Mnaosema bandari imeuzwa tunaomba mtueleweshe imeuzwaje, na kwa kiasi gani

Mnaosema bandari imeuzwa tunaomba mtueleweshe imeuzwaje, na kwa kiasi gani

Huu mjadala wa kwamba bandari ya Dar imeuzwa na nyingine zote zimeuzwa unakolezwa sana

Tuondoe u-CCM na u-CHADEMA naomba kueleweshwa kua bandari imeuzwaje, kwanini nataka kueleweshwa.

Kabla ya bunge kupitisha na kuridhia mkataba wa serikali kuingia ubia na Dubai maneno yalikua mengi kua bandari imeuzwa lakini baada ya kumsikiliza Mbarawa naona mnazidi kunichanganya

Serikali wamesema suala la ulinzi na usalama wa bandari bado utabaki chini ya vyombo vya ulinzi vya nchi yetu Tanzania, swali je hatuviamini vyombo vyetu?

Dubai wanapewa baadhi ya gates wafanye operation, kama sijaelewa nimesikia kua kwenye ubia huu hawa Dubai hawapewi bandari nzima wanapewa baadhi ya gates lkn nyingne wataendelea kufanya kazi TPA je hapa bandari imeuzwaje

Mamlaka za serikali zote zitakuepo bandarini, serikali imesema mamlaka zote za serikali kama TPA NA TRA zitaendelea ku oparate bandarini yaani hakuna kitu watafanya bila TRA na TPA kujua in short ni kua tra itaendelea kukusanya cha kwao na TPA nao halikadhalika, tuelewesheni hapa tumepigwaje

Ajira, serikali wanasema ajira za watanzania zilizopo bandarini zitalindwa na kutaongezeka nyingine ubaya wa hawa Dubai uko wapi na hapa tutapigwaje

Serikali inasema imeamua kufanya ubia ili kuongeza ufanisi katika utendaji, hapa ni kupunguza siku za meli kutia nanga kutoka siku nne mpaka wastani wa siku moja na nusu,

Sisi kama nchi tumepambana tumeshindwa ku oparate kwa ufanisi wa kimataifa kwa muda mrefu tumeamua kutafta watu wengine watuongezee technology tupate Zaidi nao wapate

Wamesema kama kutatokea mgogoro Dubai na Tanzania watakaa meza moja kuzungumza, sheria zitakazotumika kumaliza mgogoro ni za Tanzania na sehemu ya kufanyia usuluhishi imetajwa tunaogopa nini tufafanulieni

Wamesema hawa jamaa kama wakiweza kufanya vizuri huko mbeleni watapewa bandari nyingine wakishindwa sisi Tanzania tunaweza kumpa mtu mwingine hapa shida iko wapi.

Tunaomba tupewe darasa la bure wenzetu kua tutapigwaje huko mbeleni
asante mkuu. umeweka mambo in a "nutshell" ila wabwabwaji hawana logic kama hizi kazi yao ni kupinga tu.
 
jibu hoja sasa
Hakuna hoja , kila kitu kiko kwenye the so called mkataba, asome huo mkataba, asitake kutafuniwa. Kama hawezi kusoma na kuelewa, basi ndiyo maana nasema haya yako nje ya uwezo wake wa kufikiri. Seems na wwe nadhani ni mlolongo huo.
 
Huu mjadala wa kwamba bandari ya Dar imeuzwa na nyingine zote zimeuzwa unakolezwa sana

Tuondoe u-CCM na u-CHADEMA naomba kueleweshwa kua bandari imeuzwaje, kwanini nataka kueleweshwa.

Kabla ya bunge kupitisha na kuridhia mkataba wa serikali kuingia ubia na Dubai maneno yalikua mengi kua bandari imeuzwa lakini baada ya kumsikiliza Mbarawa naona mnazidi kunichanganya

Serikali wamesema suala la ulinzi na usalama wa bandari bado utabaki chini ya vyombo vya ulinzi vya nchi yetu Tanzania, swali je hatuviamini vyombo vyetu?

