FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hata Dar lipo, uneshafika Ikulu ya Dar? Unakumbuka bwana yule kazi yake ya mwanzo mwanzo Ikulu ilikuwa ipi? Jikumbushe 👇🏾Kuna soko Ikulu?
Amandla...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Dar lipo, uneshafika Ikulu ya Dar? Unakumbuka bwana yule kazi yake ya mwanzo mwanzo Ikulu ilikuwa ipi? Jikumbushe 👇🏾Kuna soko Ikulu?
Amandla...
Watakuwa wanakusanya kodi tuuuWalienda kuchukua ramani ulaya huko sijui nchi gani, na kwa wabongo walivyo wakafikia hotelini wakala bata wakapewa ramani feki, sawa na yule aliyepewa maboksi ya dawa ya korona feki.
Hawa wasomi wetu walishindwa nini kuchora mchoro wa ikulu ?
Ulisikia wapi ikulu ndani mna soko?
Ni mtu wa starehe sana 😅 kuna clip niliiona sehemu,alikuwa kwenye hafla fulan na wamama wa kazanziber,wamepigilia Madera makali,vipuli vya dhahabu ,wanasaga tu midomo,na kutikisa maungo kwa mziki laini taratibuuu🤣🤣Raisu wa awamu hii anapeenda sana vitu vya starehestarehe sana
Elimu yetu ndo tatizo!!Kuhusu wasomi wetu kwakweli hapo ni zaidi ya amajnga, nilikuwa kwenye project moja ya serekali sisi tulipewa tenda ya kusafirisha vifaa vya huo mradi sasa wakaja Ma Engineer wa Serekali kukaguwa vifaa cha ajabu wao wanatuuliza sisi hiki kinaitwaje? mburaaaa [emoji1787] [emoji1787] [emoji2369]
Hata Dar lipo, uneshafika Ikulu ya Dar? Unakumbuka bwana yule kazi yake ya mwanzo mwanzo Ikulu ilikuwa ipi? Jikumbushe 👇🏾
View attachment 2632206
jengo la samia,la zanziba pamoja na majengo east africa kwa manufaa ya nani.madarasa hayana viti wala walimu wa kutosha,hospitali hakuna watumishi na madawa halafu tunaweka lavish majengo pale chamwino!nchi yangu tanzania.Katika nchi yoyote, Ikulu is one of the most, if not the most secure premise. Maana hapo ndio ofisi za madaraka ya juu kabisa.
Pamoja na kupongeza ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino, nimeshangazwa sana na mapendekezo mapya ya majengo ya huduma.
Pengine kama sijaelewa maana yake.
-Kutakuwepo na jengo la Samia Complex,
-Ukumbi wa mkutano wa watu 2000 hadi 3000.
-Uwanja wa ndege.
-Jengo la Zanzibar
-Majengo ya East Africa
Sasa hapo nikajiuliza unapokaribisha umati kama huo wa watu ndani ya Ikulu, na wahudumu ambao kazi zao si za moja kwa moja na shughuli za Ikulu, na ukumbi ambao hauna commercial use, maana yake nini kiuhalisia?
Usalama wa Ikulu yenyewe kama hiyo itakuwa na gharama kubwa .
Kwa 98% , majengo pendekezwa yatakuwa hayatumiki kwa day to day business.
Pale Ukumbi wa CCM Jakaya Kikwete, ukumbi uko mjini lakini kuna popo, maana matumizi yake kwa mwezi ni mara moja au mbili.
Kama kuna mikutano mfululizo pengine mara moja ndani ya miezi mitano au sita.
Washauri wa Rais, kwani hamuoni hiyo mis use ya public funds?
Si tu kujenga white ekephants lakini ni kuchezea kodi zetu, ambazo wana Kariakoo wametuwakilisha vema zinavyotuumiza.
Mkuu suala si wasomi tu walioboronga.Walienda kuchukua ramani ulaya huko sijui nchi gani, na kwa wabongo walivyo wakafikia hotelini wakala bata wakapewa ramani feki, sawa na yule aliyepewa maboksi ya dawa ya korona feki.
Hawa wasomi wetu walishindwa nini kuchora mchoro wa ikulu ?
Ulisikia wapi ikulu ndani mna soko?
