Mnaonaje graduates wote ambao hamna ajira mkaja na Bongo Jobless Festival?

Mnaonaje graduates wote ambao hamna ajira mkaja na Bongo Jobless Festival?

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,013
Reaction score
1,183
Habari Tanzania,

Mnaonaje Graduates wote wa Bongo mtengeneze paredi la uhakika kila baada ya miezi 6 mnakutana sehemu iwe town kati kila mkoa mkijipa pole kwa ukosefu wa ajira na kupongezana kwa kuwa wahitimu wa taifa la Tanzania.

Mnaweka mualiko kwa taasisi mbalimbali kuja kuwaona na kufanya mazungumzo na wahitimu.

Hii pia inaweza kuwa platform ya chanzo cha ajira hapa nchini.

Karibu kwa mchango wako.
 
Habari Tanzania,

Mnaonaje Graduates wote wa Bongo mtengeneze paredi la uhakika kila baada ya miezi 6 mnakutana sehemu iwe town kati kila mkoa mkijipa pole kwa ukosefu wa ajira na kupongezana kwa kuwa wahitimu wa taifa la Tanzania.

Mnaweka mualiko kwa taasisi mbalimbali kuja kuwaona na kufanya mazungumzo na wahitimu.

Hii pia inaweza kuwa platform ya chanzo cha ajira hapa nchini.

Karibu kwa mchango wako.
Moja ya mawazo ya kipuuzi nimewahi yasoma hapa JF, hili wazo halitofautiani na wazo la kusema niite vijana wenzangu wengi tuanzishe kikundi cha kwaya badala ya kuwaza kuunda vikundi vya kujikwamua kiuchumi
 
Habari Tanzania,

Mnaonaje Graduates wote wa Bongo mtengeneze paredi la uhakika kila baada ya miezi 6 mnakutana sehemu iwe town kati kila mkoa mkijipa pole kwa ukosefu wa ajira na kupongezana kwa kuwa wahitimu wa taifa la Tanzania.

Mnaweka mualiko kwa taasisi mbalimbali kuja kuwaona na kufanya mazungumzo na wahitimu.

Hii pia inaweza kuwa platform ya chanzo cha ajira hapa nchini.

Karibu kwa mchango wako.

Mgeni rasmi mahali fulani akiwa chura mwenyewe itapendeza zaidi
 
Katika watu wamevurugwa ni wahitimu mtu kamaliza degree ya ualimu anaendesha bodaboda

Mtu kamaliza degree ya uhasibu anapiga isue za mijengo saidia fundi

Kichekesho ni kuwa Kuna dogo wangu Fulani amemaliza degree ya pharmacy amekosa kazi kaenda kujifunza kushona cherehani yaani mtu anapoteza miaka zaidi ya 20 kusoma halafu anakuja kugundua fani ndio inakusadia sio professional

Tanzania Kuna tatizo kubwa kuanzia serikali, Wasomi , Wanaoandaa course za vyuo na walimu wanao andaa wanafunzi

Kiufupi tupo kwenye nchi ambayo hatujui tunataka Nini!!
 
Habari Tanzania,

Mnaonaje Graduates wote wa Bongo mtengeneze paredi la uhakika kila baada ya miezi 6 mnakutana sehemu iwe town kati kila mkoa mkijipa pole kwa ukosefu wa ajira na kupongezana kwa kuwa wahitimu wa taifa la Tanzania.

Mnaweka mualiko kwa taasisi mbalimbali kuja kuwaona na kufanya mazungumzo na wahitimu.

Hii pia inaweza kuwa platform ya chanzo cha ajira hapa nchini.

Karibu kwa mchango wako.
Aiseee watatishia aman ya nch ila 🤣🤣🤣 dah!
 
Katika watu wamevurugwa ni wahitimu mtu kamaliza degree ya ualimu anaendesha bodaboda

Mtu kamaliza degree ya uhasibu anapiga isue za mijengo saidia fundi

Kichekesho ni kuwa Kuna dogo wangu Fulani amemaliza degree ya pharmacy amekosa kazi kaenda kujifunza kushona cherehani yaani mtu anapoteza miaka zaidi ya 20 kusoma halafu anakuja kugundua fani ndio inakusadia sio professional

Tanzania Kuna tatizo kubwa kuanzia serikali wasomi wanaoabdaa course za vyuo na walimu wanao andaa wanafunzi

Kiufupi tupo kwenye nchi ambayo hatujui tunataka Nini!!
Halafu mbaya zaidi walio juu wamenuna balaa yaan sio poa wanawaogopa madogo wanaokuja watachukua ugali wao kwa hio ni mwendo wa kubaniana
 
Katika hao jobless

Serikali itafute vijana smart Kama alivyo diamond wawezeshwe na kupewa facilities

Then hao vijana wataajiri wenzao wengi .

Kuliko kusema unawapa kikundi cha watu hela mwisho wanaishia kulewa n.k

Hili wazo ntakuja kuliandikia pendekezo
 
Moja ya mawazo ya kipuuzi nimewahi yasoma hapa JF, hili wazo halitofautiani na wazo la kusema niite vijana wenzangu wengi tuanzishe kikundi cha kwaya badala ya kuwaza kuunda vikundi vya kujikwamua kiuchumi
Wewe mwenye mawazo mazuri ndio utoe mchango wako hapa. Hii ni wazo tu linaweza kuwa sawa au kuonekana kuwa na mapungufu.
Uwekaji wako wa mawazo ndio chachu ya wazo bora.
Nimependa ushauri wako.
Karibu.
 
Katika hao jobless

Serikali itafute vijana smart Kama alivyo diamond wawezeshwe na kupewa facilities

Then hao vijana wataajiri wenzao wengi .

Kuliko kusema unawapa kikundi cha watu hela mwisho wanaishia kulewa n.k

Hili wazo ntakuja kuliandikia pendekezo

Mfano Kama alivyokuwa kanumba

Ukimuwezesha kanumba ,maana yake kanumba atawezesha watu wengine wenginie wengi tu .
 
Wewe mwenye mawazo mazuri ndio utoe mchango wako hapa. Hii ni wazo tu linaweza kuwa sawa au kuonekana kuwa na mapungufu.
Uwekaji wako wa mawazo ndio chachu ya wazo bora.
Nimependa ushauri wako.
Karibu.
Ungesema labda kuwe na jobless forums kwa magroup ambapo watu wanashare idea za ubunifu na ujasiriamali ambazo mtu yoyote anaweza kuzifanya na kujiingizia kipato
 
Back
Top Bottom