Kumbe wewe ni wa mchongo kama TMA?TMA tokea Mwezi April, 2023 Wslitabiri kuwepo kwa Mvua Kubwa ya El Nino kuanzia tarehe 1 Oktoba hadi tarehe 13 Oktoba, 2023 je, mpaka leo tarehe 23 Oktoba, 2023 imeshanyesha? Mbona hamuwashushui TMA na hamuwaabii kuwa ni Waongo na Watabiri Feki? Hamna Akili...!!
Try to treat your Mental Health problem.Kumbe wewe ni wa mchongo kama TMA?
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] GENTAKama vile Mkeo anavyonisisimua Kitandani.
Mama yangu alipona .Mama yako alishapona tatizo nililonalo na Uliloliandika kwa Madaha na Upumbavu mwingi hapa Jamvini?
Mkuu jiandae na mashambulizi makali kama ya Waisrael kwa Hamas baada ya kumgusa mchezaji pendwa wa Mwakarobo fcUkiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu.
Kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mchezaji Stephane Aziz K ndiyo Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa NBC Premier League, anaisaidia Timu Kiuhakika na anajua Kuonyesha Thamani yake Uwanjani na sote tunaiona.
Yoyote Yule atakayeuchukia huu Ukweli wangu kumhusu huyu Mchezaji awahi Duka lolote lililo karibu nae anunue Sumu ya Panya anywe ili Afe aniondolee Udhia / Kero.
Chama wetu hamfikii Aziz K kabisa!!!
Naona keshawaweza,aahaaaKwa sababu amemsifia mchezaji wenu? Kesho akiandika tofauti na mpendavyo, si maneno ya hovyo mumrushiayo! Na yeye anawajua, aandike nini mfurahi!
Na kawaweza wana Yanga baadhi,aahaaaUnatafuta sifa na huruma kwa wana Yanga baada ya ule uzi wako uliosema zaidi ya asilimia 75 Yanga ana acha point kwa Azam kubumba.
Gongowazi wote hata wale wanakutukana leo watakubong'olea ushindwe mwenyewe tu kuwaweka kituUkiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu.
Kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mchezaji Stephane Aziz K ndiyo Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa NBC Premier League, anaisaidia Timu Kiuhakika na anajua Kuonyesha Thamani yake Uwanjani na sote tunaiona.
Yoyote Yule atakayeuchukia huu Ukweli wangu kumhusu huyu Mchezaji awahi Duka lolote lililo karibu nae anunue Sumu ya Panya anywe ili Afe aniondolee Udhia / Kero.
Chama wetu hamfikii Aziz K kabisa!!!
Ndiimu hiyoWe jamaa,sometimes mtamu sometimes mchungu kama ndimu.
Bahati nzuri Moto wangu Wanaujua.Mkuu jiandae na mashambulizi makali kama ya Waisrael kwa Hamas baada ya kumgusa mchezaji pendwa wa Mwakarobo fc
Kama Babaako.Ndiimu hiyo
shukrani nyingi sana kwa maoni mazuri sanaUkiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu.
Kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mchezaji Stephane Aziz K ndiyo Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa NBC Premier League, anaisaidia Timu Kiuhakika na anajua Kuonyesha Thamani yake Uwanjani na sote tunaiona.
Yoyote Yule atakayeuchukia huu Ukweli wangu kumhusu huyu Mchezaji awahi Duka lolote lililo karibu nae anunue Sumu ya Panya anywe ili Afe aniondolee Udhia / Kero.
Chama wetu hamfikii Aziz K kabisa!!!
Kwakuwa nimemsifia Mchezaji wako wa Yanga SC Aziz K ila katika ule Uzi wangu wa Kuitabiria Yanga SC kufungwa na Azam FC Jana na haikutokea umekuja Kunishushuashukrani nyingi sana kwa maoni mazuri sana
Top scores wa nin nawewUnaongelea takwimu za misimu mingapi??? Aziz k top scorer ndo kwanza msimu wa pili
We mzee mbinguni mbali ujueKwakuwa nimemsifia Mchezaji wako wa Yanga SC Aziz K ila katika ule Uzi wangu wa Kuitabiria Yanga SC kufungwa na Azam FC Jana na haikutokea umekuja Kunishushua
Mnafiki mkubwa Wewe na ndiyo maana baada ya Kuwasoma kuwa hamna Akili na ni Mazuzu nimeamua Kuwasanifu kwa Kuwahamisheni mawazo yenu na nyote mmeingia Kingi huku nikiwadharau na kuwachekeni tu Kimoyomoyo.
Ukiwa na Akili Kubwa ni raha mno tu.
Cc: Ghiti Milimo
Mhasibu asiyejua tofauti ya Assets and Liabilities.Namsubiri OKWA SUNZU NA kihasibu hasara ya Aziz ki
Kuna Watu hawajui ni kwanini katika Signature yangu kuna neno Game Changer.We mzee mbinguni mbali ujue
Nikashangaa sana yaani kisa goli tatu za jana ndo kamzidi chama?? Hizo goli si ata sopu anajipigia tuKuna Watu hawajui ni kwanini katika Signature yangu kuna neno Game Changer.
Ukiwa na Akili Kubwa ni raha mo tu.
Wewe si ukisema yanga atoki baada ya Azam kufanya yake nje ya uwanja? Imekuwaje Tena unamsifia Azizi ki?Ukiona mpaka GENTAMYCINE (mwana Simba SC tukuka na lia lia ) navutiwa Kumtizama Mfalme wa Kipaji cha Mpira kutoka nchini Burkinafaso Stephane Aziz K ( pamoja na kwamba siipendi Yanga SC ) jua ya kwamba huyo Mtu anajua hasa kwani Kiasili huwa sipendi Vibovu Vibovu.
Kuanzia leo hii GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mchezaji Stephane Aziz K ndiyo Mchezaji mwenye Kipaji Kikubwa NBC Premier League, anaisaidia Timu Kiuhakika na anajua Kuonyesha Thamani yake Uwanjani na sote tunaiona.
Yoyote Yule atakayeuchukia huu Ukweli wangu kumhusu huyu Mchezaji awahi Duka lolote lililo karibu nae anunue Sumu ya Panya anywe ili Afe aniondolee Udhia / Kero.
Chama wetu hamfikii Aziz K kabisa!!!
Neno mapun'go unanikumbusha miaka takriban 27 iliyo pita BUSH STARS &TOWN STARS 🤩Acha kumfananisha chama na mapung'o