Mnaosali KKKT bado mna imani na kanisa hili? Mbona migogoro imetamalaki?

Mnaosali KKKT bado mna imani na kanisa hili? Mbona migogoro imetamalaki?

Hata kwenye maisha ya kawaida, Kama ni mtumishi wa umma fanya maendeleo makubwa utashangaa takukukuru wanakufuatilia Mara wezi, wachawi, wapiga fitna n.k, lakini ukikaa tu Kama zombi/teja hutakuwa na mgogoro wowote

Naweza nikakuunga mkono nabiidaniel.
 
Uhuru wa kujieleza una changamoto zake ndo hizo, nenda kwa wanaoabudu sanamu na kuongozwa kama ng'ombe
 
Uhuru wa kujieleza una changamoto zake ndo hizo, nenda kwa wanaoabudu sanamu na kuongozwa kama ng'ombe
Kanisa siyo taasisi ya kidemokrasia, bali ni taasisi inayoendeshwa kwa misingi ya mafundisho ya YESU KRISTO, nje ya hapo ni ubatili.
 
Kkkt na migogoro ni chanda na pete.
Hilo kanisa limejaa ukabila chadema wakasome
 
Back
Top Bottom