Mnaomtetea Hayati Magufuli nionesheni kaburi la Ben Saanane, Azory Gwanda na CCTV footage ya shambulio la Lissu

Hao viherehere watatu ndio Tanzania nzima? Una ushahidi wa kuonesha Magufuli aliwaua kwa mikono yake wazi?
 
Huyo mzee aliwadobora hasa,mpaka leo mnajinyea hovyo tu
 
Wakikuonyesha nitag.
 
JPM aliwatia vidole sana hamuwezi kumsahau
Kwa hiyo watanzania wako sahihi wamapolalamika. Sio kosa la Magufooli ila ni tabia ya chama. Kwa hiyo tukisema na chama kinamilikiwa na MADICTETA Kuna ubaya gani?

Ilq Kuna muda, siku na nyakati Siri zitafichuka, ndugu za hao watu watawatafuta wabaya wao barabarani. Jinai haifutiki na sio kwamba watu hawajui, watu wanajua lakini wasemee wapi?

Mahakama imekuwa Kama ya familia. Laana zilizofanyika nyuma zitawamaliza.
 
Leo umeamka na njaa yako na mzimu wa Magufuli nao umegoma kuacha kukutesa!

Mtateseka sana!
 

Duh
 
Sababu juu ya saa 8 ndo hizi?
 
Subiri kesi ya Lisu ikiianza uwende ukatoe ushahidi kuwa alipigwa risasi na JPM

Inaonekana wewe utafaa sana kuisadia polisi maana unajua mambo mengi sana
 
Kamuulize Ziro hujui alipo??

Kama Yuko mbali muulize aliyekuwa Makamo wa magu!!!

Kwann uoneshwe makaburi na wanaokumbuka MAZURI ya Magu?

Sisi tunamkumbuka Kwa mengi MAZURI alifanya baaas. Mabaya yake atamalizana na Muumba wake.

Yaani ntasahau vp petrol iliwahi uzwa 1800 ktk utawala wake!!!
 
Hayo ya mwendazake labda tumuulize Sabaaya, Makonda na Msiba. Angefanya maziri hizi sura zingejipaka majivu usoni kubadilii sura zao? CCM inawatesa watanzania kwa roho mbaya.

Kwani serikali I'mebadilika au? Leo hii chakula ni being gani? Je kila mtanzania anauwezo was kununua hicho chakula?

Nyinyi ndiyo mnalazimisha michango ya tozo mkalishe familia zenu.

Nuiny
 
We kiazi kweli, hayo makaburi ya hao unaowataka kawaulize watunza makaburi wakuonyeshe usituulize sisi, kwani una uhakika gani kama wamekufa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…