Mnaomfananisha Mbahatishaji Chama na Anayejua Aziz K mna Akili sawa sawa Kweli?

Kumbe wewe ni wa mchongo kama TMA?
 
Mama yako alishapona tatizo nililonalo na Uliloliandika kwa Madaha na Upumbavu mwingi hapa Jamvini?
Mama yangu alipona .
Umebaki wewe tu.
Changamkia dozi.
Kumeza Haloperidol na Risperidone sio kazi ndogo.
 
Mkuu jiandae na mashambulizi makali kama ya Waisrael kwa Hamas baada ya kumgusa mchezaji pendwa wa Mwakarobo fc
 
Gongowazi wote hata wale wanakutukana leo watakubong'olea ushindwe mwenyewe tu kuwaweka kitu
 
shukrani nyingi sana kwa maoni mazuri sana
 
shukrani nyingi sana kwa maoni mazuri sana
Kwakuwa nimemsifia Mchezaji wako wa Yanga SC Aziz K ila katika ule Uzi wangu wa Kuitabiria Yanga SC kufungwa na Azam FC Jana na haikutokea umekuja Kunishushua

Mnafiki mkubwa Wewe na ndiyo maana baada ya Kuwasoma kuwa hamna Akili na ni Mazuzu nimeamua Kuwasanifu kwa Kuwahamisheni mawazo yenu na nyote mmeingia Kingi huku nikiwadharau na kuwachekeni tu Kimoyomoyo.

Ukiwa na Akili Kubwa ni raha mno tu.

Cc: Ghiti Milimo
 
We mzee mbinguni mbali ujue
 
Wewe si ukisema yanga atoki baada ya Azam kufanya yake nje ya uwanja? Imekuwaje Tena unamsifia Azizi ki?
 
Acha kumfananisha chama na mapung'o
Neno mapun'go unanikumbusha miaka takriban 27 iliyo pita BUSH STARS &TOWN STARS 🤩

NB:
All in all.. according to all I know according to the end of my thinking capacity japo kua mm am 4 real ni Mwana Simba ila azizi K ameonyesha uwezo mkubwa sana na amekua msaada mkubwa sana Kwa yanga kubali kataaa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…