The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
kwa maana nyingine, wote wanaomshabikia Magu ni mbumbumbu wa mtu wasiomjua undani wake- Period. Nimekuelewa.Watanzania wengi wanampenda Magufuli kupindukia. Sababu kuu nadhani ni ushamba na roho mbaya. Wengi ukiwauliza kwanini unampenda Magufuli atakuambia jamaa ni mchapa kazi. Kama kufanya maendeleo Rais Samia kafanya makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka 3 kuliko Magufuli wa miaka 6. Ila ile comedy na roho mbaya ya kutumbua wenzake hadharani ndio sababu kuu ya Watanzania kumpenda Magufuli.
Mtanzania hufurahi sana matatizo ya mwenzake. Mtanzania anafurahi taarifa za msiba, ajali , jirani kukosa kazi, kufukuzwa kazi n.k
Mtanzania akiona jirani yake kalala njaa moyo wake unaburufldika.
Magufuli nimemjua kitambo kabla hajawa Rais . Ni mtu mwenye roho mbaya sana.
Magufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.
Magufuli alikuwa katili. Ndio vile tu hatuwezi kusema kila kitu kuhofia uhai wetu lakini yule Mzee kutoa roho za wenzake huo mchezo kauanza kabla hajawa Rais. Mumtafute dereva wake wa zamani akiwa waziri wa ujenzi kabla hajawa Rais mumuhoji politely huenda atafunguka. Yeye anaujua vizuri ukatili wa Magufuli.
Mwingine atajitokeza na kusema kwamba alimjua Magufuli kabla hajazaliwa.Mimi magufuli nimemjua Toka akiwa mdogo.Alikuwa na upendo wa hali ya juu sana Kwa watu wema lakini alikuwa mkali Kwa watu wabaya kama wezi, wazembe na wasiujishughulisha.Ndiyo maana alipokuwa rais aliwanyoosha sana mafisadi.
We takataka kabisa.. ebu ondoa uchafu huu.. huyo samia kafanya kitu gani ambacho hakina mkono wa magufuliWatanzania wengi wanampenda Magufuli kupindukia. Sababu kuu nadhani ni ushamba na roho mbaya. Wengi ukiwauliza kwanini unampenda Magufuli atakuambia jamaa ni mchapa kazi. Kama kufanya maendeleo Rais Samia kafanya makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka 3 kuliko Magufuli wa miaka 6. Ila ile comedy na roho mbaya ya kutumbua wenzake hadharani ndio sababu kuu ya Watanzania kumpenda Magufuli.
Mtanzania hufurahi sana matatizo ya mwenzake. Mtanzania anafurahi taarifa za msiba, ajali , jirani kukosa kazi, kufukuzwa kazi n.k
Mtanzania akiona jirani yake kalala njaa moyo wake unaburufldika.
Magufuli nimemjua kitambo kabla hajawa Rais . Ni mtu mwenye roho mbaya sana.
Magufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.
Magufuli alikuwa katili. Ndio vile tu hatuwezi kusema kila kitu kuhofia uhai wetu lakini yule Mzee kutoa roho za wenzake huo mchezo kauanza kabla hajawa Rais. Mumtafute dereva wake wa zamani akiwa waziri wa ujenzi kabla hajawa Rais mumuhoji politely huenda atafunguka. Yeye anaujua vizuri ukatili wa Magufuli.
We takataka kabisa.. ebu ondoa uchafu huu.. huyo samia kafanya kitu gani ambacho hakina mkoko wa magufuliWatanzania wengi wanampenda Magufuli kupindukia. Sababu kuu nadhani ni ushamba na roho mbaya. Wengi ukiwauliza kwanini unampenda Magufuli atakuambia jamaa ni mchapa kazi. Kama kufanya maendeleo Rais Samia kafanya makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka 3 kuliko Magufuli wa miaka 6. Ila ile comedy na roho mbaya ya kutumbua wenzake hadharani ndio sababu kuu ya Watanzania kumpenda Magufuli.
Mtanzania hufurahi sana matatizo ya mwenzake. Mtanzania anafurahi taarifa za msiba, ajali , jirani kukosa kazi, kufukuzwa kazi n.k
Mtanzania akiona jirani yake kalala njaa moyo wake unaburufldika.
Magufuli nimemjua kitambo kabla hajawa Rais . Ni mtu mwenye roho mbaya sana.
Magufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.
Magufuli alikuwa katili. Ndio vile tu hatuwezi kusema kila kitu kuhofia uhai wetu lakini yule Mzee kutoa roho za wenzake huo mchezo kauanza kabla hajawa Rais. Mumtafute dereva wake wa zamani akiwa waziri wa ujenzi kabla hajawa Rais mumuhoji politely huenda atafunguka. Yeye anaujua vizuri ukatili wa Magufuli.
Eti bwana mtu kudai chake?Aiseee wa Tz noma
Sasa kudai chenji ni Roho mbaya,
Alitumia maneno hayo hayo, hivyo hivyo, akamtaja Lee Kuan Yew.Benevolent Dictator?
Sasa kwann uji sahaulishe chenji ya mtu?Watanzania wengi wanampenda Magufuli kupindukia. Sababu kuu nadhani ni ushamba na roho mbaya. Wengi ukiwauliza kwanini unampenda Magufuli atakuambia jamaa ni mchapa kazi. Kama kufanya maendeleo Rais Samia kafanya makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka 3 kuliko Magufuli wa miaka 6. Ila ile comedy na roho mbaya ya kutumbua wenzake hadharani ndio sababu kuu ya Watanzania kumpenda Magufuli.
Mtanzania hufurahi sana matatizo ya mwenzake. Mtanzania anafurahi taarifa za msiba, ajali , jirani kukosa kazi, kufukuzwa kazi n.k
Mtanzania akiona jirani yake kalala njaa moyo wake unaburufldika.
Magufuli nimemjua kitambo kabla hajawa Rais . Ni mtu mwenye roho mbaya sana.
Magufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.
Magufuli alikuwa katili. Ndio vile tu hatuwezi kusema kila kitu kuhofia uhai wetu lakini yule Mzee kutoa roho za wenzake huo mchezo kauanza kabla hajawa Rais. Mumtafute dereva wake wa zamani akiwa waziri wa ujenzi kabla hajawa Rais mumuhoji politely huenda atafunguka. Yeye anaujua vizuri ukatili wa Magufuli.
Unajua ukisema wanaomtetea ina maana hukubaliani na kutofautiana mitazamo kwamba mlitaka watu wote tuwe na mitazamo sawa kuhusu Magufuli? Na ndio sababu hadi leo bado mnaendelea kueleza mabaya ya Magufuli kwa sababu kuna watu wanamtetea?Utasikia ni jembe mara Watumishi walikuwa wanatusikiliza 😆😆
Vimaneno vya watu maskini na wapumbavu.
Wao furaha Yao ni kuona wenye nacho wanakuwa maskini kama wao.
Huyo wanaemtetea alikuwa na Magenge ya kupora Mali za watu na hakuna kitu aliwafanya.
Mfano mzuri yule Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mtanda alikuwa anaendesha genge la uporaji mifumo akiwa DC na watu wanajua lakini hawakuwa na pa kusemea maana taarifa zilidhibitiwa na hofu ilitanda.
Wameamka wale wenye kutaka kulipiga viboko kaburi, kuamsha mada za Rais aliyelala kaburini miaka minne iliyopita ni roho mbaya iliyo hai inayoishi.Aiseee wa Tz noma
Sasa kudai chenji ni Roho mbaya,
Kama umenisoma vizuri, sijatoa maoni yangu ya kwamba mama yupo vizuri or not; nimesema, "wajane wapo wengi, ungeweka picha zao wote tujiridhishe"Mjane wa Mkapa hajanawiri kama wa Magufuli wewe!
Kipindi mzee yupo hai yule mama sura yake alikuwa kila mara anaikunja kunja hovyo hata mng'ao ulipotea.
Saivi kawa kigori kabisa mama wa watu. Mungu azidi kumpa maisha marefu maana amepitia msoto sana kipindi yule mzee alikuwa hai!
Sio kweli huyu mama anakutana na upinzani wa jinsia yake atafanya mema elfu moja lakini baya moja litayachafua mema yote.Hawa machawa wengi wao ni mataahira!
JPM kajenga barabara ya Mbezi -Kinyerezi!
Barabara za Buza na maeneo kibao kinondoni huko!
Huyu Mama kwangu mimi naona anafanya vitu vya kawaida tu ambavo hawa wewe ungekuwa Rais ungefanya hakuna maajabu yeyote!