Dubai wanapewa baadhi ya gates wafanye operation, kama sijaelewa nimesikia kua kwenye ubia huu hawa Dubai hawapewi bandari nzima wanapewa baadhi ya gates lkn nyingne wataendelea kufanya kazi TPA je hapa bandari imeuzwaje

Mamlaka za serikali zote zitakuepo bandarini, serikali imesema mamlaka zote za serikali kama TPA NA TRA zitaendelea ku oparate bandarini yaani hakuna kitu watafanya bila TRA na TPA kujua in short ni kua tra itaendelea kukusanya cha kwao na TPA nao halikadhalika, tuelewesheni hapa tumepigwaje

Ajira, serikali wanasema ajira za watanzania zilizopo bandarini zitalindwa na kutaongezeka nyingine ubaya wa hawa Dubai uko wapi na hapa tutapigwaje

Serikali inasema imeamua kufanya ubia ili kuongeza ufanisi katika utendaji, hapa ni kupunguza siku za meli kutia nanga kutoka siku nne mpaka wastani wa siku moja na nusu,

Sisi kama nchi tumepambana tumeshindwa ku oparate kwa ufanisi wa kimataifa kwa muda mrefu tumeamua kutafta watu wengine watuongezee technology tupate Zaidi nao wapate

Wamesema kama kutatokea mgogoro Dubai na Tanzania watakaa meza moja kuzungumza, sheria zitakazotumika kumaliza mgogoro ni za Tanzania na sehemu ya kufanyia usuluhishi imetajwa tunaogopa nini tufafanulieni

Wamesema hawa jamaa kama wakiweza kufanya vizuri huko mbeleni watapewa bandari nyingine wakishindwa sisi Tanzania tunaweza kumpa mtu mwingine hapa shida iko wapi.

Tunaomba tupewe darasa la bure wenzetu kua tutapigwaje huko mbeleni
baadhi ya watu ni waongo hatari

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
asante mkuu. umeweka mambo in a "nutshell" ila wabwabwaji hawana logic kama hizi kazi yao ni kupinga tu.
Logic Gani mkuu .?
Yaani huoni KUWA hakuna mkaraba ambao umewahi kusainiwa na Serikali ukalinufaidha Taifa zaidi ya kulipa hasara.!?

Amini usiamini Nabii Wa Tanzania ni Nyerere na KARIME.
TANGANYIKA Nabii wake ni Nyerere na Zanzibar nabii wake ni Karume .
Kila nchi na kabila duniani Ina asili yake na watu ambao Mwenyezi Mungu aliwapa uwezo Wa KUWA na maono mapana ya kuiona baadae ya Taifa hilo. Wenzetu waliotangulia katika Mataifa Yao waliwaita manabii . Na akavunisha KUWA ni manabii Wa Dunia Nzima . Lakini ukifuatilia Vizuri Hao Hao ndio wanaokiuka Yale Hata Hao manabii Wa Dunia waliyoyasema .
MWALIMU Nyerere alisema Rasilimali za Tanzania wasipewe Wageni Kwa watu Wa Kizazi hiki kutokana na Elimu Bado Iko chini . Ndio kuna maprofesa lakini jiulize Kuna maProfesa wangapi ambao WAKO WAKO vizuri kuanzia kitaaluma ,kimaadili , kiimani, kimaono ,kibiashara ,kauli zao , falsafa zao na Uzalendo wao?
Au ni Hawa wasomi na wataalam wabinafsi ambao wakishapata vyeti wanarelax na kupewa pombe na wanawake na kuangalia namna ya kujiongezea masalahi na vikao Ili wapate pesa wakajenge majumba Kwa ajili ya kurethisha Watoto wao bila kujali kuwa wamepewa dhamana ya kusimamia rasilimali na mapato ya nchi Maskini na kuleta maendeleo Kwa Taifa lililowasomesha ?

