Mnaomsikiliza Lissu kwenye wimbi la 255 CHADEMA je, anahimiza jamii na vijana kufanya kazi?

Mnaomsikiliza Lissu kwenye wimbi la 255 CHADEMA je, anahimiza jamii na vijana kufanya kazi?

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hello!!
Nimetafakari kiasi ni kwa namna gani mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa inavyoweza kuinua uchumi na molari wa kujituma katika upambanaji hasa endapo viongozi wanasiasa kwenye mikutano yao wakihimiza bidii ya kazi.

Na wakahusisha ratiba za mikutano yao na kauli mbiu tufanye kazi Tupate pesa Tupate ada Kisha baadae tuongee siasa, uongozi, haki, uhuru, changamoto na maendeleo.

Namna bora ya kuinua uchumi wa mahali husika kwa kufahamu shida za wananchi katika mawanda mapana ya uchumi.

Je, Tundu Lissu ana agenda zozote kuhusu uchumi wa maeneo na kuhimiza kufanya kazi ikienda pamoja na kusikiliza kero na kushitakia kwa viongozi wakuu hatua za haraka ama kukomeshwa kwa kero hizo.

Political parties on their grassroots mobilisation campaigns should include core issues like community empowerment across various spheres, wealth creation, strategic business investment, market creation, economic linkages, assessment of trickle down effects across spheres.

Lissu should focus on politics with geographic and community customization. The national topics yes but that should overwhelm other key issues wherever he goes.

Politics along with community empowerment agenda is rewarding and so powerful.

Nawasilisha

Wadiz a.k.a Baharia
 
Je, Tundu Lissu ana agenda zozote kuhusu uchumi
Ndio, soma hii:

1685078316673.png
 
..mikutano yao wakihimiza bidii ya kazi.
Jibu utakalopewa ni kuwa ...katiba mpya, kana kwamba katiba mpya italipia wanafunzi ada, itawapa watanzania chakula Bure, itawapa mahali pa kulala Bure, itawafanya wa"bet bila pesa"(ugonjwa mbaya unaolitafuna Taifa na kutajirisha wachache), yaani hawa jamaa ni shiiidaa!

Hata hivyo, inategemea na kandarasi waliyopewa ramani ya jengo inasomaje?
 
Kufanya kazi nako mpaka wahimizwe na Lissu? Au tunataka awe motivational speaker badala ya mwanasiasa?
 
Kama ndiyo, hivyo, basi tutalazima kutafuta tafsiri na maudhui mapya ya Siasa!!
Siasa ni kila kitu na siasa ni Maisha na siasa ni uchumi. Siasa ni uongozi siasa ni jicho la kila kitu siasa ni kioo
 
Sasa katika kushughulikia haya matatizo aliyobainisha CAG, Lissu anashauri nini kifanyike kwa Sasa na Hata hapo Baadaye!!! ?
Utaratibu wa Ripoti ya CAG ni kwamba kwanza huwa inapelekwa kwa Rais halafu bungeni. Huwa hakuna nafasi ya kushauri kama wewe sio Rais au mbunge, na wabunge wenyewe ndio hao wa CCM, ndio maana Lissu anawaamsha watu wawachague wabunge watakaothubutu kuibana serikali kutokana na yaliyomo kwenye ripoti ya CAG
 
Hello!!
Nimetafakari kiasi ni kwa namna gani mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa inavyoweza kuinua uchumi na molari wa kujituma katika upambanaji hasa endapo viongozi wanasiasa kwenye mikutano yao wakihimiza bidii ya kazi.

Na wakahusisha ratiba za mikutano yao na kauli mbiu tufanye kazi Tupate pesa Tupate ada Kisha baadae tuongee siasa, uongozi, haki, uhuru, changamoto na maendeleo.

Namna bora ya kuinua uchumi wa mahali husika kwa kufahamu shida za wananchi katika mawanda mapana ya uchumi.

