Mnaonaje tubadili katiba yetu ili Rais Samia aendelee kuongoza Taifa letu baada ya kumaliza muhula wake 2030?

Mnaonaje tubadili katiba yetu ili Rais Samia aendelee kuongoza Taifa letu baada ya kumaliza muhula wake 2030?

Mafanikio ya Raisi Samia na yale yote makubwa aliyoyafanya nimeshaandika sana humu jukwaani kwa kina na kirefu sana na kwa ushahidi murua

Endelea kutuhabarisha kuhusu hayo Mkuu maana kazi ya utume wake ndo kwanza inaanza, sio kuandika nyuzi za kusisimua hisia mseto kwa Jamii ya Watu makini kama hii. Rejea kauli ya Mheshimiwa J.K wa pili alielekeza Wana CCM namna ya kunadi sera na Mafanikio ya Chama kwa Wasioamini… kwamba Wanapoonyesha Dosari, na sisi tukazane kuonyesha mafanikio na sio kushindana nao kwa hoja zao.

Huwezi kumshinda Nguruwe kwenye mchezo wa kujipaka uchafu, hiyo tabia ipo kwenye vinasaba vya mwili wake. But unaweza kumburuza vizuri kwenye Game ya Wasafi. Stick to the Good Guys script Mkuu, you will never lose!!
 
Mawazo ya mwanadamu akishashiba ugali...

Katiba siyo msaafu wala siyo Biblia. Katiba yetu ilitungwa na wanadamu ambao ni watanzania kwa lengo la kuwa kama muongozo wa masuala mbalimbali ya kuongoza Nchi yetu. Katiba Ni karatasi tu zilizojaa maneno ya namna gani ya jambo fulani lifanyike na hatua zipi zifanyike na kufuatwa katika kufikia hitimisho la jambo fulani.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katiba siyo msaafu wala siyo Biblia. Katiba yetu ilitungwa na wanadamu ambao ni watanzania kwa lengo la kuwa kama muongozo wa masuala mbalimbali ya kuongoza Nchi yetu. Katiba Ni karatasi tu zilizojaa maneno ya namna gani ya jambo fulani lifanyike na hatua zipi zifanyike na kufuatwa katika kufikia hitimisho la jambo fulani.

Katiba yetu ipo kwa ajili yetu watanzania na ni kwa ajili ya ustawi wetu pamoja na Taifa letu kwa ujumla wake. Ni muongozo wa mambo yetu wenyewe.

Nilikuwa napenda kuwaambieni watanzania Wenzangu ya kuwa tufike wakati tutambue ya kuwa viongozi aina ya Rais Samia hawazaliwi kila siku na wala hawapatikani kila Nchi na wala siyo Rahisi kuwatengeneza .

Huyu Rais ni Mchapa kazi kwelikweli,ni mzalendo aliyetukuka na ambaye huwezi kumtilia shaka juu ya uzalendo wake,ni kiongozi mwenye maono,akili kubwa,upeo mkubwa na Karama ya uongozi. Ni kiongozi ambaye amejitoa na kujitolea Maisha yake Kama Sadaka kuwatumikia watanzania.

Ameyatoa Maisha yake kama Zawadi kwa Watanzania. Sasa kwanini tusithamini na kutambua Moyo huo wa upendo wa kipekee wa Rais wetu? Kwanini tusibadilishe katiba yetu ili Mama aendelee kuongoza Taifa letu.

Uzuri wa Mama yetu ni kuwa bado yupo imara kimwili na kiakili. Akili yake inachemka Muda wote na hapa unaweza kuona kupitia mipango yake na mambo makubwa aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya hapa Nchini.

Jiulizeni Angela Merkel aliiongoza Ujerumani kwa miaka mingapi.Kumbukeni ya kuwa Ujerumani ndio Taifa lenye uchumi mkubwa sana barani Ulaya. Na ni yeye aliyefanya kazi kubwa ya kuhakikisha kuwa Ujerumani inaendelea kuwa imara kiuchumi.

Sasa kwanini tusimpatie Mama yetu Muda zaidi wa kuongoza Taifa letu ili tufaidi vyema kazi ya mikono yake ? Mnafikiri ni Nchi gani hapa Afrika mashariki na ukanda huu wa kusini Mwa jangwa la Sahara itakayotufikia kiuchumi?

Huyu Hapa Mama wa Shoka Jasiri Muongoza Njia👎View attachment 3225535View attachment 3225537View attachment 3225539View attachment 3225540

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
NI kiongozi mzuri ila kubadili katiba itafanya hata yeye akitoka atakayeingia atabadili katiba ili kujipendelea yeye na familia zao, katiba ibaki kama ilivyo kwa maslahi mapana ya nchi, when people start to deviate they dont know where to stop
 
Hilo ndo hitaji la wananchi wengi kwa sasa. Inabidi wabunge wafanye kitu pale kwenye katiba ili Mama aendelee kuongoza angalau hadi 2035.
Nadhani angeendelea mpk atakapoamua mwenyewe yaan ukomo wa mihura ufutwe kwanza utarudishwa baadae akimaliza
 
Hilo ndo hitaji la wananchi wengi kwa sasa. Inabidi wabunge wafanye kitu pale kwenye katiba ili Mama aendelee kuongoza angalau hadi 2035.
Kwanini Katiba iguswe kwenye hilo tu !? Mbona kuna mambo mengi sana ya kurekebishwa kuliko la kiongozi kuendelea kutawala?!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katiba siyo msaafu wala siyo Biblia. Katiba yetu ilitungwa na wanadamu ambao ni watanzania kwa lengo la kuwa kama muongozo wa masuala mbalimbali ya kuongoza Nchi yetu. Katiba Ni karatasi tu zilizojaa maneno ya namna gani ya jambo fulani lifanyike na hatua zipi zifanyike na kufuatwa katika kufikia hitimisho la jambo fulani.