Lakini nini tatizo Kwa wasomi Hawa waliopo?
Tuliosoma CUBA tunafahamu wazi KUWA Kizazi hiki Kwa asilimia kubwa ni zao la wizi Wa mitihani kuanzia masekondari, wizi Wa kura , udanganyifu kwenye ajira n.k.
Hata hivyo Bado tunawashukuru Kwa sababu wametusogeza mbele kidogo japo Kwa kupotea potea njia na kupapasa pasa kama vipofu.
Hiví hauamini KUWA Hata maprofesa waliopo kwenye maamuzi ya kisiasa hawawezi kamwe kusimama kwenye majukwaa wakati Wa kampeni na Kupiga porojo na kampeni zao Kwa Lugha nyingine mbali na Kiswahili.? Yaani kamwe hawana uwezo Wa kusimama kwenye jukwaa na Kutumia nusu Saá kuekezea mipango na mikakati ya maendeleo wanayokusudia kuifanya Kwa Lugha nyingine .Sasa watu kama hao ni lazima wataingizwa chaka kwenye mikataba ya kimataifa na hawatakua na muda mzuri Wa kwenda kufungua kesi kwenye mahakama ya kimataifa endapo mikataba itakiukwa. Mikataba ikikiukwa hawana habari Maana wao wameshiba na Watoto wao.
Falme za Kiarabu hakuna Demokrasia lakini WanaSharia Kali na Mila zao ni Kali ukilinganisha na Tanzania ambapo hatujui tunasimama wapi. Watu Wa Tanzania Bado wanapendeleana bila kujali Uwezo Sio tu Wa kitaaluma lakini pia maadili. Watu wanakutana baa na kupeana KAZI Kwa sababu ya Kununuliana pombe au Kwa sababu TU ya ngono. Kizazi hicho lazima kiwaze starehe tu na kupata pesa za starehe Kwa wizi. Hizi ni Tabia tu ambazo zinaondoshwa Kwa adhabu Kali inayoumiza na kufedhehesha.
Je, Serikali yetu inawaadhibu wanaochukua Mali za umma na kuhamishia majumbani mwao? Hiví kumdhibiti MTU uliyemteua nayo inahitaji Wawekezaji kweli?
Pale bandarini watu wanagawana Mapesa kama karanga na rushwa na kupindisha mapato kuingia mifukoni mwao na inajulikana na Mali zao zinajukana lakini watu walipeana Kwa kujuana na kisiasa na Wanasiasa ni Wa Kwanza kuhujumu mashirika ya umma Sasa hakuna Wa kumfunga Paka Kengele. Matokeo yake Mali za Watanzania wasio na hatia awanapewa wageni huku waliohujumu wakiwa wanakula bata na familia zao. Wageni nao wakipewa wanaiba wanapeleka kwao mana wanajua KUWA ni nchi ya kula Kwa urefu Wa kamba .


Kama akina Cliopa Msuya ,Kighoma Malima, Mramba na Sasa Mwigulu Nchemba wametusogeza basi kipo Kizazi kitakachotupeleka mbele na KUFANYA Mapinduzi makubwa . Kizazi kilichopo chini ya miaka 18 miongoni mwao Kuna watakaotuvusha miaka 20 ijayo Mbele. Kuna kizazi baba Wa Taifa hili alikiona kinakuja . Ni Kizazi chini ya miaka 18. Miongoni mwao wapo waliosoma mitaala ya Cambridge, English medium, Arabic language, Chinese Language n.k . Hawa wameanza kuisoma Computer na mitandao wakiwa nursery school. Hawa watoto na wajukuu zetu ni Kizazi cha Mapinduzi nakubwa yajayo. Hawa watoto na wajukuu Zatu hawana Tofauti na Watoto Wa Kihindi, Kiarabu ,Kizungu,kichina n.k. Watatushangaa sana KUWA tulishindwa kulinda rasilimali zetu Kwa ajili ya wajati wao Ili washindane na Kizazi Cha Dunia Nzima .

Sina Imani na mikataba inayowekwa na Hawa watu wanaotumia Sheria na Katiba iliyopo kujinufaisha mana wanajua hakuna Wa kuwauliza na miaka 20 mbele Wengine watakua makaburuni ,hawana Cha kupoteza mana Katiba zinawalinda. Wamechoka kutorosha wanyama kutumia ndege na Sasa watatumia Meli kusafirisha mpka miamba na udongo WETU wenye rutuba watuachie udongo ngumu.

Sina Imani nao Kwani Tulipogundua Gesi tuliambiwa tutapata pesa nyingi mpaka patafunguliwa Akaunti maalumu Kwa ajili ya vizazi vijavyo.
Yako Wapi .? Badala yake tumerudi kwenye Kodi mpaka ya Majengo Kwa wapangaji Wa nyumba na vibanda vya kuza mchicha Barabarani kupitia Tanesco.
Walipouza Migodi kule Geita walituambia tutakua namba Moja kuuza dhahabu na tutapata pesa nyingi na uchumi utapaa. Watu waliporwa Ardhi Yao na Wengine kupoteza maisha . Walionufaika ni watawala. Wawekezaji wanajua KUWA watanzania ni wabinafsi hivyo Hata ikiundwa Tume kuchunguza inahongwa kirahisi na kutoa ripoti ya uongo .
Watatuibia watakwenda kujenga Dubai. Bora tuibiwe na wanyiramba,wachaga,Wahaya ,Wazaramo, Wamakonde,wasubi, wajita,waluguru ,wagogo n.k wajenge Tanzania na mzunguko utawafikia Wengine .
Viwanda vya sementi vipo Zaidi ya Saba vikubwa na tuliambiwa sementi itashuka Bei mpaka Elfu 6 lakini inapaa tuu Tofauti na ile inayotoka Nje.