Je, Tundu Lissu ana agenda zozote kuhusu uchumi wa maeneo na kuhimiza kufanya kazi ikienda pamoja na kusikiliza kero na kushitakia kwa viongozi wakuu hatua za haraka ama kukomeshwa kwa kero hizo.

Political parties on their grassroots mobilisation campaigns should include core issues like community empowerment across various spheres, wealth creation, strategic business investment, market creation, economic linkages, assessment of trickle down effects across spheres.

Lissu should focus on politics with geographic and community customization. The national topics yes but that should overwhelm other key issues wherever he goes.

Politics along with community empowerment agenda is rewarding and so powerful.

Nawasilisha

Wadiz a.k.a Baharia
Ukiona mwanasiasa ameishi ulaya muda mrefu alaf anaporudi nyumban anaanzisha uwanaharakati uchwara usiokuwa na kichwa wala miguu, basi ujue mwanasiasa huyo anakuwa asha setiwa na wazungu ili aje aanzishe vugu vugu la kuvuruga amani iliyopo kupitia mgongo wa siasa uchwara zilizopo katika nchi husika.

Hasa kwa bara letu hili la Africa ambalo 80% ya wananchi wake bado wanaishi na ukungu wa kifikra ndan ya vichwa vyao.

Ndiomaana hata chama chake kimemshtukia na kuamua kumtelekeza rasmi.

Wabeleji sio poa, hao na baba zao Marekani ndio waliompika Mobutu ili aivuruge Congo, na kweli alifanikiwa kuivuruga na wao kuchota madini watakavyo.
 

Attachments

  • IMG-20230520-WA0008.jpg
    IMG-20230520-WA0008.jpg
    110.2 KB · Views: 2
Hello!!
Nimetafakari kiasi ni kwa namna gani mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa inavyoweza kuinua uchumi na molari wa kujituma katika upambanaji hasa endapo viongozi wanasiasa kwenye mikutano yao wakihimiza bidii ya kazi.

Na wakahusisha ratiba za mikutano yao na kauli mbiu tufanye kazi Tupate pesa Tupate ada Kisha baadae tuongee siasa, uongozi, haki, uhuru, changamoto na maendeleo.

Namna bora ya kuinua uchumi wa mahali husika kwa kufahamu shida za wananchi katika mawanda mapana ya uchumi.

Je, Tundu Lissu ana agenda zozote kuhusu uchumi wa maeneo na kuhimiza kufanya kazi ikienda pamoja na kusikiliza kero na kushitakia kwa viongozi wakuu hatua za haraka ama kukomeshwa kwa kero hizo.

Political parties on their grassroots mobilisation campaigns should include core issues like community empowerment across various spheres, wealth creation, strategic business investment, market creation, economic linkages, assessment of trickle down effects across spheres.

Lissu should focus on politics with geographic and community customization. The national topics yes but that should overwhelm other key issues wherever he goes.

Politics along with community empowerment agenda is rewarding and so powerful.

Nawasilisha

Wadiz a.k.a Baharia
Wewe mjinga kweli kweli yaani unataka uhimizwe kufanya kazi zako mwenyewe zinazokuingizia kipato! Sasa una tofauti gani na nguruwe au ng'ombe anayesubiri kupelekewa chakula.
 
Ukiona mwanasiasa ameishi ulaya muda mrefu alaf anaporudi nyumban anaanzisha uwanaharakati uchwara usiokuwa na kichwa wala miguu, basi ujue mwanasiasa huyo anakuwa asha setiwa na wazungu ili aje aanzishe vugu vugu la kuvuruga amani iliyopo kupitia mgongo wa siasa uchwara zilizopo katika nchi husika.

Hasa kwa bara letu hili la Africa ambalo 80% ya wananchi wake bado wanaishi na ukungu wa kifikra ndan ya vichwa vyao.

Ndiomaana hata chama chake kimemshtukia na kuamua kumtelekeza rasmi.

