Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Account hacked, please notify administrators for more reformation.
Ukiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu.
Kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mchezaji Stephane Aziz K ndiyo Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa NBC Premier League, anaisaidia Timu Kiuhakika na anajua Kuonyesha Thamani yake Uwanjani na sote tunaiona.
Yoyote Yule atakayeuchukia huu Ukweli wangu kumhusu huyu Mchezaji awahi Duka lolote lililo karibu nae anunue Sumu ya Panya anywe ili Afe aniondolee Udhia / Kero.
Chama wetu hamfikii Aziz K kabisa!!!
Wewe si simba bali ni mwana uto lia lia!! Ulijitahidi sana kufanya camouflage (kuvaa sura ya simba waklati ndani ni uto lia lia). Kama mwana uto una haki ya yote unayosema!! Lakini mwamba wa Lusaka atabaki mwamba asiye na mfano ligi kuu ya TZ bara!!Ukiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu.
Kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mchezaji Stephane Aziz K ndiyo Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa NBC Premier League, anaisaidia Timu Kiuhakika na anajua Kuonyesha Thamani yake Uwanjani na sote tunaiona.
Yoyote Yule atakayeuchukia huu Ukweli wangu kumhusu huyu Mchezaji awahi Duka lolote lililo karibu nae anunue Sumu ya Panya anywe ili Afe aniondolee Udhia / Kero.
Chama wetu hamfikii Aziz K kabisa!!!
Looh, yamekuwa hayo tena wajemeni !!Kei wewe[emoji23]
Yaaani kawainamisha gongowazi wote kila mmoja anataka aanzwe yeye,kazi kwake Genta leo.Genta amewakusanya wana Yanga leo, wote wapo upande wake. Ngoja jion Simba ifuzu ndo mtamuelewa huyu mulaaa
Jamaa ana akili ZILIZOPITILIZA! Changia mada zake kwa tahadhari!We mzee mbinguni mbali ujue
👏👏👏👏👏👏👏👏👏Msema kweli ni mpenzi wa mungu hongera sana mkuu umesema ukweli mtupuUkiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu.
Kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mchezaji Stephane Aziz K ndiyo Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa NBC Premier League, anaisaidia Timu Kiuhakika na anajua Kuonyesha Thamani yake Uwanjani na sote tunaiona.
Yoyote Yule atakayeuchukia huu Ukweli wangu kumhusu huyu Mchezaji awahi Duka lolote lililo karibu nae anunue Sumu ya Panya anywe ili Afe aniondolee Udhia / Kero.
Chama wetu hamfikii Aziz K kabisa!!!
Naunga mkono hoja 👍👏TMA tokea Mwezi April, 2023 Wslitabiri kuwepo kwa Mvua Kubwa ya El Nino kuanzia tarehe 1 Oktoba hadi tarehe 13 Oktoba, 2023 je, mpaka leo tarehe 23 Oktoba, 2023 imeshanyesha? Mbona hamuwashushui TMA na hamuwaabii kuwa ni Waongo na Watabiri Feki? Hamna Akili...!!
Hatari sana endelea kuwasanifu hawa wazeee wa mwiko nyumaKwakuwa nimemsifia Mchezaji wako wa Yanga SC Aziz K ila katika ule Uzi wangu wa Kuitabiria Yanga SC kufungwa na Azam FC Jana na haikutokea umekuja Kunishushua
Mnafiki mkubwa Wewe na ndiyo maana baada ya Kuwasoma kuwa hamna Akili na ni Mazuzu nimeamua Kuwasanifu kwa Kuwahamisheni mawazo yenu na nyote mmeingia Kingi huku nikiwadharau na kuwachekeni tu Kimoyomoyo.
Ukiwa na Akili Kubwa ni raha mno tu.
Cc: Ghiti Milimo