Mnaomfananisha Mbahatishaji Chama na Anayejua Aziz K mna Akili sawa sawa Kweli?

Wewe si simba bali ni mwana uto lia lia!! Ulijitahidi sana kufanya camouflage (kuvaa sura ya simba waklati ndani ni uto lia lia). Kama mwana uto una haki ya yote unayosema!! Lakini mwamba wa Lusaka atabaki mwamba asiye na mfano ligi kuu ya TZ bara!!
 
Nilikuwa nampango wa kuanza kutumia bangi lakini Kwa haya ninayo yaona,sobber house zijengwe kila Kara.
 
👏👏👏👏👏👏👏👏👏Msema kweli ni mpenzi wa mungu hongera sana mkuu umesema ukweli mtupu
 
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Hatari sana endelea kuwasanifu hawa wazeee wa mwiko nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…