Mnaonaje graduates wote ambao hamna ajira mkaja na Bongo Jobless Festival?

Mnaonaje graduates wote ambao hamna ajira mkaja na Bongo Jobless Festival?

Aiseee watatishia aman ya nch ila 🤣🤣🤣 dah!
Hii itasaidia waajiri kupata watu wanaowahitaji sehemu sahihi. Wapo vijana katika hili wanaweza kujiongeza kuanzisha biashara ndogo mfano uuzaji maji, vinywaji lainishi na vitafunwa.

Kongamano hili litaweza kuwaleta Graduates wa vyuo pamoja. Mfano; UDSM au SAUT au MWEKA wataweza kuweka umoja wao na kuwasiliana na vyuo vyao moja kwa moja walivyotoka kuhitimu wakawapa msaada wa kimawazo au network ya mambo mbalimbali.
 
Katika hao jobless

Serikali itafute vijana smart Kama alivyo diamond wawezeshwe na kupewa facilities

Then hao vijana wataajiri wenzao wengi .

Kuliko kusema unawapa kikundi cha watu hela mwisho wanaishia kulewa n.k

Hili wazo ntakuja kuliandikia pendekezo
Katika majobless 100k utajuaje huyu nismart kuliko wenzie ili umuwezeshe?? wakati hata katika vyama vya siasa wengine wapo upinzani kutngeneza jina baadae waje wale mema ya nchi MCC
 
Hii itasaidia waajiri kupata watu wanaowahitaji sehemu sahihi. Wapo vijana katika hili wanaweza kujiongeza kuanzisha biashara ndogo mfano uuzaji maji, vinywaji lainishi na vitafunwa.

Kongamano hili litaweza kuwaleta Graduates wa vyuo pamoja. Mfano; UDSM au SAUT au MWEKA wataweza kuweka umoja wao na kuwasiliana na vyuo vyao moja kwa moja walivyotoka kuhitimu wakawapa msaada wa kimawazo au network ya mambo mbalimbali.
Mzee mwenzangu unatumia nguvu kubwa sana kuutetea huu upuuzi uliouwaza na kuuweka hapa jukwaani, nikuulize swali hao wahitimu wa SAUT, MWEKA na vyuo vingine nchini hawakutani mitaani kwao??? wamewaza kufanya nini cha kujiondoa kwenye ujobless?? au wahitimu unaowaongelea hawaishi nchii hii?? usitumie nguvu kubwa kutetea huu upuuzi MJOMBA
 
Moja ya mawazo ya kipuuzi nimewahi yasoma hapa JF, hili wazo halitofautiani na wazo la kusema niite vijana wenzangu wengi tuanzishe kikundi cha kwaya badala ya kuwaza kuunda vikundi vya kujikwamua kiuchumi
Hili ni wazo zuri, ukilitizama kwa ukubwa, mfano wakaanzisha jobless society ambayo majobless watatambulika rasmi na wataregister CV zao then society ikawa na jukum la kuwatafutia ajira kwa makubaliano ya % fulani ya mishahara yao zitaingia mfuko wa society kwa muda fulani.

Mkuu jifunze kutazama mambo ktk mtizamo chanya utaziona fursa kibao.
 
Habari Tanzania,

Mnaonaje Graduates wote wa Bongo mtengeneze paredi la uhakika kila baada ya miezi 6 mnakutana sehemu iwe town kati kila mkoa mkijipa pole kwa ukosefu wa ajira na kupongezana kwa kuwa wahitimu wa taifa la Tanzania.

Mnaweka mualiko kwa taasisi mbalimbali kuja kuwaona na kufanya mazungumzo na wahitimu.

Hii pia inaweza kuwa platform ya chanzo cha ajira hapa nchini.

Karibu kwa mchango wako.
Ingependeza wakutane Dodoma,ndiko wizara zote za serikali zipo!Wazo makini kuliko la landlover festival!Tena walale stand.
 
Hili ni wazo zuri, ukilitizama kwa ukubwa, mfano wakaanzisha jobless society ambayo majobless watatambulika rasmi na wataregister CV zao then society ikawa na jukum la kuwatafutia ajira kwa makubaliano ya % fulani ya mishahara yao zitaingia mfuko wa society kwa muda fulani.
Mimi niliandika Jobless forums au groups hapo tuna mawazo sawa, ila sio jobless festival
 
Habari Tanzania,

Mnaonaje Graduates wote wa Bongo mtengeneze paredi la uhakika kila baada ya miezi 6 mnakutana sehemu iwe town kati kila mkoa mkijipa pole kwa ukosefu wa ajira na kupongezana kwa kuwa wahitimu wa taifa la Tanzania.

Mnaweka mualiko kwa taasisi mbalimbali kuja kuwaona na kufanya mazungumzo na wahitimu.

Hii pia inaweza kuwa platform ya chanzo cha ajira hapa nchini.

Karibu kwa mchango wako.
Wazo zuri Sana Sana Ila halita ruhusiwa kwa sababu ya ki intellegencia.

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
 
Habari Tanzania,

Mnaonaje Graduates wote wa Bongo mtengeneze paredi la uhakika kila baada ya miezi 6 mnakutana sehemu iwe town kati kila mkoa mkijipa pole kwa ukosefu wa ajira na kupongezana kwa kuwa wahitimu wa taifa la Tanzania.

Mnaweka mualiko kwa taasisi mbalimbali kuja kuwaona na kufanya mazungumzo na wahitimu.

Hii pia inaweza kuwa platform ya chanzo cha ajira hapa nchini.

Karibu kwa mchango wako.
Kuna mabomu ya machozi hayana kazi. 😆😆😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom