GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwahiyo nyie na Minyege yenu mkipanda tu Dala Dala na kuona Wanawale wazuri (warembo) wamepanda (wapo) mnadhani kuwa pembeni zao au nyuma zao tunaowamiliki kwa Kutukuka hatupo hivyo mnaona ni njia nyepesi ya Kuwaomba Namba zao za Simu?
IGP Sirro kuna Raia wako Mmoja leo asubuhi ndani ya Dala Dala nimemuonyesha ni kwanini Marehemu Bruce Lee alipokufa aliniachia Urithi wake na kwa nilichomfanya Matumaini yangu ni kuwa kwa muda huu lazima atakuwa amepumzisha ICU au huenda hata Ndugu zake wanasikilizia kama waanze Kuweka Oda za Sanda na Maturubai Kwao.
Yaani unapanda Dala Dala unamlazimisha kabisa Mwanamke akupe namba yake ya Simu na kila akikataa na kukuambia kuwa ana Mtu wake (tena hadi Jina kakutajia kuwa anaitwa GENTAMYCINE wa JamiiForums) halafu Wewe humuamini na unaendelea tu Kumlazimisha huku ukimshika shika tu unategemea Mwanamume wa Mkoani Mara (Musoma) nikuchekee huku nikiwa namiliki Mkanda wangu Mweusi huu?
Na najua hata akipona atakuwa anawaona Wanawake wote tu kama Kituo cha Polisi huku akiwaheshimu zaidi. Halafu sijui hata kwanini nilisahau kumuuliza anatokea Kabila gani (lipi) ila kwa mwonekano wake ni lazima tu atakuwa ama ni Mhaya au Mnyiramba au Muha au Mnyaturu au Mrangi au Mkara au Mnyamwezi kwani ndiyo Wanaume na Makabila yenye huu Upuuzi.
Ninatumai kabisa kuwa wana JamiiForums nyote leo mmeamka Salama. Ninawapenda na muwe na Siku Njema nyote.
IGP Sirro kuna Raia wako Mmoja leo asubuhi ndani ya Dala Dala nimemuonyesha ni kwanini Marehemu Bruce Lee alipokufa aliniachia Urithi wake na kwa nilichomfanya Matumaini yangu ni kuwa kwa muda huu lazima atakuwa amepumzisha ICU au huenda hata Ndugu zake wanasikilizia kama waanze Kuweka Oda za Sanda na Maturubai Kwao.
Yaani unapanda Dala Dala unamlazimisha kabisa Mwanamke akupe namba yake ya Simu na kila akikataa na kukuambia kuwa ana Mtu wake (tena hadi Jina kakutajia kuwa anaitwa GENTAMYCINE wa JamiiForums) halafu Wewe humuamini na unaendelea tu Kumlazimisha huku ukimshika shika tu unategemea Mwanamume wa Mkoani Mara (Musoma) nikuchekee huku nikiwa namiliki Mkanda wangu Mweusi huu?
Na najua hata akipona atakuwa anawaona Wanawake wote tu kama Kituo cha Polisi huku akiwaheshimu zaidi. Halafu sijui hata kwanini nilisahau kumuuliza anatokea Kabila gani (lipi) ila kwa mwonekano wake ni lazima tu atakuwa ama ni Mhaya au Mnyiramba au Muha au Mnyaturu au Mrangi au Mkara au Mnyamwezi kwani ndiyo Wanaume na Makabila yenye huu Upuuzi.
Ninatumai kabisa kuwa wana JamiiForums nyote leo mmeamka Salama. Ninawapenda na muwe na Siku Njema nyote.