Wabeleji sio poa, hao na baba zao Marekani ndio waliompika Mobutu ili aivuruge Congo, na kweli alifanikiwa kuivuruga na wao kuchota madini watakavyo.

Kuishi ulaya muda mrefu, Lisu hakuwa Ulaya kutafuta maisha, bali alienda kimatibabu, na baadae alimkimbia yule mlevi wa madaraka. Wazungu wamset Lisu ili awape nini, kwani ni kipi hao wazungu wanakosa kwa ccm hadi wapoteze muda kumset Lisu? Huyo Lisu siasa anazofanya ni hizo hizo kabla ya kwenda au kurudi toka ulaya. Miradi mikubwa, na raslimali zote za nchi hii zinavunwa na wageni, au Lisu atakuwa na wageni wake tofauti na hawa tunaowaona? Rudi shule ukijifunze propaganda boss.
 
Hello!!
Nimetafakari kiasi ni kwa namna gani mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa inavyoweza kuinua uchumi na molari wa kujituma katika upambanaji hasa endapo viongozi wanasiasa kwenye mikutano yao wakihimiza bidii ya kazi.

Na wakahusisha ratiba za mikutano yao na kauli mbiu tufanye kazi Tupate pesa Tupate ada Kisha baadae tuongee siasa, uongozi, haki, uhuru, changamoto na maendeleo.

Namna bora ya kuinua uchumi wa mahali husika kwa kufahamu shida za wananchi katika mawanda mapana ya uchumi.

Je, Tundu Lissu ana agenda zozote kuhusu uchumi wa maeneo na kuhimiza kufanya kazi ikienda pamoja na kusikiliza kero na kushitakia kwa viongozi wakuu hatua za haraka ama kukomeshwa kwa kero hizo.

Political parties on their grassroots mobilisation campaigns should include core issues like community empowerment across various spheres, wealth creation, strategic business investment, market creation, economic linkages, assessment of trickle down effects across spheres.

Lissu should focus on politics with geographic and community customization. The national topics yes but that should overwhelm other key issues wherever he goes.

Politics along with community empowerment agenda is rewarding and so powerful.

Nawasilisha

Wadiz a.k.a Baharia
Anahimiza migomo na maandamano tu
 
Kuishi ulaya muda mrefu, Lisu hakuwa Ulaya kutafuta maisha, bali alienda kimatibabu, na baadae alimkimbia yule mlevi wa madaraka. Wazungu wamset Lisu ili awape nini, kwani ni kipi hao wazungu wanakosa kwa ccm hadi wapoteze muda kumset Lisu? Huyo Lisu siasa anazofanya ni hizo hizo kabla ya kwenda au kurudi toka ulaya. Miradi mikubwa, na raslimali zote za nchi hii zinavunwa na wageni, au Lisu atakuwa na wageni wake tofauti na hawa tunaowaona? Rudi shule ukijifunze propaganda boss.
Wazungu waliomuweka Mobutu madarakani ndio hao hao waliomtoa Mobutu madarakani. Unafikiri walikosa nini mpaka kumtoa mtu waliomuweka wao wenyewe madarakani?

Usiwe mvivu wa kutumia akili yako kufikiria nje ya box kwa sababu ya mahaba yako uliyonayo kwa yule unaempenda.

Wazungu wana njia nyingi za kutumia kuchota rasilimali za Afrika, baadhi ya njia hizo ni hizo hapo chini:

1. Kuchota rasilimali zetu kupitia mikataba butu ambapo hulipa fedha kidogo na kuchota rasilimali nyingi

2. Kuwatumia mamluki kama vile Lisu kuanzisha chokochoko na uasi ndani ya nchi yao ili iwe vyepesi wao kuingia na kuchota kile ambacho kitakuwa nje ya huo mkataba butu ninao kwambia.