Usiwe muongo binti wa kiislamu. Hamna soko ndani ya Ikulu ya Magogoni. JPM alikuwa anafanya usafi nje ya eneo la Ikulu.Hata Dar lipo, uneshafika Ikulu ya Dar? Unakumbuka bwana yule kazi yake ya mwanzo mwanzo Ikulu ilikuwa ipi? Jikumbushe 👇🏾
View attachment 2632206
Hao vibiriti ngoma wakati mwingine usiwape hata hadhi ya kuwajibu.Usiwe muongo binti wa kiislamu. ⁷Hamna soko ndani ya Ikulu ya Magogoni. JPM alikuwa anafanya usafi nje ya eneo la Ikulu.
Amandla...
Kwa hiyo wewe ni mwanausalama.saaana kuliko wanausalama wenyewe?Katika nchi yoyote, Ikulu is one of the most, if not the most secure premise. Maana hapo ndio ofisi za madaraka ya juu kabisa.
Pamoja na kupongeza ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino, nimeshangazwa sana na mapendekezo mapya ya majengo ya huduma.
Pengine kama sijaelewa maana yake.
-Kutakuwepo na jengo la Samia Complex,
-Ukumbi wa mkutano wa watu 2000 hadi 3000.
-Uwanja wa ndege.
-Jengo la Zanzibar
-Majengo ya East Africa
Sasa hapo nikajiuliza unapokaribisha umati kama huo wa watu ndani ya Ikulu, na wahudumu ambao kazi zao si za moja kwa moja na shughuli za Ikulu, na ukumbi ambao hauna commercial use, maana yake nini kiuhalisia?
Usalama wa Ikulu yenyewe kama hiyo itakuwa na gharama kubwa .
Kwa 98% , majengo pendekezwa yatakuwa hayatumiki kwa day to day business.
Pale Ukumbi wa CCM Jakaya Kikwete, ukumbi uko mjini lakini kuna popo, maana matumizi yake kwa mwezi ni mara moja au mbili.
Kama kuna mikutano mfululizo pengine mara moja ndani ya miezi mitano au sita.
Washauri wa Rais, kwani hamuoni hiyo mis use ya public funds?
Si tu kujenga white ekephants lakini ni kuchezea kodi zetu, ambazo wana Kariakoo wametuwakilisha vema zinavyotuumiza.
Ulinzi wa nchi yngu Tanzania ni jukumu la kila mwananchi, kila mjamaa, na hasa kila mzalendo- Imani ya mwanachama wa TANU.Kwa hiyo wewe ni mwanausalama.saaana kuliko wanausalama wenyewe?
Wewe nenda ule ulaleUlinzi wa nchi yngu Tanzania ni jukumu la kila mwananchi, kila mjamaa, na hasa kila mzalendo- Imani ya mwanachama wa TANU.
Sasa ninyi pimbi wa juzi mnafikiri nchi inajilinda yenyewe.
Wala hamjui kuwa hata Uganda tulienda, Mwalimu alisema ukweli kuwa nchi haina cha kutupa ila asante kwa uzalendo.Wewe nenda ule ulale
Kuiga majengo ya zamani ni ushamba uliopitiliza......Jk aliongea kwenye uzinduzi juzi kuwa aliwatuma watu huko mbele.
Itakuwa ramani ya kwanza waliitupa hukoo
Mkuu hilo si dhumuni la mada yangu.Kama Jiwe alikufa kabla ya kumaliza, huyu naye hatamaliza 2030
Kwanza hukuwa na option ya kukataa manaa ni lazimaWala hamjui kuwa hata Uganda tulienda, Mwalimu alisema ukweli kuwa nchi haina cha kutupa ila asante kwa uzalendo.
JK aliwaambia waige ya Thailand, wao wameenda copy paste Ikulu ya Magogoni.Sawa ngoja nitairudia niijue hiyo nchi yenye sinagogi
kweli kabisa. Ukiangalia JK alivyotawanya UDOM, lazima alikuwa na ramani ya tofauti pengine nzuri sana ya ikulu mpya. mwenda zake akagoma kuitumiaJk aliongea kwenye uzinduzi juzi kuwa aliwatuma watu huko mbele.
Itakuwa ramani ya kwanza waliitupa hukoo