Mnaomshauri Rais juu ya Ikulu mpya Chamwino muogopeni Mungu

Mnaomshauri Rais juu ya Ikulu mpya Chamwino muogopeni Mungu

Labda nimeelewa vibaya kuwa eneo la Ikulu ni kubwa mno
Sidhani huo ukumbi utakuwa karibu na Ikulu

Kwanza mjue eneo la Ikulu ni ukubwa gani ndio muanzie hapo
Nasubiri wa karibu hapo
Tatizo si eneo.
Hebu linganisha na mfano huu.
Ikulu ni mahali nyeti kuliko kambi yoyote ya Jeshi.
Sasa pale Lugalo wewe kaweke ukumbi wa mikutano kwa watu 3000.
Mtu atakuona mwehu!
 
Labda nimeelewa vibaya kuwa eneo la Ikulu ni kubwa mno
Sidhani huo ukumbi utakuwa karibu na Ikulu

Kwanza mjue eneo la Ikulu ni ukubwa gani ndio muanzie hapo
Nasubiri wa karibu hapo
Hata kama eneo kubwa ila ni ndani ya Ikulu, tatizo tiaiesi wamejaa uvccm na baba/mama zao unategemea ufanisi utoke wapi
 
Labda nimeelewa vibaya kuwa eneo la Ikulu ni kubwa mno
Sidhani huo ukumbi utakuwa karibu na Ikulu

Kwanza mjue eneo la Ikulu ni ukubwa gani ndio muanzie hapo
Nasubiri wa karibu hapo
Hata kama eneo kubwa ila ni ndani ya Ikulu, tatizo tiaiesi wamejaa uvccm na baba/mama zao unategemea ufanisi utoke wapi
 
Labda nimeelewa vibaya kuwa eneo la Ikulu ni kubwa mno
Sidhani huo ukumbi utakuwa karibu na Ikulu

Kwanza mjue eneo la Ikulu ni ukubwa gani ndio muanzie hapo
Nasubiri wa karibu hapo
Ni kweli kaka lakini kutokana na unyeti wa ikulu na udhaifu wa ulinzi wetu ulio legezwa na wana siasa watu ndio wanakuwa na mashaka na hilo, kumbuka sasa Dunia imekuwa ina mambo mengi sana hasa ya ugaidia nk.
 
Nchi inaongozwa na Mapaka 👇😁😁😁
AEb8rs.jpeg
16525976734300.jpg
AEb8rsjc_1.png
ummY_jc.jpg
 
Hilo jambo utaishia kulisikia tu, halitatekelezwa.

Hadi kufikia tamati ya uongozi huu wa mpito, tutakuwa tumeona mengi.
 
Katika nchi yoyote, Ikulu is one of the most, if not the most secure premise. Maana hapo ndio ofisi za madaraka ya juu kabisa.

Pamoja na kupongeza ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino, nimeshangazwa sana na mapendekezo mapya ya majengo ya huduma.
Pengine kama sijaelewa maana yake.
-Kutakuwepo na jengo la Samia Complex,
-Ukumbi wa mkutano wa watu 2000 hadi 3000.
-Uwanja wa ndege.
-Jengo la Zanzibar
-Majengo ya East Africa

Sasa hapo nikajiuliza unapokaribisha umati kama huo wa watu ndani ya Ikulu, na wahudumu ambao kazi zao si za moja kwa moja na shughuli za Ikulu, na ukumbi ambao hauna commercial use, maana yake nini kiuhalisia?

Usalama wa Ikulu yenyewe kama hiyo itakuwa na gharama kubwa .
Kwa 98% majengo pendekezwa yatakuwa hayatumiki kwa day to day business.

Pale Ukumbi wa CCM Jakaya Kikwete, ukumbi uko mjini lakini kuna popo, maana matumizi yake kwa mwezi ni mara moja au mbili.
Kama kuna mikutano mfululizo pengine mara moja ndani ya miezi mitano au sita.

Washauriwa Rais kwani hamuoni hiyo mis use ya public funds?

Si tu kujenga white ekephants lakini ni kuchezea kodi zetu, ambazo wana Kariakoo wametuwakilisha vema zinavyotuumiza.
Kama ni "kuchezea kodi" basi aliyeleta wazo la kuhamishia makao makuu Dodoma na kuziasisi CDA ndiye mwenye makando makando hayo. Unamkumbuka ni nani?
 
Unanikumbusha kipindi fulani cha mzee wa msoga, niliwahi kufanya oral katika taasisi moja ya kiserikali, wakawa wananiuliza uliza maswali ambayo hayaendani kabisa na kada nayoenda kuifanyia kazi, maswali kuhusu miradi mingi ya kiserikali na mambo ya chama.

Jinsi nilivyokua nawajibu juu juu, wakagundua kuwa mimi sio mfuatiliaji mzuri sana wa habari za siasa na serikali. Mwisho wakaniuliza kwanini sifuatilii kwa ukaribu mambo yanayohusu nchi yangu?

Nakumbuka niliwajibu "Kwa sababu mambo mengi yanayoendelea kwenye nchi yangu yananipa huzuni zaidi kuliko furaha".

Wakacheka sana na ile kazi hawakunipa kiroho mbaya!
 
ikulu ni jumba la utawala na huwezi kuitenga ikulu na usiri.

ikulu sio mahali pa kufanya biashara, Sasa huo m complex , wa Nini . sio mahali pake hapo. hizo pesa za kujenga Samia complex mbuni kitu kingine , na kiwe nje na ikulu , ili wananchi wote wawe na fursa ya kupa fikia .
 
Tatizo si eneo.
Hebu linganisha na mfano huu.
Ikulu ni mahali nyeti kuliko kambi yoyote ya Jeshi.
Sasa pale Lugalo wewe kaweke ukumbi wa mikutano kwa watu 3000.
Mtu atakuona mwehu!
Wao wanawaza sherehe tu ndio akili zetu mwisho hapo

White house yenyewe iko sehemu ambayo watu wanapita na ni hatari mpaka yule jamaa akaja na bunduki na kuanza kupiga hovyo pale.

Ila ulinzi ni wa Mungu tu na sisi tunaenda tu
 
Back
Top Bottom