Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la kijinga kuwahi kutokea! Umewahi kujiuliza "Na wasio na hiyo mishahara wanaishije"; na wapo wengi tu!Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Sio mlevi tu, na Malaya mhongaji pia!Utakua mlevi wewe
Kwa sababu umeridhika hapo hapo ndio maana unaongea ujinga..Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Sukari huwa kuna mahali inauzwa vimfuko vya robo robo, mkate unauzwa kwa slices, kabeji inakatwa mpaka robo.Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Tunatoboa kwa vitu vyenye ncha kali.Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Punguza michepuko utakuja nishukuru.Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Mkuu hili sio swali zuri...Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Shule za privateKuna mualimu wa sekondari anae pokea hiyo pesa kweli?
Kabisakuna watu hawana salary hata shilingi moja/kidogo na wanatoboa
Private ipi inalipa zaidi ya 1.2m take home labda headteacher au hizi private za International kama Feza ada 16m na kuendelea.Shule za private
Sasa mbona umeshajijibu mwenyewe mpaka hapo, by the way zipo nyingi tu, do your researchPrivate ipi inalipa zaidi ya 1.2m take home labda headteacher au hizi private za International kama Feza ada 16m na kuendelea.