Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siwezi kukagua simu ya mtu sio tu ya manzi yangu ila hata mzazi siwezi.kabisa imagine dem akague simu yangu mkuu akute naangalia uzi wa warembo worldwide
kukagua simu dah ni kujitafutia visononeko na presha za ajabu kila mtu abaki na yak tuMimi siwezi kukagua simu ya mtu sio tu ya manzi yangu ila hata mzazi siwezi.
Kuna kitu kimenitokea juzi mpk nakijalaumu sana na sijui hata kiherehere kilitokea wapi
Nakubaliana na wewe partially.Mbali na kazi flaniflani ambazo simu inaweza kuwa restricted kwa wife,ila sehemu za siri zinazidiwaje usiri na siri za kwenye simu!? Mtu umembenjulia mauno kachungulia mpaka ovaries , ila eti simu yake kushika ni mwiko, siku tukijua thamani ya sehemu zetu za siri kwenye simu kutakuwa hakuna siri ya maana kiasi Cha kumficha mwenza simu yako
Ila simu Ina siri za maana kwa sababu sehemu zetu za siri hazina thamani,
Hizo comments nimefuatilia mwanzo mwisho inaonyesha uzinzi Sasa ni sehemu ya maisha ya watu wengi na hivo wanajitahidi kutowajua wenza wao ili wajidanganye Wana Mahusiano thabiti,au wajifanye Wana amani,
Mtu akiachiwa simu chumbani na mumewe au mkewe ikaita Yuko radhi akimbie asione ni nani anapiga, maisha Gani hayo Sasa. Si Bora kuwa mtawa
Ubatili, ubatili ,ubatili,ubatili ubatili
No that's not how we goI'm ready boo as long as usiombe nikupe mwenyewe, wat do u say?
unataka how much usikute unataka buku tu [emoji1787]No that's not how we go
Ngoja nikae pembeni, ila mpwa hebu funguka vizuri bana utuletee mkamwana wa uhakika.
I'm not a beggar I know my worth that's why I can't settle with a stingy man😭A beggar is a black flag
I can give you a list of my wantsunataka how much usikute unataka buku tu [emoji1787]
list 😳I can give you a list of my wants
Mapema tu shwaahNgoja nikae pembeni, ila mpwa hebu funguka vizuri bana utuletee mkamwana wa uhakika.
Annhaaa mpwa hujapata wa kukuteka, ukipata atakupa list na ng'ombe 30 juu na utapeleka fasta tu.Mapema tu shwaah
ila me #Kataa Ndoa
Ipo siku utavipata unavyovitafutaga.Wivu tu kwako mama!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Linaitwa area 51 😅
Kwanini uitwe honey na wewe sasaPengine huwa ni wivu wa kijinga nakutojiamini,kuna janaume moja jirani lilipekua simu ya mkewe,eti nalo likaanza kuchati na mwanaume fulani,ambae ni mfanyabiashara mwenzake na mkewe,huyo mme alikuwa ameandika neno vpi honey!!,basi janaume likatiririka likijifanya ndo mke (yaani mkewe),kwa fikra zake linadhani ati mkewe anachepuka,ugawa ugomvi ndani uso na sababu,hvi mwamfikiriaje mtu wa hivi??