Mnaopokea salary take home chini ya milioni moja, huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?

Mnaopokea salary take home chini ya milioni moja, huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?

Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.

Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?

Tupeane mbinu hizo wakuu.
Wakati wewe unawaza mtu anaepokea below 1M anaishije, kun mwingine anawaza mtu anaepokea below 5M anaishije

Kila mtu anaishi kulingana na alichonacho au anachopata
 
Tupo na kunapambana na maisha fresh tu ila atm card ipo kwa jirani😁😁😁😁
 
Umaskini ni halisi nchi hii.
 
Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.

Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?

Tupeane mbinu hizo wakuu.
Mimi Nina take home ya 700k nainjoi kishenzi na mkeo akijipendekeza namlipua,gari lipo na nimejenga !! Na watoto ni English medium!!! Kudadadeki
 
Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.

Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?

Tupeane mbinu hizo wakuu.

Hata sisi tunakushangaa wewe wiki mbili unafikaje maana kwa siku tu haitoshi hio.

Acha kushangaa wenzio, we hio salary yako kuna wenzio hata kwa siku tu haitoshi. Levels kijana, levels.

Halafu inaonekana umeajiriwa juzi tu bado hujaizoea pesa inakupa mawenge sana dogo
 
Maisha ni yaleyale.
Kila mtu huishi sawa na kipato chake na wote hupata msongo wa mawazo.
Mwenye ghorofa ana msongo wa mawazo
Mwenye nyumba ya udongo ana msongo wa mawazo.
Mwenye take home ya 260000 ana msongo
Mwenye take home ya 2,000,000 ana msongo pia.
Mimi nilianza na mshahara wa take home ya laki 3.6 niliteseka na sasa nina take home ya milioni na laki 4 nateseka pia.
 
Back
Top Bottom