Viwanda vingi vikauzwa tukaambiwa vitafufuliwa na wawekezaji . Matokeo yake tunaagiza mpaka majembe ya mkono,makwanja ya kufyeka , Mapanga na visu kutoka china wakati Babu zetu walitengeneza majembe na mapanga na mikuki Kwa kuyeyusha vyuma.

Tumelogwa na Wanasiasa Kwa manufaa Yao.
 
Nipo kwenye kijiwe cha kahawa,wananchi wanasema wana hakika bandari haijauzwa kwa sababu wamesikia kwenye redio,wanasema kama imeuzwa hela kachukua nani?
 
Nipo kwenye kijiwe cha kahawa,wananchi wanasema wana hakika bandari haijauzwa kwa sababu wamesikia kwenye redio,wanasema kama imeuzwa hela kachukua nani?
Fedha wamegawana waliotuuza
  1. Mbarawa na dada yake kutoka Zanzibar
  2. Wabunge wa chama tawala na spika wao
 
Tumepata taarfa uku nje kuwa waarabu ni watu wafujo na kuharibu nchi ya watu
 
Kabla ya bunge kupitisha na kuridhia mkataba wa serikali kuingia ubia na Dubai maneno yalikua mengi kua bandari imeuzwa lakini baada ya kumsikiliza Mbarawa naona mnazidi kunichanganya

Serikali wamesema suala la ulinzi na usalama wa bandari bado utabaki chini ya vyombo vya ulinzi vya nchi yetu Tanzania, swali je hatuviamini vyombo vyetu?

Dubai wanapewa baadhi ya gates wafanye operation, kama sijaelewa nimesikia kua kwenye ubia huu hawa Dubai hawapewi bandari nzima wanapewa baadhi ya gates lkn nyingne wataendelea kufanya kazi TPA je hapa bandari imeuzwaje
Hivi kwanini sisi wenyewe tumeshindwa kuisimamia hiyo bandari?
Walioko madarakani wana uwezo mdogo wa akili, maarifa na mtazamo?
Hao wanaobinafsishiwa walizaliwa na huo utaalamu?
Je watu wetu haawawezi kuwezeshwa wakafanya kama hao waarabu hata kama ni kwa muda mrefu?
 
Huu mjadala wa kwamba bandari ya Dar imeuzwa na nyingine zote zimeuzwa unakolezwa sana

Tuondoe u-CCM na u-CHADEMA naomba kueleweshwa kua bandari imeuzwaje, kwanini nataka kueleweshwa.

Kabla ya bunge kupitisha na kuridhia mkataba wa serikali kuingia ubia na Dubai maneno yalikua mengi kua bandari imeuzwa lakini baada ya kumsikiliza Mbarawa naona mnazidi kunichanganya
Je, wewe umeusoma huo Mkataba wa Ushirikiano, unaitwa "Intergovernmental Agreement (IGA)" ambao Mbarawa alisaini kwa idhini ya Rais SSH?

Serikali wamesema suala la ulinzi na usalama wa bandari bado utabaki chini ya vyombo vya ulinzi vya nchi yetu Tanzania, swali je hatuviamini vyombo vyetu?
Kama vinaamika iweje Merelani Serikali ya Awamu ya Tano ilijenga ukuta! Hujasikia tuhuma za wanyama kama Twiga kusafirisha wakiwa hai?

Dubai wanapewa baadhi ya gates wafanye operation, kama sijaelewa nimesikia kua kwenye ubia huu hawa Dubai hawapewi bandari nzima wanapewa baadhi ya gates lkn nyingne wataendelea kufanya kazi TPA je hapa bandari imeuzwaje

Ajira, serikali wanasema ajira za watanzania zilizopo bandarini zitalindwa na kutaongezeka nyingine ubaya wa hawa Dubai uko wapi na hapa tutapigwaje

Serikali inasema imeamua kufanya ubia ili kuongeza ufanisi katika utendaji, hapa ni kupunguza siku za meli kutia nanga kutoka siku nne mpaka wastani wa siku moja na nusu,

Sisi kama nchi tumepambana tumeshindwa ku oparate kwa ufanisi wa kimataifa kwa muda mrefu tumeamua kutafta watu wengine watuongezee technology tupate Zaidi nao wapate
Una ushahidi wowote wa aina hiyo ya Mkataba ambao umetusaidia kiuchumi?