Katiba yetu ipo kwa ajili yetu watanzania na ni kwa ajili ya ustawi wetu pamoja na Taifa letu kwa ujumla wake. Ni muongozo wa mambo yetu wenyewe.

Nilikuwa napenda kuwaambieni watanzania Wenzangu ya kuwa tufike wakati tutambue ya kuwa viongozi aina ya Rais Samia hawazaliwi kila siku na wala hawapatikani kila Nchi na wala siyo Rahisi kuwatengeneza .

Huyu Rais ni Mchapa kazi kwelikweli,ni mzalendo aliyetukuka na ambaye huwezi kumtilia shaka juu ya uzalendo wake,ni kiongozi mwenye maono,akili kubwa,upeo mkubwa na Karama ya uongozi. Ni kiongozi ambaye amejitoa na kujitolea Maisha yake Kama Sadaka kuwatumikia watanzania.

Ameyatoa Maisha yake kama Zawadi kwa Watanzania. Sasa kwanini tusithamini na kutambua Moyo huo wa upendo wa kipekee wa Rais wetu? Kwanini tusibadilishe katiba yetu ili Mama aendelee kuongoza Taifa letu.

Uzuri wa Mama yetu ni kuwa bado yupo imara kimwili na kiakili. Akili yake inachemka Muda wote na hapa unaweza kuona kupitia mipango yake na mambo makubwa aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya hapa Nchini.

Jiulizeni Angela Merkel aliiongoza Ujerumani kwa miaka mingapi.Kumbukeni ya kuwa Ujerumani ndio Taifa lenye uchumi mkubwa sana barani Ulaya. Na ni yeye aliyefanya kazi kubwa ya kuhakikisha kuwa Ujerumani inaendelea kuwa imara kiuchumi.

Sasa kwanini tusimpatie Mama yetu Muda zaidi wa kuongoza Taifa letu ili tufaidi vyema kazi ya mikono yake ? Mnafikiri ni Nchi gani hapa Afrika mashariki na ukanda huu wa kusini Mwa jangwa la Sahara itakayotufikia kiuchumi?

Huyu Hapa Mama wa Shoka Jasiri Muongoza Njia👎View attachment 3225535View attachment 3225537View attachment 3225539View attachment 3225540

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Dogo unapenda sana kupandisha watu hasira.
 
Kwa sasa watanzania wanataka Mama aendelee kuongoza Taifa letu. Maana chini ya uongozi wake wameona mafanikio makubwa yaliyopatikana na namna Maisha ya watanzania yalivyo badilika na kuwa yenye Matumaini makubwa sana .
Kila kitu kina mwisho, katiba ifuatwe.
 
Why you gay political ccm
IMG_0456.jpeg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katiba siyo msaafu wala siyo Biblia. Katiba yetu ilitungwa na wanadamu ambao ni watanzania kwa lengo la kuwa kama muongozo wa masuala mbalimbali ya kuongoza Nchi yetu. Katiba Ni karatasi tu zilizojaa maneno ya namna gani ya jambo fulani lifanyike na hatua zipi zifanyike na kufuatwa katika kufikia hitimisho la jambo fulani.

Katiba yetu ipo kwa ajili yetu watanzania na ni kwa ajili ya ustawi wetu pamoja na Taifa letu kwa ujumla wake. Ni muongozo wa mambo yetu wenyewe.

Nilikuwa napenda kuwaambieni watanzania Wenzangu ya kuwa tufike wakati tutambue ya kuwa viongozi aina ya Rais Samia hawazaliwi kila siku na wala hawapatikani kila Nchi na wala siyo Rahisi kuwatengeneza .

Huyu Rais ni Mchapa kazi kwelikweli,ni mzalendo aliyetukuka na ambaye huwezi kumtilia shaka juu ya uzalendo wake,ni kiongozi mwenye maono,akili kubwa,upeo mkubwa na Karama ya uongozi. Ni kiongozi ambaye amejitoa na kujitolea Maisha yake Kama Sadaka kuwatumikia watanzania.

Ameyatoa Maisha yake kama Zawadi kwa Watanzania. Sasa kwanini tusithamini na kutambua Moyo huo wa upendo wa kipekee wa Rais wetu? Kwanini tusibadilishe katiba yetu ili Mama aendelee kuongoza Taifa letu.

Uzuri wa Mama yetu ni kuwa bado yupo imara kimwili na kiakili. Akili yake inachemka Muda wote na hapa unaweza kuona kupitia mipango yake na mambo makubwa aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya hapa Nchini.

Jiulizeni Angela Merkel aliiongoza Ujerumani kwa miaka mingapi.Kumbukeni ya kuwa Ujerumani ndio Taifa lenye uchumi mkubwa sana barani Ulaya. Na ni yeye aliyefanya kazi kubwa ya kuhakikisha kuwa Ujerumani inaendelea kuwa imara kiuchumi.

Sasa kwanini tusimpatie Mama yetu Muda zaidi wa kuongoza Taifa letu ili tufaidi vyema kazi ya mikono yake ? Mnafikiri ni Nchi gani hapa Afrika mashariki na ukanda huu wa kusini Mwa jangwa la Sahara itakayotufikia kiuchumi?

Huyu Hapa Mama wa Shoka Jasiri Muongoza Njia👎View attachment 3225535View attachment 3225537View attachment 3225539View attachment 3225540

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ukiona mwanaume anakubali kuongozwa na mwanamke ujue huyo mwanaume anamapungufu makubwa
 
Back
Top Bottom