Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
non certified AccGross yangu ni 1.78m
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
non certified AccGross yangu ni 1.78m
Mwalimu wa sekondari au msingi hadi anastaafu hawezi kuwa na TAKE HOME ya 1.29M hapo kafanya kazi 35 years ana degree yake, meanwhile kuna mtu kaanza kazi pake TANAPA ana mwezi mmoja kazini ana certificate tuu anakunja take home ya zaidi ya 1.3M per month.Kuna mwalimu wa sekondari anae pokea hiyo pesa kweli?
Hivi mnaopokea salary baada ya mwezi huwa mnaishi vipi asee?Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakuwa nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Hakuna pesa inayotosha wengine tunawaona wana mishahara ya 4m huko na bado bado hawaishi kwa amani, madeni juuMimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakuwa nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
C mpaka uwe na safari au kazi yenye safar nyingiPerdiem zinatubeba.
Je una familia? Ina ukubwa gani, mpo wangapi kwenye familia hiyo? Kama una familia, watoto wanasoma/unlipa ada? Unaishi kwako au umepanga? Unatumia usafiri binasfi, kukodi au ni wa jumuiya? Una bajeti yako ya mwezi/mwaka?Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakuwa nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Mwalimu wa sekondari mwenye degree ya sayansi na uzoefu wa miaka kama 30 anaweza kupata zaidi ya hicho kiasi.Mwalimu wa sekondari au msingi hadi anastaafu hawezi kuwa na TAKE HOME ya 1.29M hapo kafanya kazi 35 years ana degree yake, meanwhile kuna mtu kaanza kazi pake TANAPA ana mwezi mmoja kazini ana certificate tuu anakunja take home ya zaidi ya 1.3M per month.
Sasa hadi afanye kazi miaka 30 tena mwenye degree mkuuuu emu acha utani asee kuna kajamaa kapo pale TRA TANESCO TARURA TANROADS BOT REA RUWASA NSSF PSPF PPF, etc kana certificate ya HUMAN RESOURCE MANAGEMENT kana mwezi mmoja kazini kana take home ya 1.3mMwalimu wa sekondari mwenye degree ya sayansi na uzoefu wa miaka kama 30 anaweza kupata zaidi ya hicho kiasi.
Training… auditing… overtime.C mpaka uwe na safari au kazi yenye safar nyingi
Huna udhibitisho kiongozi, huo mshahara kwa mwalimu mbona wa kawaida kuna walimu wamekaa tu miaka 10 na kuendelea wanakunja 1,300,000, TGTS F, akianzia degreeMwalimu wa sekondari au msingi hadi anastaafu hawezi kuwa na TAKE HOME ya 1.29M hapo kafanya kazi 35 years ana degree yake, meanwhile kuna mtu kaanza kazi pake TANAPA ana mwezi mmoja kazini ana certificate tuu anakunja take home ya zaidi ya 1.3M per month.
Mshahara hautofautiani kati ya mwalimu wa Sayansi na sanaa kuanzia 2022 kurudi chini, kuwa na uthibitishoMwalimu wa sekondari mwenye degree ya sayansi na uzoefu wa miaka kama 30 anaweza kupata zaidi ya hicho kiasi.
Okay,basi hapo itakuwa mwenye degree yoyoteMshahara hautofautiani kati ya mwalimu wa Sayansi na sanaa kuanzia 2022 kurudi chini, kuwa na uthibitisho
Hicho kitu hakipo kwa sasa labla huko 2014 kushuka chini hata hivyo miaka hiyo mishahara ya Ualimu ilikuwa haijafika huko. TGTS D1 ilikuwa 630K.Huna udhibitisho kiongozi, huo mshahara kwa mwalimu mbona wa kawaida kuna walimu wamekaa tu miaka 10 na kuendelea wanakunja 1,300,000, TGTS F, akianzia degree
Nadhani wewe unachanganya na certificate
Kuna mwalimu wa sekondari anae pokea hiyo pesa kweli?
Ni kuanzia 2020 kurudi chini Ajira za mwisho za Magufuli zile za December 2020 ndio Walimu wa Sayansi na sanaa zilitofautiana.Mshahara hautofautiani kati ya mwalimu wa Sayansi na sanaa kuanzia 2022 kurudi chini, kuwa na uthibitisho