BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Huyo nahisi atakuwa Yuko Bodi ya mikopo, Kwa sababu aliwahi kusema kapata kazi huko,Unafanya kazi office gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo nahisi atakuwa Yuko Bodi ya mikopo, Kwa sababu aliwahi kusema kapata kazi huko,Unafanya kazi office gani
Kabisa kabisa...Pesa haijawai mtosheleza mtu hata siku mmoja
Kwa kipindi hicho ambacho umeanza kazi ungeanza angalau na degree Kwa Sasa ungekuwa unalipwa zaidi ya Milioni 4Maisha ni yaleyale.
Kila mtu huishi sawa na kipato chake na wote hupata msongo wa mawazo.
Mwenye ghorofa ana msongo wa mawazo
Mwenye nyumba ya udongo ana msongo wa mawazo.
Mwenye take home ya 260000 ana msongo
Mwenye take home ya 2,000,000 ana msongo pia.
Mimi nilianza na mshahara wa take home ya laki 3.6 niliteseka na sasa nina take home ya milioni na laki 4 nateseka pia.
Kwanza huna mshahara ww lakini pole kwa kuajiriwa tatu ww ni maskini na usipoangalia utakufa maskiniMimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Punguza madeni mtaani hata laki tatu itakutana na mwezi mpyaMimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Wapo inategemea na muda aliyopo kazini, kwa sababu kila baada ya miaka mitatu anakuwa promoted na kama alianza na degree. Kwa mwalimu wa bachelor anaanza na basic ya 750000 baada ya miaka mitatu 990000,Kuna mualimu wa sekondari anae pokea hiyo pesa kweli?
Wanawake wenye mishahara huwa wanawadharau sana wanaume wao ambao hawana mishaharaMimi Sina mshahara lakin mwezi unakatika bila stress apo niulize nafanya fanyaje? Mimi kazi yangu nikusolve problems tu. Yaan sisovu tatizo ambalo halijafika never nasolve lililo mbele yangu mpaka wife anacheka tu.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Wanawake kwa pesa ni kama jini makata kwa damuPombe haziwezi kumaliza hela yote kwa muda mfupi labda wanawake
,Wanakuja kukwambia ulipie tangazo
UnajiendekezaMimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Kwahiyo inawezekana kunaujanja uafanywa na mabosi katika mishahara Nini?Hela ikishaitwa MSHAHARA hata iwe 5m huwa haitoshi
Ni kweli Sina mshahara Nina mke ana mshahara lakin sijawahi omba hata mia na majukumu yanaenda kwa madili hivyo Sasa Kama sina kazi ya mshahara na maisha ndio yasiende? Mimi hapa dunian sijali kumhusu yeyote atakae ni dharau mi najali kuhusu wazazi wangu Kama wako salama hawana changamoto kingine Mungu nisitende dhambi labda za kupitiwa tuu mwanamke huwezi kumridhisha kwa mshahara hakimi asingefanyiwa vile kwani ana Kila kituWanawake wenye mishahara huwq wanawadharau sana wanaume wao ambao hawana mishahara
Znz kumenoga [emoji108]Kuna mualimu wa sekondari anae pokea hiyo pesa kweli?
Ni mwendo wa kupooza madeni, japo maisha ni consistenceMimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
We inaekekea utakuwa ni mtu wa gambe na vimwanaMimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakua nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Aisee ni hatari, Kuna Jamaa yangu nimkemia kiwanda fulani anapokea 2.5M, na kamaliza chuo 2018, huu ni mwaka wa nne akiwa kazini. Walimu waangaliwe kiukweli.Serikalini wapo, kuna mzee amestaafu mwaka huu alikuwa mwalimu, alikuwa anapokea 2.5m kaanza kazi na degree 1986