Wamesema kama kutatokea mgogoro Dubai na Tanzania watakaa meza moja kuzungumza, sheria zitakazotumika kumaliza mgogoro ni za Tanzania na sehemu ya kufanyia usuluhishi imetajwa tunaogopa nini tufafanulieni
Usome huo Mkataba "Article 20"

Wamesema hawa jamaa kama wakiweza kufanya vizuri huko mbeleni watapewa bandari nyingine wakishindwa sisi Tanzania tunaweza kumpa mtu mwingine hapa shida iko wapi.
Soma huo Mkataba "Article 5"
 

Attachments

Hakuna ubia Wa 100%.
Hatuwahitaji Tena CCM kwenye nchi hili .

Hawa Wanaweka mawakala wao watakaowadhamini Ili waendelee kukaa madarakani Kwa kuiibia nchi na kwenda kujenga na kuishi Dubai ,Jiji la mabilionea Wa Dunia.
Watawala na viongozi Wa CCM na baadhi ya wabunge wameshahakikishiwa KUWA watakua wakazi Wa Dubai.

Hawa Dubai ni mawakala Wa Nchi za magaharibi. Wanajua wanachofanya Duniani.

Watanganyika na waafrika tuamke .

Lengo lao ni kumwondosha Mwafrika Duniani kabisa au kuwaacha waafrika Wachache wenye ubinafsi mkubwa Wa kuuza Kila kitu alimradi wavae Kanju,SUTI, na Kaniki na shanga Kwa wake zao.

Hiví tatizo la nchi yetu ni Wawekezaji au ni kuwa na Wasomi wezi na wabinafsi walioamua kushirikiana na wageni kuibia nchi.?

Hiví tunasimesha Watoto WETU Ili wakawe watumwa Wa Waarabu na wazungu kwenye nchi yetu?

Hiví hatuoni vita itakayokuja ya wajukuu WETU kuuana Kudai uhuru Wa kumiliki mipaka na uchumi Wa nchi yetu?

Kwa nini tuache Maradi Wa Bandari ya Bagamoyo hakafu tugawe Bandari ya Dar es salaam Bure Kwa Waarabu ambao kimsingi wanakuja kwenye nchi ya kijamaa ,isiyo na Dini .Tuliwakataa Wachina wajamaa Wenzetu wasio fungamana na Dini yoyote halafu tunawapa Waarabu wanaifungamana na Dini moja tuu na pia wanafungamana na Nchi za magharibi hasa Marekani.

Iko wazi kabisa Hawa ndio watakaotumika kuleta chokochoko kwenye nchi yetu Kwa manufaa ya nchi hiyo na Marekani. Marekani na Washirika wake walikua wanaitamani sana Tanganyika Sasa wamepata pa kuingilia ,Zanzibar walishaichukua na kuifanya iwe maskini kupitia Muungano usioeleweka .
Watatuvuruga kirahisi sana Kwa Sasa .

Marekani Sasa tumeshawapa nchi kupitia mawakala wao amabao ni nchi ya Falme za Kiarabu Wakiamua kutuvuruga kidini watafanikiwa Kwa haraka kuingiza sílaha wakiamua kutuvuruga kiuchumi watafanikiwa Kwa haraka ,wakiamua kutuvuruga kisiasa wameshafanikiwa.

Kwa Kizazi hiki Cha kina Makamba Jr waliofaulu mitihani Kwa wizi Hatuwezi kufaidika na wawekezaji Kwa nchi yenye Sheria legelege na katiba legelege kama ya kwetu . Hata wangekuja wawekezaji kutoka Mbinguni .
Tunapinga ni kuwapa Wageni rasilimali zetu wakati tumewekeza kwenye elimu Kwa watoto WETU Kwa kiwango chenye matumaini ya kuja kubadili baadhi ya mambo hasa suala la uadilifu na uwajibikaji. Sasa kuwapa Wageni Kila kitu mpaka Bandari ni kukiri KUWA watanzania na vizazi vyetu vijavyo Hata Kwa Karne Nzima ijayo watakua hawana uwezo Hata Kwa kukusanya mapato kwenye nchi Yao na kujenga Bandari na kuisimamia wenyewe.

