bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Inategemea upo mkoa gani maisha utofautiana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakurudishia tar 23Tupo na kunapambana na maisha fresh tu ila atm card ipo kwa jirani😁😁😁😁
Acha uongo wewe,watu wa G unajua mshahara wao konyo wwMwalimu wa sekondari au msingi hadi anastaafu hawezi kuwa na TAKE HOME ya 1.29M hapo kafanya kazi 35 years ana degree yake, meanwhile kuna mtu kaanza kazi pake TANAPA ana mwezi mmoja kazini ana certificate tuu anakunja take home ya zaidi ya 1.3M per month.
Mzee umepangilia kikubwa sana270k,mchele kg 20=60000
Maharage kg7=21000
Sabuni Miche 4=14000
Mafuta Lita 4=20000
unga kilo kumi =15000
Ngano kilo 5=10000
Nyanya 15000
Maziwa @24000
Maji 15000
Umeme 15000
Nyama kilo 2@20000
Gesi @. 25000
Sukari #14000,inategemea na ukubwa wa familia
G anakula ngap kiongoz?Acha uongo wewe,watu wa G unajua mshahara wao konyo ww
Umeme 15k mwezi mzima?270k,mchele kg 20=60000
Maharage kg7=21000
Sabuni Miche 4=14000
Mafuta Lita 4=20000
unga kilo kumi =15000
Ngano kilo 5=10000
Nyanya 15000
Maziwa @24000
Maji 15000
Umeme 15000
Nyama kilo 2@20000
Gesi @. 25000
Sukari #14000,inategemea na ukubwa wa familia
Mbona inawezekana kabisa kununua umeme kwa 15000/-Umeme 15k mwezi mzima?
Ukatumia mwezi mzimaMbona inawezekana kabisa kununua umeme kwa 15000/-
Ndio inawezekana, labda wewe unaishi OystebayUkatumia mwezi mzima
Huku Niliko Nikiwa na Mchele na unga Ndani na Maji ya kunywa ya kutosha mejaza na Vinywaji na matunda kwenye Friji ya Kutosha na Pesa ya mboga za anasa (nyama, Kuku Kienyeji) kama 50k maana Umeme natumia Wa 9000 miezi hata 2 niko matumizi madogo Friji Halitumii Umeme sana Nililonalo na Liko On 24hr Ukiachana na Huu Mgao, mboga za Majani Huwa Nachuma Upenuni na Sio mdau wa kwenda club kulewa au kunywesha watu Bia Natoboa mwezi mshahara wangu ukabakia kiasi unapumua.Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakuwa nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Kuna walimu wanapokea Take home million 1.5 Take home na anafundisha Sekondary na bado kustaafu miaka 10 mbele wapo wengi tu inategemeana na Elimu ya mtu na kafanya kazi miaka mingapi.Kuna mwalimu wa sekondari anae pokea hiyo pesa kweli?
Tunatoboa kimizengwezengwe hadi tunajishangaa wenyewe.Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakuwa nimefulia hatari.
Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?
Tupeane mbinu hizo wakuu.
Hapa umenichanganya mkuu.Mimi Sina mshahara lakin mwezi unakatika bila stress apo niulize nafanya fanyaje? Mimi kazi yangu nikusolve problems tu. Yaan sisovu tatizo ambalo halijafika never nasolve lililo mbele yangu mpaka wife anacheka tu.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app