ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ni ujinga tuu umewajaa.Kiuhalisia huko mtaani kumechangamka kinaendelea awamu ya mama tofauti kabisa na awamu Ile ya bwana Jiwe.Sasa mwajuma ndara ndefu ukimuambia hii story anaona unamdanganya.
Anakuletea za kwake sijui walimu walikua wanafundisha vzuri, mara manesi walikua wanachoma sindano vzuri
Kaka Lucas Mwashambwa vijana hawa una waambiaje..?Watanzania wengi wanampenda Magufuli kupindukia. Sababu kuu nadhani ni ushamba na roho mbaya. Wengi ukiwauliza kwanini unampenda Magufuli atakuambia jamaa ni mchapa kazi. Kama kufanya maendeleo Rais Samia kafanya makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka 3 kuliko Magufuli wa miaka 6. Ila ile comedy na roho mbaya ya kutumbua wenzake hadharani ndio sababu kuu ya Watanzania kumpenda Magufuli.
Mtanzania hufurahi sana matatizo ya mwenzake. Mtanzania anafurahi taarifa za msiba, ajali , jirani kukosa kazi, kufukuzwa kazi n.k
Mtanzania akiona jirani yake kalala njaa moyo wake unaburufldika.
Magufuli nimemjua kitambo kabla hajawa Rais . Ni mtu mwenye roho mbaya sana.
Magufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.
Katika kipindi cha utawala wake ndio kipindi ambacho maiti nyingi zimeokotwa zikiwa zimeharibika na nyingi kutokutambulika, katika kipindi cha utawala wake ndio kipindi ambacho Watanzania wengi walipotea kuliko utawala wa Rais yeyote. Watanzania wasahaulifu sana. Ukiwawekea tukio moja wanasahau ya nyuma yote.
Magufuli alikuwa katili. Ndio vile tu hatuwezi kusema kila kitu kuhofia uhai wetu lakini yule Mzee kutoa roho za wenzake huo mchezo kauanza kabla hajawa Rais.
Mumtafute dereva wake wa zamani akiwa waziri wa ujenzi kabla hajawa Rais mumuhoji politely huenda atafunguka. Yeye anaujua vizuri ukatili wa Magufuli.
Mbona ata hawa wa sasa nao wanapenda kutuona sie tukiteseka.Watanzania wengi wanampenda Magufuli kupindukia. Sababu kuu nadhani ni ushamba na roho mbaya. Wengi ukiwauliza kwanini unampenda Magufuli atakuambia jamaa ni mchapa kazi. Kama kufanya maendeleo Rais Samia kafanya makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka 3 kuliko Magufuli wa miaka 6. Ila ile comedy na roho mbaya ya kutumbua wenzake hadharani ndio sababu kuu ya Watanzania kumpenda Magufuli.
Mtanzania hufurahi sana matatizo ya mwenzake. Mtanzania anafurahi taarifa za msiba, ajali , jirani kukosa kazi, kufukuzwa kazi n.k
Mtanzania akiona jirani yake kalala njaa moyo wake unaburufldika.
Magufuli nimemjua kitambo kabla hajawa Rais . Ni mtu mwenye roho mbaya sana.
Magufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.
Katika kipindi cha utawala wake ndio kipindi ambacho maiti nyingi zimeokotwa zikiwa zimeharibika na nyingi kutokutambulika, katika kipindi cha utawala wake ndio kipindi ambacho Watanzania wengi walipotea kuliko utawala wa Rais yeyote. Watanzania wasahaulifu sana. Ukiwawekea tukio moja wanasahau ya nyuma yote.
Magufuli alikuwa katili. Ndio vile tu hatuwezi kusema kila kitu kuhofia uhai wetu lakini yule Mzee kutoa roho za wenzake huo mchezo kauanza kabla hajawa Rais.
Mumtafute dereva wake wa zamani akiwa waziri wa ujenzi kabla hajawa Rais mumuhoji politely huenda atafunguka. Yeye anaujua vizuri ukatili wa Magufuli.
Nawaambia kuwa wewe ni chizi na mgonjwa wa akiliKaka Lucas Mwashambwa vijana hawa una waambiaje..?
Mbona hakuna ubaya kaka vp una chuki za nn mwaka 2025 huu upendo utawale. Mpaka tububujikwe na machozi ya furahaNawaambia kuwa wewe ni chizi na mgonjwa wa akili
Huyo jamaa ana lafudhi ya Kihaya si Mwanakijiji, Mwanakijiji sauti yake naijua tangu enzi za podcast yake ya Podomatic.
Huyo Dereva ni mgogo, ndie alikuwa alimuendesha akiwa Rais. Kwao ni Mbande, njia panda ya KongwaWatanzania wengi wanampenda Magufuli kupindukia. Sababu kuu nadhani ni ushamba na roho mbaya. Wengi ukiwauliza kwanini unampenda Magufuli atakuambia jamaa ni mchapa kazi. Kama kufanya maendeleo Rais Samia kafanya makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka 3 kuliko Magufuli wa miaka 6. Ila ile comedy na roho mbaya ya kutumbua wenzake hadharani ndio sababu kuu ya Watanzania kumpenda Magufuli.
Mtanzania hufurahi sana matatizo ya mwenzake. Mtanzania anafurahi taarifa za msiba, ajali , jirani kukosa kazi, kufukuzwa kazi n.k
Mtanzania akiona jirani yake kalala njaa moyo wake unaburufldika.
