivyoandika huo Uzi wa Kuitabiria Yanga SC kufungwa na Azam FC niliwalazimisheni muiamini au niliwaiteni mje muisome?

Ukielewa tu maana ya Neno TABIRI ( NUJUMU ) wala hutopata Taabu na Kilichotokea jana ila ukiwa ni Mpumbavu, Mswahili na Mshamba utaendelea kutokwa Povu na GENTAMYCINE na ninachowaahidi tu ni kwamba sitoacha KUTABIRI Matukio mengine yajayo kama ikinipendeza.

Tokea Juzi NILITABIRI kuwa Simba SC itafungwa na Al Ahly FC katika Mechi yake ya marudiano ya tarehe 24 Oktoba, 2023 na Kutolewa katika Michuano mipya ya African Football League ( AFL ) hivyo nawasubiria TABIRI yangu hii ikitokea kama NILIVYOITABIRI mtakuja hapa JamiiForums kwa Kasi hii hii Kunipongeza japo najua kwa ROHO MBAYA ZENU wala HAMTOKUJA kwakuwa MLICHOKIWEKEZA Kwangu ni KUNICHUKIA, WIVU na UNAFIKI pekee.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!

Kuhusu kwanini nimemsifia Mchezaji wa Yanga SC Aziz K jibu lako analo Ghiti Milimo au utalipata katika moja ya Neno lililoko katika Signature yangu la Game Changer sawa?

Ukiwa na Akili Kubwa ni raha mno tu.
 
Wew Ni mchonganishi Jana ukitaka kuwachonganisha popat na Azam hufai popote pale
 
NAJUA UNAWEZA KUA UMEANDIKA IKWA AJILI YA BURUDANI NA UTANI ilaaaa kiuhalisia Hao ni wachezaji wawili tofauti
 
Kwa sababu amemsifia mchezaji wenu? Kesho akiandika tofauti na mpendavyo, si maneno ya hovyo mumrushiayo! Na yeye anawajua, aandike nini mfurahi!
Sometimes yes sometimes no kwa hili yupo sahihi lakini kuna wakati huwa dish kinayumba, kuna wakati hata saa mbovu inasema kweli ujie
 
Ukiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu.

Kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mchezaji Stephane Aziz K ndiyo Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa NBC Premier League, anaisaidia Timu Kiuhakika na anajua Kuonyesha Thamani yake Uwanjani na sote tunaiona.

Yoyote Yule atakayeuchukia huu Ukweli wangu kumhusu huyu Mchezaji awahi Duka lolote lililo karibu nae anunue Sumu ya Panya anywe ili Afe aniondolee Udhia / Kero.

Chama wetu hamfikii Aziz K kabisa!!!
Popoma katika level best
 
Ukiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu.

Kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mchezaji Stephane Aziz K ndiyo Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa NBC Premier League, anaisaidia Timu Kiuhakika na anajua Kuonyesha Thamani yake Uwanjani na sote tunaiona.

Yoyote Yule atakayeuchukia huu Ukweli wangu kumhusu huyu Mchezaji awahi Duka lolote lililo karibu nae anunue Sumu ya Panya anywe ili Afe aniondolee Udhia / Kero.

Chama wetu hamfikii Aziz K kabisa!!!
aziz ki ni mbahatishaji kuliko chama. na hata akiondoka yanga hawataathirika sana, ila chama akiondoka simba wataathirika. aziz ki ana ngekewa tu kila siku, akiamka vizuri ndio inakuwa kama jana, ila siku akiamka vibaya unaweza kuona bora kuliko hata mchezaji wa lipuli iliyoshuka daraja.
 
Ukiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu.

Kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mchezaji Stephane Aziz K ndiyo Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa NBC Premier League, anaisaidia Timu Kiuhakika na anajua Kuonyesha Thamani yake Uwanjani na sote tunaiona.

Yoyote Yule atakayeuchukia huu Ukweli wangu kumhusu huyu Mchezaji awahi Duka lolote lililo karibu nae anunue Sumu ya Panya anywe ili Afe aniondolee Udhia / Kero.

Chama wetu hamfikii Aziz K kabisa!!!
Kheee..!! Ni wewe huyu huyu tunayemjua au mwingine?

Lakini kwa wenye uwezo wa kujua codes nimeona yafuatayo kwenye nyuzi zako za jana na leo;

1. Unajaribu kuwa karibu na wana Yanga ili kichapo cha leo wasikucheke sana.

2. Unajiandaa kiasikolojia, kwamba mkishachapwa uje uweke nyuzi za NILISEMA HILI NILISEMA LILE.

3. Unajifanya kuuona ubahatishaji wa Chama leo ili kuvuta attension ya wa Yanga kwako.

NB:
HATA UTUPANGE VIPI KISAIKOLOJIA, YAANI MKILA KHAMSA LEO TUTAKURUKIA KAMA MWEWE..!!


CC Kalpana, Mshana Jr et el
 
aziz ki ni mbahatishaji kuliko chama. na hata akiondoka yanga hawataathirika sana, ila chama akiondoka simba wataathirika. aziz ki ana ngekewa tu kila siku, akiamka vizuri ndio inakuwa kama jana, ila siku akiamka vibaya unaweza kuona bora kuliko hata mchezaji wa lipuli iliyoshuka daraja.
Duh..!! Mahaba yatakufanya ushangilie magarasa..!!
 
GENTAMYCINE said:

"75% Yanga SC inafungwa leo na 25% wataibahatisha Sare kwa Azam FC. Kuna Mambo yamefanyika ( Nje ya Uwanja ) na yamewashinda Wataalam Watatu wa Yanga SC na hata baadhi ya Viongozi Wao wameshajua kuwa leo ( hasa Jumatatu ) Kinujumu ( Kinyota na Kitarehe ) si Siku nzuri Kwao Kimatokeo"

GENTAMIMAAVIIII

PUMBAAVU KABISA
 
Unaongelea mchezaji mwenye assist zaidi ya 35 ligi kuu
10+ mechi za kimataifa
10+ goals ligi kuu
Big game player unamfananisha na aziz ki?
Dah[emoji23]

Mkuu shukran kwa kuweka hizi takwimu. Nadhani huyu awekewe na matukio pia.

Chama ameshafanya kila kitu katika ligi, hatumdai kabisa kwenye kuendelea kutimiza majukumu yake.
 
chama umri umeshasogea, akili inataka ila mwili unagoma... kuna moves anazifanya ila kwa kukosa mwendo jambo halikamiliki... talent-wise chama ni mkali zaidi ila yuko mwishoni mwishono haweza kukupa tena 100% kwa dk zote 90.
aziz ki kipaji kipo, physique ipo na umri unamruhusu kwahyo hata ukipima workrate utaona iko juu kuliko chama.
kwahyo kwa sasa mchezaji ,mwenye faida zaidi ni aziz kuliko chama
 
Back
Top Bottom