Migogoro ktk kanisa hili imeota mizizi na inakuwa sehemu ya utamaduni wa kanisa hili.
Ukiingia kwenye mitandao ukatfuta historia na taarifa za migogoro utakutana na lundo la migogoro iliyowahi kuripotiwa. Nitawakumbusha michache.
1. Wakati wa mgawanyo wa Dayosisi ya Pare na Mwanga maaskofu walimwagiana tindikali (acid). Huu unyama unaotisha unafaa kufanywa na kanisa?
2. Mwaka Jana walipotaka kuhamisha kiti cha uaskofu kule Dayosisi ya Konde kuliibuka timbwili la kufa mtu.
3. Dayosisi ya Mashariki na Pwani mchunganji Kimaro alisimamishwa kimagumashi kwa kupewa likizo isiyo na kichwa wala miguu kwasabb zisizofahamika mpk kesho. Ingawa taarifa za ndani zinasema ni maslahi ya kifedha.
4. Leo hii askofu wa Dayosisi ya Kusini amelazimishwa kustaafu baada ya mgogoro mkubwa uliosababishwa na matumizi mabaya ya fedha.
Ukiingia kwenye mitandao ukatfuta historia na taarifa za migogoro utakutana na lundo la migogoro iliyowahi kuripotiwa. Nitawakumbusha michache.
1. Wakati wa mgawanyo wa Dayosisi ya Pare na Mwanga maaskofu walimwagiana tindikali (acid). Huu unyama unaotisha unafaa kufanywa na kanisa?
2. Mwaka Jana walipotaka kuhamisha kiti cha uaskofu kule Dayosisi ya Konde kuliibuka timbwili la kufa mtu.
3. Dayosisi ya Mashariki na Pwani mchunganji Kimaro alisimamishwa kimagumashi kwa kupewa likizo isiyo na kichwa wala miguu kwasabb zisizofahamika mpk kesho. Ingawa taarifa za ndani zinasema ni maslahi ya kifedha.
4. Leo hii askofu wa Dayosisi ya Kusini amelazimishwa kustaafu baada ya mgogoro mkubwa uliosababishwa na matumizi mabaya ya fedha.