Magufuli nimemjua kitambo kabla hajawa Rais . Ni mtu mwenye roho mbaya sana.
Magufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.
Katika kipindi cha utawala wake ndio kipindi ambacho maiti nyingi zimeokotwa zikiwa zimeharibika na nyingi kutokutambulika, katika kipindi cha utawala wake ndio kipindi ambacho Watanzania wengi walipotea kuliko utawala wa Rais yeyote. Watanzania wasahaulifu sana. Ukiwawekea tukio moja wanasahau ya nyuma yote.
Magufuli alikuwa katili. Ndio vile tu hatuwezi kusema kila kitu kuhofia uhai wetu lakini yule Mzee kutoa roho za wenzake huo mchezo kauanza kabla hajawa Rais.
Mumtafute dereva wake wa zamani akiwa waziri wa ujenzi kabla hajawa Rais mumuhoji politely huenda atafunguka. Yeye anaujua vizuri ukatili wa Magufuli.
Kuna ubaya mtu kuomba chenji yake?Magufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.
Haya sasa vijana wameondokana na suala la unemployment?Swala la vyeti fake nilimpongeza sana. Unakuta anaestahili kupata hiyo kazi anasota na mwenye cheti fake kwa kuwa ana refa yupo kazini.
Magufuli akiwa wizara ya ujenzi ukilipwa pesa yako kama mkandarasi usipompa bahasha sahau tenda. Hajawahi kukosea?Magufuli hajawahi kukokesea. Hata mimi natamani niwe kama yeye
Kama Magufuli alichukia sana wizi je, kulazimisha apewe pesa za maziwa kila siku pale feri ni uadilifu?Acha ujinga ujinga. Tutajuaje kama huyo dereva mmempanga. Mi Dkt Magufuli namfahamu personally, ni mtu aliyependa utani ila kwenye kazi hakuwaga na utani. Alikuwa kiongozi mwenye huruma na mwenye maono ya kila alichopewa kukifanya. Alijiongeza na kufanya kazi zake zionekane. Ni yeye pekee vetting ilivyopita kuhusu kumkabidhi waziri ambaye ni muadilifu kwenye wizara ya ujenzi na hatimaye tukaona mitandao ya ujenzi wa barabara umeenea nchi nzima maana waliokuweo walikuwa rushwa tu. Ni yeye Dkt Magufuli alipenda sana story na watu na alipenda kujifunza kwa wengine. Dkt Magufuli alichukia sana wezi, wazembe na wala rushwa. Hivyo hakuna sababu kabisa ya kumsema vibaya. Dkt Magufuli watanzania bado Tunamlilia πππππππππππ. Yeyote anayemsema vibaya anajiweka kwenye laana.
Mkuu samahani lakini kama nitakukosea nikisema haya "kama huoni alichoacha Magufuli utakuwa lipumbavu la mwisho!" Mwamba angekaa miaka yake 10 nchi hii ingekuwa juu sana kwenye huu ukanda!Binafsi nilitamani adumu miaka yake 10, Ili mwishowe aje ajue hakuna alichoacha chq maana na mambo yatarudi kama alivo pokea.
Mameneja wanateuliwa na Waziri?Magufuli akiwa wizara ya ujenzi ukilipwa pesa yako kama mkandarasi usipompa bahasha sahau tenda. Hajawahi kukosea?
Mameneja wa Mikoa na vituo wa taasisi zote zilizokuwa wizara ya ujenzi wasipompa mkono huna umeneja. Fanya tafiti acha uvivu. Waulize waliokuwa mameneja feri enzi zake watakuambia.
Issue ya kula mita moja kila upande wa barabara zilizokuwa zikijengwa na tarlnroad kisha pesa anaichukua yeye na mfugale ulikuwa unaijua?
Magufuli hajawahi kukosea eti.
Nyie watoto hamna akili
Barabara ikiliwa mira moja kila upande maanake ni mita 2 hizo! Sasa hiyo barabara itabaki na nini?Issue ya kula mita moja kila upande wa barabara zilizokuwa zikijengwa na tarlnroad kisha pesa anaichukua yeye na mfugale ulikuwa unaijua?
Yeye hakuwateua. Waliteuliwa na watendaji wakuu ambao walikuwa wanaripoti kwake. Hivyo lazima wamsikilize yeye.Mameneja wanateuliwa na Waziri?
Magufuli alikuwa na element za kichagaMagufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.
HUU NDIO UKATILI?
Wakati mwingine hakuna rais anayefanya huo unyama wa kuteka na kuua watu, uchafu unafanywa na sisi wenyewe na anasingiziwa rais wa nchi.Na wale pia wanaosema mapungufu ya Magufuri lazima wajue kwamba shida inatokea kwenye mfumo.Kuteka,kufanya matendo yote maovu ni mfumo tu ndio unampa nguvu anayekuwa kiongozi mkuu(kukuhakikishia hili, ata wanaokaza shingo hapa wakipewa madaraka katika mfumo huu watateka na kufanya maovu pia(rejea huyu wa sasa,mwanzoni si alipigiwa makofi na kuimbwa na wapinzani wake sio? Sasa hivi wanasemaje?)
Katiba yako ina changamoto nyingi(Magufuri angekuta katiba isiyo na kona kona leo hii vitu vingi wanavyodai alifanya visivyo vya kiungwana asingeweza kufanya)
Futi moja kila upande.Barabara ikiliwa mira moja kila upande maanake ni mita 2 hizo! Sasa hiyo barabara itabaki na nini?