Mnaopenda kuomba Namba za Simu za Wanawake ndani ya Daladala muwe mnachunguza kama Madume zao tupo nao au hatupo

Yaani hakuna Kitu Mwanamume wa Mkoani Mara hakipendi kama Mwanamke wake Mweupe Kutongozwa hovyo Mitaani.
Udhaifu uko kwa mwanamke wako. Mwanamke yeyote anayejitambua hawezi kuwa approached mpaka ikakera bila yeye kutaka. Najua ni kweli wanawake wengi hasa wazuri huwa wana-attract sana ''maombi'' kwa wanaume lakini mwanamke yeyote mwenye kujielewa kama hataki ni rahisi sana ku-react kwa namna ambayo itamfanya mwanaume akomee hapo hapo anapoanza. Ila kama ni hawa wanawake akina ''mbona leo sijasemeshwa nimeamka na mkosi gani'', kama inavyoonekana wa kwako yuko kwenye hilo kundi, watafanya kitu ambacho mwanaume atapata moyo wa kuendeleza mapambano.
 
Ni hivi hakuna mwanamke ambaye ana lebo au amepigwa chapa kubwa huyu ni mwanamke wa Flani mimi nikikuta mwanamke nimevutiwa nae natongoza vizuri tu, na kingine mwanamke ambaye ntamuacha ni Yule mwenye pete ya ndoa tu maana najua huyo yuko kwenye taasisi takatifu lakini mwanamke kuniambia ana mtu na hajaolewa mi naruka nae.

AF sio kila mtu wa Kupiga maana wengine unaweza shangaa unataka kumpiga ukapigwa wewe, sasa Siku jichanganye uingie pasipoingilika
 
Atakua ishengoma huyo [emoji23][emoji23] wanaume wa muleba wana matatizo sana, Juzi nilikutana na Kyaruzi ananilazimisha nimpe namba mbele za watu nilijiskia fedheha mno.

Waha nao wana tabia hizo hizo sijui wakoje.
Mbona wa muleba unawaonea BossLady ulikuwa unatoka muleba unaenda wap
 

Sanaa nzuri sana hii kwa afya ya mwili na akili.
 
kwa kweli inakera, kutongoza mimi ishanishinda.
natengeneza mtego mtu anase, yeye ndo aniombe namba
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…