Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
- #201
Huna akili.Hivi Ditopile naye alikuwa mtu wa Magufuli?
Nimetolea mfano kuwa mifumo ya nchi hii ilivyo jinsi ya kiongozi itahesabika jinai ikiwa tu imetendeka hadharani mahali ambapo haokufichika. Ditopile alikuwa arrested kwakuwa alitenda hadharani.
Magufuli uuaji na utekaji alianza akiwa waziri. Hakushikwa kwakuwa alikuwa kiongozi. Maskini wewe Baba Kisarii ukiua lazima udakwe na unyee debe hata kama uliua gizani bila mtu kushuhudia