Tumeuzwa pamoja na Ulinzi Wote .
Nchi Sasa ni Mali ya Matajiri na familia ya Mtawala Wa Falme za Kiarabu .

Walianza na Loliondo na Sasa wamechukua Bandari. Wanaelekea kuchukua usalama Wa nchi mana watakuja kusema KUWA hawana Imani na Ulinzi na usalama Wa nchi yetu . Watatuletea military base ya Marekani pale kigamboni. Sasa nchi ni Mali ya mfalme wa kule Falme za Kiarabu chini ya udhamini Wa CIA ya Marekani . Falme za Kiarabu ni Nchi isiyo na Demokrasia lakini ni Rafiki Mkubwa Wa Marekani.
Ohh hapo shida ni waarabu na pia ni waislam
 
Logic Gani mkuu .?
Yaani huoni KUWA hakuna mkaraba ambao umewahi kusainiwa na Serikali ukalinufaidha Taifa zaidi ya kulipa hasara.!?

Amini usiamini Nabii Wa Tanzania ni Nyerere na KARIME.
TANGANYIKA Nabii wake ni Nyerere na Zanzibar nabii wake ni Karume .
Kila nchi na kabila duniani Ina asili yake na watu ambao Mwenyezi Mungu aliwapa uwezo Wa KUWA na maono mapana ya kuiona baadae ya Taifa hilo. Wenzetu waliotangulia katika Mataifa Yao waliwaita manabii . Na akavunisha KUWA ni manabii Wa Dunia Nzima . Lakini ukifuatilia Vizuri Hao Hao ndio wanaokiuka Yale Hata Hao manabii Wa Dunia waliyoyasema .
MWALIMU Nyerere alisema Rasilimali za Tanzania wasipewe Wageni Kwa watu Wa Kizazi hiki kutokana na Elimu Bado Iko chini . Ndio kuna maprofesa lakini jiulize Kuna maProfesa wangapi ambao WAKO WAKO vizuri kuanzia kitaaluma ,kimaadili , kiimani, kimaono ,kibiashara ,kauli zao , falsafa zao na Uzalendo wao?
Au ni Hawa wasomi na wataalam wabinafsi ambao wakishapata vyeti wanarelax na kupewa pombe na wanawake na kuangalia namna ya kujiongezea masalahi na vikao Ili wapate pesa wakajenge majumba Kwa ajili ya kurethisha Watoto wao bila kujali kuwa wamepewa dhamana ya kusimamia rasilimali na mapato ya nchi Maskini na kuleta maendeleo Kwa Taifa lililowasomesha ?

Lakini nini tatizo Kwa wasomi Hawa waliopo?
Tuliosoma CUBA tunafahamu wazi KUWA Kizazi hiki Kwa asilimia kubwa ni zao la wizi Wa mitihani kuanzia masekondari, wizi Wa kura , udanganyifu kwenye ajira n.k.
Hata hivyo Bado tunawashukuru Kwa sababu wametusogeza mbele kidogo japo Kwa kupotea potea njia na kupapasa pasa kama vipofu.
Hiví hauamini KUWA Hata maprofesa waliopo kwenye maamuzi ya kisiasa hawawezi kamwe kusimama kwenye majukwaa wakati Wa kampeni na Kupiga porojo na kampeni zao Kwa Lugha nyingine mbali na Kiswahili.? Yaani kamwe hawana uwezo Wa kusimama kwenye jukwaa na Kutumia nusu Saá kuekezea mipango na mikakati ya maendeleo wanayokusudia kuifanya Kwa Lugha nyingine .Sasa watu kama hao ni lazima wataingizwa chaka kwenye mikataba ya kimataifa na hawatakua na muda mzuri Wa kwenda kufungua kesi kwenye mahakama ya kimataifa endapo mikataba itakiukwa. Mikataba ikikiukwa hawana habari Maana wao wameshiba na Watoto wao.
Falme za Kiarabu hakuna Demokrasia lakini WanaSharia Kali na Mila zao ni Kali ukilinganisha na Tanzania ambapo hatujui tunasimama wapi. Watu Wa Tanzania Bado wanapendeleana bila kujali Uwezo Sio tu Wa kitaaluma lakini pia maadili. Watu wanakutana baa na kupeana KAZI Kwa sababu ya Kununuliana pombe au Kwa sababu TU ya ngono. Kizazi hicho lazima kiwaze starehe tu na kupata pesa za starehe Kwa wizi. Hizi ni Tabia tu ambazo zinaondoshwa Kwa adhabu Kali inayoumiza na kufedhehesha.
Je, Serikali yetu inawaadhibu wanaochukua Mali za umma na kuhamishia majumbani mwao? Hiví kumdhibiti MTU uliyemteua nayo inahitaji Wawekezaji kweli?
Pale bandarini watu wanagawana Mapesa kama karanga na rushwa na kupindisha mapato kuingia mifukoni mwao na inajulikana na Mali zao zinajukana lakini watu walipeana Kwa kujuana na kisiasa na Wanasiasa ni Wa Kwanza kuhujumu mashirika ya umma Sasa hakuna Wa kumfunga Paka Kengele. Matokeo yake Mali za Watanzania wasio na hatia awanapewa wageni huku waliohujumu wakiwa wanakula bata na familia zao. Wageni nao wakipewa wanaiba wanapeleka kwao mana wanajua KUWA ni nchi ya kula Kwa urefu Wa kamba .


