Mnaonaje tubadili katiba yetu ili Rais Samia aendelee kuongoza Taifa letu baada ya kumaliza muhula wake 2030?

Muhula wa kwanza utaanzia 2025 !
 
Tuwashauri wazazi wasifanye ngono zembe kwenye mikesha ya mwenge au watumie kinga matokeo yake ndiyo haya tunapata taifa la kina lucas mwashambwa ni hatari kwa usalama wa nchi na vizazi maana lucas akili yake inajua njia ya kwenda kupuu polini tu.
 
Tuwashauri wazazi wasifanye ngono zembe kwenye mikesha ya mwenge au watumie kinga matokeo yake ndiyo haya tunapata taifa la kina lucas mwashambwa ni hatari kwa usalama wa nchi na vizazi maana lucas akili yake inajua njia ya kwenda kupuu polini tu.
Nimekusamehe bure kabisa. Amani ya Bwana iwe pamoja nawe na Mungu Akusamehe sana na kukufanya kuwa chombo chake kipya cha kueneza upendo kwa watu wote.
 
Unaonaje ukifanya mpango wewe na familia yako mkamchukua mama awaongozee ukoo wenu pekeenu?
 
Unaonaje ukifanya mpango wewe na familia yako mkamchukua mama awaongozee ukoo wenu pekeenu?
Hata sasa ndiye kiongozi wetu kwa nafasi yake ya Urais pamoja na Mamilioni ya watanzania wote ambao wanampenda kwa dhati ya mioyo yao na kuwa na kiu kubwa ya kuona katiba ikibadilishwa ili aendelee kuongoza kwa miaka mingi zaidi
 
Uchawa ni adui mwingine wa taifa aliyetokea hivi karibuni. Umaskini, maradhi, na ujinga wamekuwa ni maadui wa kihistoria, lakini hili la uchawa limekuwa ni la aibu zaidi.

Uchawa ni sawa kabisa na mtu kujitoa ufahamu kujiuza hadharani. Ni uvivu wa kufikiri na kutenda ili kufanikiwa kupata "short cut in life"

Chawa kama wewe Lucas ni laana kubwa sana katika familia yako, kizazi chako, na hata kwa taifa kwa ujumla. Badala kutumia elimu yako na kipaji chako cha uandishi katika kushughulikia changamoto zinazowakabili vijana wa rika lako hapa nchini, wewe kazi yako kubwa ni kusifu na kuabidu tu watawala.

Kweli si kila anayevaa msuli huwa ni mwanaume. Kalaghabao!
 
Akifanya mapinduzi ya viwanda hamna shida hata akiwa malkia wetu
 
Hahahaha! Samia ni overrated sana, sio Rais Bora kihivyo ila UCHAWA na kuabudu kutoka Kwa vijana wa UVCCM na wasanii na waigizaji wachumia tumbo ndo vinafanya aonekane Bora, ila Kwa utendaji bado hata yule mwehu wa CHATU hajamfikia
 
Tulisema na tunajuwa kwamba, walio karibu yake, wanafaidi mpaka wanavimbiwa, bila kujali madeni, ufisadi, ufujaji na wizi wa maliasili na rasilimali zinavyoibiwa na kutokomea!
Ila kuna siku mtatujibu au kuwajibu raia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…