Hali duni ya jamii kiujumla, elimu, afya, nishati, barabara, maji, ajira, mishahara na maslahi duni ya watumishi, kilimo, mifugo, ufukara wa kipato kwa wananchi walio wengi..........na hayo ni kwa uchache sana.Wewe kipaombele umeona ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali duni ya jamii kiujumla, elimu, afya, nishati, barabara, maji, ajira, mishahara na maslahi duni ya watumishi, kilimo, mifugo, ufukara wa kipato kwa wananchi walio wengi..........na hayo ni kwa uchache sana.Wewe kipaombele umeona ni nini?
Habari nzima ya kuhamisha makao makuu ya serikali kwenda Dodoma ni white elephant project, si Ikulu tu.
Tumetatua tatizo ambalo hatuna, wakati matatizo ambayo hatuna hatujayatatua.
Unataka kumdanganya nani? Kwani tumeanza kuwa na ikulu jana? Mbona ya Dar haina hayo makando kando? Tazama ikulu nyingi hata za majirani zetu utajua namna unavyojua hujui au unataka kudanganya. Ikulu inaendeshwa kwa kodi zetu.Jamani ikulu zote dunia zinahitajika kuwa self sufficient kwa mahitaji yote muhimu. Kumbi za mikutano, migahawa au hoteli kwa ajili ya wafanyakazi, makazi ya rais na wafanyakazi muhimu ambao ni wasaidizi wa rais, kwa kutaja kwa uchache!
Ikulu ni taasisi inayojitosheleza kwa kila kitu katika kuendesha nchi na kufanya maamuzi.
Kwaiyo tusijenge makazi yoyote mpaka tuyatatue hayo?Hali duni ya jamii kiujumla, elimu, afya, nishati, barabara, maji, ajira, mishahara na maslahi duni ya watumishi, kilimo, mifugo, ufukara wa kipato kwa wananchi walio wengi..........na hayo ni kwa uchache sana.
Waliona kuwa eneo lililotengewa Ikulu ni kubwa sana hivyo ili kusogeza Usifsadi karibu na Ikulu, wakaamua kuweka vimiradi hivyo kusudi iwe ni rahisi kwa wapiga dili kuingia Ikulu.Projects za kifisadi hizo mkuu viongozi wa Afrika wanawaza kuiba tu na sio kutatua changamoto za wananchi
Adui mkubwa wa taifa hili ni viongozi wa chama Cha mboga mboga
Serikali haikuwa na tatizo la makao makuu ya wizara wala ikulu, kwa nini utatue tatizo lsilokuwepo badala ya kukabiliana na changamoto lukuki zilizokuwepo na hata kwenda kukopa pesa!?Kwaiyo tusijenge makazi yoyote mpaka tuyatatue hayo?
CCM ni wapuuzi sana..Si tu kujenga white ekephants lakini ni kuchezea kodi zetu, ambazo wana Kariakoo wametuwakilisha vema zinavyotuumiza.
Wajeruman waliweka Boma milimani. Mfano Morogoro na Mahenge.. Dar Gavana akaweka ufukweni badala ya UDSM au Makongo wapate uharaka wa kuondokea baharini. Dodoma ilitakiwa iwe kule kwa Waziri Mkuu au Mzakwe, au juu njia ya Mvumi?. Ila msiogope technologia ya sasa ni kubwa, ulinzi ni high tech, electronic etc.Projects za kifisadi hizo mkuu viongozi wa Afrika wanawaza kuiba tu na sio kutatua changamoto za wananchi
Adui mkubwa wa taifa hili ni viongozi wa chama Cha mboga mboga
Muonekano safi. Ila design yenyewe ni kama enzi za Germanyii vile, maboma ya Waisraeli ambopo mizinga ya kivita iliwekwa juu like Fort Jesus ya Mombasa?, I expected contemporary sort of design, non flashy, eco/environmentally friendly. Kwa vumbi la Idodomia vs. rangi nyeupe watapiga rangi kila mwaka.Projects za kifisadi hizo mkuu viongozi wa Afrika wanawaza kuiba tu na sio kutatua changamoto za wananchi
Adui mkubwa wa taifa hili ni viongozi wa chama Cha mboga mboga
Hadithi ile ya mfalme mkali aliyeshonewa nguo isiyoonekana(transparent).Hivi na yeye akujua alichoongea si kitu kizuri hadi aseme public
Kasuku style....
Kwanza uwanja wa ndege ikulu unaweza kua sio sawa kwa usalamaRais anawasikiliza wahuni. Wao wanachojua ni kuzua kandarasi ili wale cha juu na commission. Hata white house marekani haina uwanja wa ndege. Sasa majengo ya zanzibar jengo la EAC ndani ya ikulu ya nini yote? Kuna mji wa serikali sasa mji wa ikulu wa nini tena🤣😂
Mkuu hii story ni kama kitabu Cha Kaptula la Marx ambapo rais kapera na wapambe wake walikuwa wakimsifia lakini Tarishi alimwambia ukweli bila kupepesa macho jambo ambalo lilifanya waziri mmoja kumwambia Tarishi kwambaHadithi ile ya mfalme mkali aliyeshonewa nguo isiyoonekana(transparent).
Kila chawa na mpambe akawa anamsifia kuwa amependeza sana-kwa kuogopa kukatwa kichwa na mfalme.
Hilo liliendelea hadi akatoka nje ya kasri.
Mtoto mdogo aka piga kelele "Mfalme yuo uchi, mfalme yuko uchi"
Baada ya hapo kila mpambe akatafuta uchochoro wa kutokea!
Ikulu siyo uwanja wa sabasaba!Je umewahi kutembelea Ikulu yoyote na hazina complex?
Nimekuuliza swali hujajibu. NarudiaIkulu siyo uwanja wa sabasaba!
Una hoja ,usikilizwe.Labda nimeelewa vibaya kuwa eneo la Ikulu ni kubwa mno
Sidhani huo ukumbi utakuwa karibu na Ikulu
Kwanza mjue eneo la Ikulu ni ukubwa gani ndio muanzie hapo
Nasubiri wa karibu hapo