Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
- #141
Mkuu mimi nina exposure kubwa kukuzidi katika hali yoyote ile.Nimekuuliza swali hujajibu. Narudia
Umewahi kutembelea ikulu yoyote haina complex.
Sometimes ushamba ni mzigo wa mbolea ya binadamu.
Kama kuchungulia White House tumeshafika, kama ni karibia na Buckhingham Palace tumefika, Jengo la Mfalme miaka hiyo Hirohoto ndo kabisa.
Halafu niulize kama ikulu zote wanakuwa na ukumbi wa watu 3000?
Umeuliza na Hazina Complex?, washamba ninyi wenye vihela vya pamba unaweza kujicompare na Denmark?
Nimefika Bank of Denmark, kajengo ka ghorofa 4/5 , sisi tumejijengea jengo la pesa za madafu towers mbili za ghorofa 10/11.
Ufisadi mtupu!
Sasa wewe masikini na matako yako yanayolia mbwata unajilinganisha na wakubwa wakati hata watoto wa wananchi wako wanakaa chini ya mti kusoma.
Mvua na jua vya kwao.
Sasa hapo kwa nyie mataahira , mshamba nani?
Sasa hapo unakuwa kama mmalawi aliyevaa ti na anaongea kiingereza kizuri huku underwear in matabo matupu, shati mgongoni imetoboka na suruali viraka vitupu.