Mnaomfananisha Mbahatishaji Chama na Anayejua Aziz K mna Akili sawa sawa Kweli?

Mnaomfananisha Mbahatishaji Chama na Anayejua Aziz K mna Akili sawa sawa Kweli?

TMA tokea Mwezi April, 2023 Wslitabiri kuwepo kwa Mvua Kubwa ya El Nino kuanzia tarehe 1 Oktoba hadi tarehe 13 Oktoba, 2023 je, mpaka leo tarehe 23 Oktoba, 2023 imeshanyesha? Mbona hamuwashushui TMA na hamuwaabii kuwa ni Waongo na Watabiri Feki? Hamna Akili...!!
Kumbe wewe ni wa mchongo kama TMA?
 
Mama yako alishapona tatizo nililonalo na Uliloliandika kwa Madaha na Upumbavu mwingi hapa Jamvini?
Mama yangu alipona .
Umebaki wewe tu.
Changamkia dozi.
Kumeza Haloperidol na Risperidone sio kazi ndogo.
 
Ukiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu.

Kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mchezaji Stephane Aziz K ndiyo Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa NBC Premier League, anaisaidia Timu Kiuhakika na anajua Kuonyesha Thamani yake Uwanjani na sote tunaiona.

Yoyote Yule atakayeuchukia huu Ukweli wangu kumhusu huyu Mchezaji awahi Duka lolote lililo karibu nae anunue Sumu ya Panya anywe ili Afe aniondolee Udhia / Kero.

Chama wetu hamfikii Aziz K kabisa!!!
Mkuu jiandae na mashambulizi makali kama ya Waisrael kwa Hamas baada ya kumgusa mchezaji pendwa wa Mwakarobo fc
 
Ukiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu.

Kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mchezaji Stephane Aziz K ndiyo Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa NBC Premier League, anaisaidia Timu Kiuhakika na anajua Kuonyesha Thamani yake Uwanjani na sote tunaiona.

Yoyote Yule atakayeuchukia huu Ukweli wangu kumhusu huyu Mchezaji awahi Duka lolote lililo karibu nae anunue Sumu ya Panya anywe ili Afe aniondolee Udhia / Kero.

Chama wetu hamfikii Aziz K kabisa!!!
Gongowazi wote hata wale wanakutukana leo watakubong'olea ushindwe mwenyewe tu kuwaweka kitu
 
Ukiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu.

Kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mchezaji Stephane Aziz K ndiyo Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa NBC Premier League, anaisaidia Timu Kiuhakika na anajua Kuonyesha Thamani yake Uwanjani na sote tunaiona.

Yoyote Yule atakayeuchukia huu Ukweli wangu kumhusu huyu Mchezaji awahi Duka lolote lililo karibu nae anunue Sumu ya Panya anywe ili Afe aniondolee Udhia / Kero.

Chama wetu hamfikii Aziz K kabisa!!!
shukrani nyingi sana kwa maoni mazuri sana
 
shukrani nyingi sana kwa maoni mazuri sana
Kwakuwa nimemsifia Mchezaji wako wa Yanga SC Aziz K ila katika ule Uzi wangu wa Kuitabiria Yanga SC kufungwa na Azam FC Jana na haikutokea umekuja Kunishushua

Mnafiki mkubwa Wewe na ndiyo maana baada ya Kuwasoma kuwa hamna Akili na ni Mazuzu nimeamua Kuwasanifu kwa Kuwahamisheni mawazo yenu na nyote mmeingia Kingi huku nikiwadharau na kuwachekeni tu Kimoyomoyo.

Ukiwa na Akili Kubwa ni raha mno tu.

Cc: Ghiti Milimo
 
Kwakuwa nimemsifia Mchezaji wako wa Yanga SC Aziz K ila katika ule Uzi wangu wa Kuitabiria Yanga SC kufungwa na Azam FC Jana na haikutokea umekuja Kunishushua

Mnafiki mkubwa Wewe na ndiyo maana baada ya Kuwasoma kuwa hamna Akili na ni Mazuzu nimeamua Kuwasanifu kwa Kuwahamisheni mawazo yenu na nyote mmeingia Kingi huku nikiwadharau na kuwachekeni tu Kimoyomoyo.

Ukiwa na Akili Kubwa ni raha mno tu.

Cc: Ghiti Milimo
We mzee mbinguni mbali ujue
 
Ukiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu.

Kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mchezaji Stephane Aziz K ndiyo Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa NBC Premier League, anaisaidia Timu Kiuhakika na anajua Kuonyesha Thamani yake Uwanjani na sote tunaiona.

Yoyote Yule atakayeuchukia huu Ukweli wangu kumhusu huyu Mchezaji awahi Duka lolote lililo karibu nae anunue Sumu ya Panya anywe ili Afe aniondolee Udhia / Kero.

Chama wetu hamfikii Aziz K kabisa!!!
Wewe si ukisema yanga atoki baada ya Azam kufanya yake nje ya uwanja? Imekuwaje Tena unamsifia Azizi ki?
 
Acha kumfananisha chama na mapung'o
Neno mapun'go unanikumbusha miaka takriban 27 iliyo pita BUSH STARS &TOWN STARS 🤩

NB:
All in all.. according to all I know according to the end of my thinking capacity japo kua mm am 4 real ni Mwana Simba ila azizi K ameonyesha uwezo mkubwa sana na amekua msaada mkubwa sana Kwa yanga kubali kataaa.....
 
Back
Top Bottom