Mnaopokea salary take home chini ya milioni moja, huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?

Mnaopokea salary take home chini ya milioni moja, huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?

Nina dogo yupo TANESCO ana certificate ya VETA mwezi mmoja kazini ananionyesha salary slip.
Basic 800k
Responsibility allowance 130k
Housing allowance 150k
Posho ya mazingira magumu 120k.
Hapo bado zile bahasha za pale ofisini kukiwa na over tym na safari.
Almost 1.3M
Hoja yako ilikuwa hakuna mwalimu anayepokea 1.29,Ndiyo maana nikakutaka utoe ushahidi ili tuone bayana.Tofauti na ulichokiandika.
 
Hapana bali kuna mentality flani inakuja akilini kwamba hata hii ikiisha nyingine ipo
Hilo pia ni sahii ila Kuna mchizi wangu huwaananiambia yeye lazima hele yake aifanyie vitu Fulani hivi Ili akimpa mtu aliye msaidia kazi iishe chapu Ili arudi haraka kazini
 
Mwalimu wa primary wa ngazi ya TGTS.H au TGTS.I siyo rahisi hizo ni ngazi za Principal Education Officer II na I.
Tgts H wapo walimu wa shule ya msingi ninaowafahamu tena wawili wanastafu 2025.

Idara ya sekondari ndio wapo wengi zaidi haswa wale wazee wa umri wa miaka 50-60
 
Mie nasema ukweli nilikuwa napokea 5,00000 Kwa mwezi haijakatwa kitu ila nilikuwa namaliza mwezi Wala simwombi mtu hata kumi , laki Moja na 30 ni nauli ya Kwa mwezi kwenda kazini na kurudi home , chakula laki Kwa mchana tu , hapo laki mbili zimebaki , halafu 1 laki ni pamba na 50 vitu vya jumla na 50 ndio akiba yangu benki , ila sio kila mwezi nanunua pamba Kwa hiyo ni laki nanusu naweka benki . Kwa hiyo ndio hivyoo.
Ulikua huli?
 
400000 ukiwa na akili unafanya mambo yako poa tuu,napokea chini ya hapo nalipa rent 130000,Nina watu 5 nyuma yangu,nanunua gesi ,kulipia umeme ,chakula ,ni kupambane tuu mkuu,
Ukitoa hyo 130k unabakiwa na 270k.ebu nisaidie mchanganuo wa matumizi ws hiyo 270k mwezi mzima
 
Sisi ambao tunapokea net below 500.000 na tunatoba pia.....
 
Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakuwa nimefulia hatari.

Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?

Tupeane mbinu hizo wakuu.
Chukua kadi yako ikate na mkasi itupe kwa dustbin
 
Ukitoa hyo 130k unabakiwa na 270k.ebu nisaidie mchanganuo wa matumizi ws hiyo 270k mwezi mzima
270k,mchele kg 20=60000
Maharage kg7=21000
Sabuni Miche 4=14000
Mafuta Lita 4=20000
unga kilo kumi =15000
Ngano kilo 5=10000
Nyanya 15000
Maziwa @24000
Maji 15000
Umeme 15000
Nyama kilo 2@20000
Gesi @. 25000
Sukari #14000,inategemea na ukubwa wa familia
 
Life style yako ndio kuishiwa kwako!

Wapo wanaopokea laki tatu na wanatoboa na kubakiza chenchi!!

Kama una shamba unalima,unafuga una bustan mbogamboga unashida gani!?na nyumba hulipii kodi!!?
 
Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakuwa nimefulia hatari.

Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?

Tupeane mbinu hizo wakuu.
Izo wiki mbili ambazo zinabaki hua unakopa eeh?endelea kujimwambafai na matumizi yako ya hovyo.
Japo nina mkopo unaonikwaruza 250K kila mwezi lakini bado naweza save 200K kila mwezi kwenye take home yangu ya mchongo So nakushangaa sana mkali unaishije

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Nimekushangaa sana unawezaje kuishi mwezi mzima ukaumaliza kwa mshahara wa 1.2M ?

Haya Sasa na wewe jieleze kama ulivyotaka wenzako wanaolipwa chini ya 1M wajieleze maana mimi nisingetoboa na huo mshahara wako siku 3
Ukibahatisha kupata riziki ya kukuweka mjini, usiingiwe na ujinga, zingatia maisha yako kwanza, kama chini ya milioni unajishangaa, shangaa pia na chini ya laki 2, wanaofanya kazi viwandani, unajua wanacholopwa!?
 
Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakuwa nimefulia hatari.

Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?

Tupeane mbinu hizo wakuu.
Kuna watu mnateseka sana. Huo mshahara wako ni gharama za bando wiki. Ila wewe unakula... Kunywa... Kuhonga... Wiki 2? Mh tafta ela kijana

Sent from my 2201117TG using JamiiForums mobile app
 
U

Kibahatisha kupata ridhiki ya kukuweka mjini, usiingiwe na ujinga, zingatia maisha yako kwanza, kama chini ya milioni unajshangaa, shangaa pia na chini ya laki 2,wanaofanya kazi viwandani, unajua wanacholopwa!?
Njaa imepanda kichwani unaniletea hasira Mimi?
 
njaa imepanda kichwani unanletea hasira Mimi?
Hapana mkuu, ukishiba usikufuru basi. Kuna watu mjini wana kipato kidogo kweli kweli, kwa sisi tuliokaa uswahilini, mshahara wa laki 2 ni mkubwa tu eti na mtu anaheshimika😂, analipa pango 30k kwa mwezi uhakika, usitushangae mkuu, tunaishi vizuri tu kwa nusu milioni.
 
Back
Top Bottom