Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu mbona unajibana sana mkuu unawezaje 1.29m unawezaje kutoboa wiki mbili?Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Wewe huna akili utawezaje kupanga bajeti?Haujajiuliza kwa wale ambao hawana mshahara wanawezaje kuishi?Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Pombe gani hizo hizi hizi castle lightUnasemaje ww achana na pombe kabisa. Pombe laki mbili au tatu kwa siku kuisha ni kugusa tu. Kama kweli mtu ni mnywaji.
Mkuu unapozungumzia unywaji una mambo mengi, kampani za marafiki watoto wa kike etc.Pombe gani hizo hizi hizi castle light
Asante sana Kwa kuwatukana wafanya kazi wa kima Cha chini...Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakuwa nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Sure mkuuNikajua ni mimi tu na huwa najihisi nimerogwa, ndo kwanza leo tar.4 sina kitu, ila ninachojifunza ni kuwa kadri take home salary inavyokuwa kubwa ndivyo dependants wanavyoongezeka.
Mnaosomesha wadogo zenu nadhani mtaniunga mkono
Sehemu gani nilisema hivyo mkuu?Huyo nahisi atakuwa Yuko Bodi ya mikopo, Kwa sababu aliwahi kusema kapata kazi huko,
Gross yangu ni 1.78mHuyo jamaa maana yake basic saary yake ni kuanzia 2m. hawezi kuwa mwalimu wa sekondari. Labda wa chuo tena TA
Sawa mkuu, ila nafikiri dunia lazima iwe na wa chini na juu ili kuwe na ikwilibram.Kweli bana 1.29m ndogo, haitoshi
Unatumia mbinu gani chief?Mm napata 150k/month nakata natoboa tobo
Office nyeti ya ummaUnafanya kazi office gani
Ungekuwa na CPA ungelipwa more than 2.4mGross yangu ni 1.78m