Mnaopekua simu za wapenzi/waume/wake zenu huwa mnataka nini kifuate?

Mnaopekua simu za wapenzi/waume/wake zenu huwa mnataka nini kifuate?

Mimi siwezi kukagua simu ya mtu sio tu ya manzi yangu ila hata mzazi siwezi.

Kuna kitu kimenitokea juzi mpk nakijalaumu sana na sijui hata kiherehere kilitokea wapi
kukagua simu dah ni kujitafutia visononeko na presha za ajabu kila mtu abaki na yak tu
 
Mbali na kazi flaniflani ambazo simu inaweza kuwa restricted kwa wife,ila sehemu za siri zinazidiwaje usiri na siri za kwenye simu!? Mtu umembenjulia mauno kachungulia mpaka ovaries , ila eti simu yake kushika ni mwiko, siku tukijua thamani ya sehemu zetu za siri kwenye simu kutakuwa hakuna siri ya maana kiasi Cha kumficha mwenza simu yako

Ila simu Ina siri za maana kwa sababu sehemu zetu za siri hazina thamani,

Hizo comments nimefuatilia mwanzo mwisho inaonyesha uzinzi Sasa ni sehemu ya maisha ya watu wengi na hivo wanajitahidi kutowajua wenza wao ili wajidanganye Wana Mahusiano thabiti,au wajifanye Wana amani,


Mtu akiachiwa simu chumbani na mumewe au mkewe ikaita Yuko radhi akimbie asione ni nani anapiga, maisha Gani hayo Sasa. Si Bora kuwa mtawa
Ubatili, ubatili ,ubatili,ubatili ubatili
Nakubaliana na wewe partially.

Binafsi, naamini kukagua simu ya mtu ni kukosa trust. Mtu unakua na mashaka yanayokufanya usimuamini mwenzako. Binafsi sijawahi kujisikia kushika simu ya mwenza wangu kwa sababu namuamini. Yeye pia hajawah,i ila inaweza kutokea nahitaji kufanya kitu na simu yangu iko mbali basi naomba kutumia yake na hajawahi kusita kunipatia.

Nafikiri kuaminiana ni nguzo muhimu ya mahusiano, kwenye kujenga uaminifu hapo ndiyo kipengele.
 
Pengine huwa ni wivu wa kijinga nakutojiamini,kuna janaume moja jirani lilipekua simu ya mkewe,eti nalo likaanza kuchati na mwanaume fulani,ambae ni mfanyabiashara mwenzake na mkewe,huyo mme alikuwa ameandika neno vpi honey!!,basi janaume likatiririka likijifanya ndo mke (yaani mkewe),kwa fikra zake linadhani ati mkewe anachepuka,ugawa ugomvi ndani uso na sababu,hvi mwamfikiriaje mtu wa hivi??
 
Pengine huwa ni wivu wa kijinga nakutojiamini,kuna janaume moja jirani lilipekua simu ya mkewe,eti nalo likaanza kuchati na mwanaume fulani,ambae ni mfanyabiashara mwenzake na mkewe,huyo mme alikuwa ameandika neno vpi honey!!,basi janaume likatiririka likijifanya ndo mke (yaani mkewe),kwa fikra zake linadhani ati mkewe anachepuka,ugawa ugomvi ndani uso na sababu,hvi mwamfikiriaje mtu wa hivi??
Kwanini uitwe honey na wewe sasa
 
Hivi unaweza mfatilia mtu ambae hukumkuta bikra kwanin watu wanapenda kujipa shughuli za ajabu
 
Back
Top Bottom