Magufuli alikuwa katili Kwa wapenda vitonga, mashoga, mafisadi, Wezi na wezembe Sasa chenji huwa ni Mali yako au ya aliyekutuma nyie ndo vidume ambao manauza ubingwa Kwa tamaa na ujingaWatanzania wengi wanampenda Magufuli kupindukia. Sababu kuu nadhani ni ushamba na roho mbaya. Wengi ukiwauliza kwanini unampenda Magufuli atakuambia jamaa ni mchapa kazi. Kama kufanya maendeleo Rais Samia kafanya makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka 3 kuliko Magufuli wa miaka 6. Ila ile comedy na roho mbaya ya kutumbua wenzake hadharani ndio sababu kuu ya Watanzania kumpenda Magufuli.
Mtanzania hufurahi sana matatizo ya mwenzake. Mtanzania anafurahi taarifa za msiba, ajali , jirani kukosa kazi, kufukuzwa kazi n.k
Mtanzania akiona jirani yake kalala njaa moyo wake unaburufldika.
Magufuli nimemjua kitambo kabla hajawa Rais . Ni mtu mwenye roho mbaya sana.
Magufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.
Magufuli alikuwa katili. Ndio vile tu hatuwezi kusema kila kitu kuhofia uhai wetu lakini yule Mzee kutoa roho za wenzake huo mchezo kauanza kabla hajawa Rais. Mumtafute dereva wake wa zamani akiwa waziri wa ujenzi kabla hajawa Rais mumuhoji politely huenda atafunguka. Yeye anaujua vizuri ukatili wa Magufuli.
Gazeti la Mwananchi liliwekaga link ya kupigia KURA kati ya Marais wote wa Tanzania; waliombaga msamaha haraka; marehemu walikimbiza mno yaani; Magufuli akiwa yupo mbali mno. Mleta uzi, we fanya kitu kimoja hata humu, pitisha kura ya maoni humu ndio utajua "wasio na akili" humu jukwaani wapo wangapi?Unajua ukisema wanaomtetea ina maana hukubaliani na kutofautiana mitazamo kwamba mlitaka watu wote tuwe na mitazamo sawa kuhusu Magufuli? Na ndio sababu hadi leo bado mnaendelea kueleza mabaya ya Magufuli kwa sababu kuna watu wanamtetea?
Mtanzania hufurahi sana matatizo ya mwenzake.
Kumbuka kuwa marais wote wa CCM wanatekeleza ilani ile ile, tatizo letu ni kule kuwaabudu baadhi na kuwachukia baadhi. Sisi kushabikia urais wa fulani kunatunyima uwezo wa kufahamu kuwa wote ni watimizaji wa kinachoandikwa kwenye ilani ya uchaguzi.Magufuri na makando yake yote hawezi kuwa sawa eti na Sa100 kwakipindi hiki cha miaka mitatu alichofanya kazi kama rais(never)
Magufuri weka mbali sijui kutumbua watu,kuwatembezea wapinzani virungu na mengineyo lakini kwenye kufanya vitu ambavyo vinaonekana yupo mbali sana(japo nlikuwa na mkataa kwasababu ya haraka zake zisizo na maana na kuanzisha vitu ambavyo vingekuwa mzigo kwa taifa ambalo ni tegemezi(mfano manunuzi ya ndege))
Nadhani kama kuna watu inabidi wamshukuru Magufuri siku zote ni Wagogo, kabadili town yao kwa muda mchache sana(nimekaa Dom zaidi ya miaka saba kabla ya Magufuri ila Dodoma ilikuwa kituko yani nyuma tu ya Bunge mitaa ya Chaduru,Makulu watu walikuwa wanalima karanga mjini na mahindi tena mashamba kabisa)
Wanaendeshwa na mahaba niue tu.
Ukiangalia mkewe alivyonawiri baada ya yule mzee kufariki tu utagundua yule mzee alikuwa tatizo lililoshindikana
Mna mtetea huyo mtu wenu Kwa propaganda kuliko facts na msingi wa utetezi wenu hauna mashiko.Unajua ukisema wanaomtetea ina maana hukubaliani na kutofautiana mitazamo kwamba mlitaka watu wote tuwe na mitazamo sawa kuhusu Magufuli? Na ndio sababu hadi leo bado mnaendelea kueleza mabaya ya Magufuli kwa sababu kuna watu wanamtetea?