Huu mjadala wa kwamba bandari ya Dar imeuzwa na nyingine zote zimeuzwa unakolezwa sana.
Tuondoe u-CCM na u-CHADEMA naomba kueleweshwa kua bandari imeuzwaje, kwanini nataka kueleweshwa.
Kabla ya bunge kupitisha na kuridhia mkataba wa serikali kuingia ubia na Dubai maneno yalikua mengi kua bandari imeuzwa lakini baada ya kumsikiliza Mbarawa naona mnazidi kunichanganya.
Serikali wamesema suala la ulinzi na usalama wa bandari bado utabaki chini ya vyombo vya ulinzi vya nchi yetu Tanzania, swali je hatuviamini vyombo vyetu?
Dubai wanapewa baadhi ya gates wafanye operation, kama sijaelewa nimesikia kua kwenye ubia huu hawa Dubai hawapewi bandari nzima wanapewa baadhi ya gates lkn nyingne wataendelea kufanya kazi TPA je hapa bandari imeuzwaje.
Mamlaka za serikali zote zitakuepo bandarini, serikali imesema mamlaka zote za serikali kama TPA na TRA zitaendelea ku oparate bandarini yaani hakuna kitu watafanya bila TRA na TPA kujua in short ni kuwa TRA itaendelea kukusanya cha kwao na TPA nao halikadhalika, tuelewesheni hapa tumepigwaje.
Ajira, serikali wanasema ajira za Watanzania zilizopo bandarini zitalindwa na kutaongezeka nyingine ubaya wa hawa Dubai uko wapi na hapa tutapigwaje?
Serikali inasema imeamua kufanya ubia ili kuongeza ufanisi katika utendaji, hapa ni kupunguza siku za meli kutia nanga kutoka siku nne mpaka wastani wa siku moja na nusu.
Sisi kama nchi tumepambana tumeshindwa ku oparate kwa ufanisi wa kimataifa kwa muda mrefu tumeamua kutafta watu wengine watuongezee technology tupate Zaidi nao wapate.
Wamesema kama kutatokea mgogoro Dubai na Tanzania watakaa meza moja kuzungumza, sheria zitakazotumika kumaliza mgogoro ni za Tanzania na sehemu ya kufanyia usuluhishi imetajwa tunaogopa nini, tufafanulieni?
Wamesema hawa jamaa kama wakiweza kufanya vizuri huko mbeleni watapewa bandari nyingine wakishindwa sisi Tanzania tunaweza kumpa mtu mwingine, hapa shida iko wapi?
Tunaomba tupewe darasa la bure wenzetu kua tutapigwaje huko mbeleni.
Tuondoe u-CCM na u-CHADEMA naomba kueleweshwa kua bandari imeuzwaje, kwanini nataka kueleweshwa.
Kabla ya bunge kupitisha na kuridhia mkataba wa serikali kuingia ubia na Dubai maneno yalikua mengi kua bandari imeuzwa lakini baada ya kumsikiliza Mbarawa naona mnazidi kunichanganya.
Serikali wamesema suala la ulinzi na usalama wa bandari bado utabaki chini ya vyombo vya ulinzi vya nchi yetu Tanzania, swali je hatuviamini vyombo vyetu?
Dubai wanapewa baadhi ya gates wafanye operation, kama sijaelewa nimesikia kua kwenye ubia huu hawa Dubai hawapewi bandari nzima wanapewa baadhi ya gates lkn nyingne wataendelea kufanya kazi TPA je hapa bandari imeuzwaje.
Mamlaka za serikali zote zitakuepo bandarini, serikali imesema mamlaka zote za serikali kama TPA na TRA zitaendelea ku oparate bandarini yaani hakuna kitu watafanya bila TRA na TPA kujua in short ni kuwa TRA itaendelea kukusanya cha kwao na TPA nao halikadhalika, tuelewesheni hapa tumepigwaje.
Ajira, serikali wanasema ajira za Watanzania zilizopo bandarini zitalindwa na kutaongezeka nyingine ubaya wa hawa Dubai uko wapi na hapa tutapigwaje?
Serikali inasema imeamua kufanya ubia ili kuongeza ufanisi katika utendaji, hapa ni kupunguza siku za meli kutia nanga kutoka siku nne mpaka wastani wa siku moja na nusu.
Sisi kama nchi tumepambana tumeshindwa ku oparate kwa ufanisi wa kimataifa kwa muda mrefu tumeamua kutafta watu wengine watuongezee technology tupate Zaidi nao wapate.
Wamesema kama kutatokea mgogoro Dubai na Tanzania watakaa meza moja kuzungumza, sheria zitakazotumika kumaliza mgogoro ni za Tanzania na sehemu ya kufanyia usuluhishi imetajwa tunaogopa nini, tufafanulieni?
Wamesema hawa jamaa kama wakiweza kufanya vizuri huko mbeleni watapewa bandari nyingine wakishindwa sisi Tanzania tunaweza kumpa mtu mwingine, hapa shida iko wapi?
Tunaomba tupewe darasa la bure wenzetu kua tutapigwaje huko mbeleni.