Nikupe mfano wa Congo ambapo pamoja na kwamba walimuuwa Kabila baba na kumuweka mtu wa Kabila ili kuchota rasilimali zao, lkn bado wazungu hao hao waliendelea ku create makundi mbali mbali ya waasi katika nchi hiyo ili waweze kuiba madini ambayo hayatokuwa yanakaguliwa na hao walioandika hiyo mikataba butu.

Kinachofanywa na M23 leo chini ya Kagame huko Congo hakumaanishi kwamba hao wazungu hawana wanachopata Congo kwa bei chee bali huo ndio utaratibu wao ambao wanatumiaga siku zote kutoka nchi zetu za kiafrika, kwa kuchota kupitia mikataba na kuiba kupitia vita, na hii so kwa Congo pekee bali hata huko Msumbiji, Sudan nk.

Kampuni ya Ufaransa iliingia makubaliano butu na Msumbiji ya kuchimba gesi, lkn wakaona haitoshi na kuunda kikundi kinachojifanya kinapigania dini fulan ili kuwafubaza wavivu wa kufikiri nk.

Tukubali tukatae, ukweli ni kwamba Lisu ni miongoni mwa wanasiasa wanaoangalia zaidi matumbo yao na familia zao iwe kwa kudanganya, kugombanisha au kutumia njia isiyokuwa halali ili apate anachotaka. Swala la kupigania wanyonge anawafubaza nyie mnaotumia muda mwingu kuamini wanasiasa.
 
Wazungu waliomuweka Mobutu madarakani ndio hao hao waliomtoa Mobutu madarakani. Unafikiri walikosa nini mpaka kumtoa mtu waliomuweka wao wenyewe madarakani?

Usiwe mvivu wa kutumia akili yako kufikiria nje ya box kwa sababu ya mahaba yako uliyonayo kwa yule unaempenda.

Wazungu wana njia nyingi za kutumia kuchota rasilimali za Afrika, baadhi ya njia hizo ni hizo hapo chini:

1. Kuchota rasilimali zetu kupitia mikataba butu ambapo hulipa fedha kidogo na kuchota rasilimali nyingi

2. Kuwatumia mamluki kama vile Lisu kuanzisha chokochoko na uasi ndani ya nchi yao ili iwe vyepesi wao kuingia na kuchota kile ambacho kitakuwa nje ya huo mkataba butu ninao kwambia.

Nikupe mfano wa Chongo ambapo pamoja na kwamba walimuuwa Kabila baba na kumuweka mtu wao Kabila mtoto kuchota rasilimali zao, lkn bado wazungu hao hao waliendelea ku create makundi mbali mbali ya waasi katika nchi hiyo ili waweze kuvuna madini ambayo hayatokuwa yanakaguliwa na hao walioandika hiyo mikataba butu.

Kinachofanywa na M23 leo chini ya Kagame huko Congo hakumaanishi kwamba hao wazungu hawana wanachopata Congo kwa bei chee bali huo ndio utaratibu wao wanaotumiaga siku zote kutoka nchi zetu za kiafrika, kwa kuchota kupitia mikataba na kuiba kupitia vita, na hii so kwa Congo pekee bali hata huko Msumbiji, Sudan nk.

Kampuni ya Ufaransa iliingia makubaliano butu na Msumbiji ya kuchimba gesi, lkn wakaona haitoshi na kuunda kikundi kinachojifanya kinapigania dini fulan ili kuwafubaza wavivu wa kufikiri nk.

Leo hii kwenye nchi yetu tunaona makampuni ya wazungu yakivuna raslimali zetu na Tundu Lisu bado hajachukua madaraka, je hawa wazungu wanamtumia nani hadi sasa? Je ni raslimali gani tunazo, wakati hadi leo bado nchi yetu ni masikini hivi? Kama tuna rasilimali nyingi hivyo hadi wazungu wanataka kumtumia Lisu kuzichukua, kwanini msiuze hizo, badala yake mnatuwekea Matozo ya kipuuzi? Ila nyie wazee propaganda mfu za CCM naona zimewapumbaza vibaya.
 
Back
Top Bottom