Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,036
- 3,107
Hata serikali wapo hyo m 1 tuShule za private
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata serikali wapo hyo m 1 tuShule za private
Acha ujana, tuliza akiliMimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
'bebi gesi imeisha' 😂More money money problem....
🤣🤣🤣🤣🤣Umegonga ikulu'bebi gesi imeisha' 😂
Nikwa Neema tuMimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Huyo jamaa maana yake basic saary yake ni kuanzia 2m. hawezi kuwa mwalimu wa sekondari. Labda wa chuo tena TAKuna mualimu wa sekondari anae pokea hiyo pesa kweli?
jau sana, na bado saa sita usiku anakupigia utaskia 'unawaza nini??' 😂🤣🤣🤣🤣🤣Umegonga ikulu
"Baby njaa inauma"imagine njaa inauma Mara tatu kwa siku...ndio utajua hujui
Unasemaje ww achana na pombe kabisa. Pombe laki mbili au tatu kwa siku kuisha ni kugusa tu. Kama kweli mtu ni mnywaji.Pombe haziwezi kumaliza hela yote kwa muda mfupi labda wanawake
una matumizi mabaya ya hela!!Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Anajizima data sio?jau sana, na bado saa sita usiku anakupigia utaskia 'unawaza nini??' 😂
Me napokea 340k.....natoboa huku natembelea ringMimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
kwa kweli..... ukiwa na mwanamke pasua kichwa 1m haimalizi wiki 2 aki 😂 🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣Anajizima data sio?
Hahahaaaaaa,huu si ungwanaDuh 1.29m halafu hutoboi mwezi??? Je, huu ni uungwana?
UMEWAWAZA MAJOBLESS?Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Kweli mkuu na tunaishi vizuri tu kikubwa awe na nidhamu ya pesa basikuna watu hawana salary hata shilingi moja/kidogo na wanatoboa