Mnaonaje graduates wote ambao hamna ajira mkaja na Bongo Jobless Festival?

Mnaonaje graduates wote ambao hamna ajira mkaja na Bongo Jobless Festival?

Habari Tanzania,

Mnaonaje Graduates wote wa Bongo mtengeneze paredi la uhakika kila baada ya miezi 6 mnakutana sehemu iwe town kati kila mkoa mkijipa pole kwa ukosefu wa ajira na kupongezana kwa kuwa wahitimu wa taifa la Tanzania.

Mnaweka mualiko kwa taasisi mbalimbali kuja kuwaona na kufanya mazungumzo na wahitimu.

Hii pia inaweza kuwa platform ya chanzo cha ajira hapa nchini.

Karibu kwa mchango wako.
Hili wazo zuri. Tuanze na festival itakuwa rahisi kufanya maandamo maana kutakuwa na muunganiko tayari.
 
yaani huna hela umechalala bado unaandaa festival? si mtaonekana mna hela za kuchezea na kulia kwenu ni bure
 
Endelea kutiririka!
Nimesema hivi na narudia tena, Tupo kwenye Dunia ya Technolojia na utandawazi, watu wanajipatia vipato na wengine wanakuwa matajiri kwa kutumia vzuri technolojia na mitandano, Ingeanzishwa Jobless forums ambapo watu mbalimbali washare idea zao za ubunifu na ujasiriamali ambazo mtu yoyote anaweza kuzifanya na kujiingizia kipato.

Hii atleast inaweza kupunguza majobless waliopo, lakini pia mmeona saizi vijana wengi wadogo wamejiajiri kupitia social media contents za wanaishi vizuri, Tujikita huku tunaweza punguza Ujobless kwa kiasi kikubwa
 
Inaweza saidia mamlaka kujua ukubwa wa tatizo la ajira. Maana zinapoandikwa namba/asilimia za wasio na kazi wanaweza fikiri ni tatizo ni dogo.
 
Kama unaweza, lifanyie kazi wazo hili, lina future nzuri ndani yake.
Hili wazo kuwa funded 100% uhakika. Pia waalikwa wapo wa kutosha ambao ndio wakusudiwa.
1. Media Houses
2. Banks
3. Mitandao ya Simu
Hapa wakiomba kushikwa mkono uhakika. Hii itasaidia kunetwork na watu mbalimbali.

Hizo taasisi hapo juu waweza kuwapa na kuwashika mkono kwa chochote kitu kwani kwao ni mileage nzuri na yakutosha sana.
 
Nimesema hivi na narudia tena, Tupo kwenye Dunia ya Technolojia na utandawazi, watu wanajipatia vipato na wengine wanakuwa matajiri kwa kutumia vzuri technolojia na mitandano, Ingeanzishwa Jobless forums ambapo watu mbalimbali washare idea zao za ubunifu na ujasiriamali ambazo mtu yoyote anaweza kuzifanya na kujiingizia kipato.

Hii atleast inaweza kupunguza majobless waliopo, lakini pia mmeona saizi vijana wengi wadogo wamejiajiri kupitia social media contents za wanaishi vizuri, Tujikita huku tunaweza punguza Ujobless kwa kiasi kikubwa
Hapo umetiririka
 
Habari Tanzania,

Mnaonaje Graduates wote wa Bongo mtengeneze paredi la uhakika kila baada ya miezi 6 mnakutana sehemu iwe town kati kila mkoa mkijipa pole kwa ukosefu wa ajira na kupongezana kwa kuwa wahitimu wa taifa la Tanzania.

Mnaweka mualiko kwa taasisi mbalimbali kuja kuwaona na kufanya mazungumzo na wahitimu.

Hii pia inaweza kuwa platform ya chanzo cha ajira hapa nchini.

Karibu kwa mchango wako.
Bro vitu havitafutwi manualy, hatupo mwaka 47,tupo 2024! Waje watuone kama watumwa wamekusanywa sokoni! Cheki takwimu,
 
Inaweza saidia mamlaka kujua ukubwa wa tatizo la ajira. Maana zinapoandikwa namba/asilimia za wasio na kazi wanaweza fikiri ni tatizo ni dogo.
Mkuu kila siku vipindi vya redio na Tv, Matokeo ya sensa na maandiko mengi sana yanaongelea Tatizo la ajira nchi hii, ina maana mamlaka haizioni? hapana zinaona lakini wanawazingatia ndugu zao tu au watu waliowafanya wao wapate hizo conection walizonanzo
 
Katika hao jobless

Serikali itafute vijana smart Kama alivyo diamond wawezeshwe na kupewa facilities

Then hao vijana wataajiri wenzao wengi .

Kuliko kusema unawapa kikundi cha watu hela mwisho wanaishia kulewa n.k

Hili wazo ntakuja kuliandikia pendekezo
sitaki kuajiriwa na mtu,sitaki utumwa, wacha ni pambane Mungu abariki kazi ya mikono yangu
 
Hili wazo kuwa funded 100% uhakika. Pia waalikwa wapo wa kutosha ambao ndio wakusudiwa.
1. Media Houses
2. Banks
3. Mitandao ya Simu
Hapa wakiomba kushikwa mkono uhakika. Hii itasaidia kunetwork na watu mbalimbali.

Hizo taasisi hapo juu waweza kuwapa na kuwashika mkono kwa chochote kitu kwani kwao ni mileage nzuri na yakutosha sana.
Kwa mtiririko huu naamini unaweza kulisemamia vyema wazo hili, kila la kheri mkuu.
 
Mzee mwenzangu unatumia nguvu kubwa sana kuutetea huu upuuzi uliouwaza na kuuweka hapa jukwaani, nikuulize swali hao wahitimu wa SAUT, MWEKA na vyuo vingine nchini hawakutani mitaani kwao??? wamewaza kufanya nini cha kujiondoa kwenye ujobless?? au wahitimu unaowaongelea hawaishi nchii hii?? usitumie nguvu kubwa kutetea huu upuuzi MJOMBA
itasaidia we tatizo lako nini wacha waungane waandae jobless festivals, najua mlivyo waoga hamchelewi kukimbilia kusema wataleta taharuki
 
Back
Top Bottom