Kama akina Cliopa Msuya ,Kighoma Malima, Mramba na Sasa Mwigulu Nchemba wametusogeza basi kipo Kizazi kitakachotupeleka mbele na KUFANYA Mapinduzi makubwa . Kizazi kilichopo chini ya miaka 18 miongoni mwao Kuna watakaotuvusha miaka 20 ijayo Mbele. Kuna kizazi baba Wa Taifa hili alikiona kinakuja . Ni Kizazi chini ya miaka 18. Miongoni mwao wapo waliosoma mitaala ya Cambridge, English medium, Arabic language, Chinese Language n.k . Hawa wameanza kuisoma Computer na mitandao wakiwa nursery school. Hawa watoto na wajukuu zetu ni Kizazi cha Mapinduzi nakubwa yajayo. Hawa watoto na wajukuu Zatu hawana Tofauti na Watoto Wa Kihindi, Kiarabu ,Kizungu,kichina n.k. Watatushangaa sana KUWA tulishindwa kulinda rasilimali zetu Kwa ajili ya wajati wao Ili washindane na Kizazi Cha Dunia Nzima .

Sina Imani na mikataba inayowekwa na Hawa watu wanaotumia Sheria na Katiba iliyopo kujinufaisha mana wanajua hakuna Wa kuwauliza na miaka 20 mbele Wengine watakua makaburuni ,hawana Cha kupoteza mana Katiba zinawalinda. Wamechoka kutorosha wanyama kutumia ndege na Sasa watatumia Meli kusafirisha mpka miamba na udongo WETU wenye rutuba watuachie udongo ngumu.

Sina Imani nao Kwani Tulipogundua Gesi tuliambiwa tutapata pesa nyingi mpaka patafunguliwa Akaunti maalumu Kwa ajili ya vizazi vijavyo.
Yako Wapi .? Badala yake tumerudi kwenye Kodi mpaka ya Majengo Kwa wapangaji Wa nyumba na vibanda vya kuza mchicha Barabarani kupitia Tanesco.
Walipouza Migodi kule Geita walituambia tutakua namba Moja kuuza dhahabu na tutapata pesa nyingi na uchumi utapaa. Watu waliporwa Ardhi Yao na Wengine kupoteza maisha . Walionufaika ni watawala. Wawekezaji wanajua KUWA watanzania ni wabinafsi hivyo Hata ikiundwa Tume kuchunguza inahongwa kirahisi na kutoa ripoti ya uongo .
Watatuibia watakwenda kujenga Dubai. Bora tuibiwe na wanyiramba,wachaga,Wahaya ,Wazaramo, Wamakonde,wasubi, wajita,waluguru ,wagogo n.k wajenge Tanzania na mzunguko utawafikia Wengine .
Viwanda vya sementi vipo Zaidi ya Saba vikubwa na tuliambiwa sementi itashuka Bei mpaka Elfu 6 lakini inapaa tuu Tofauti na ile inayotoka Nje.

Viwanda vingi vikauzwa tukaambiwa vitafufuliwa na wawekezaji . Matokeo yake tunaagiza mpaka majembe ya mkono,makwanja ya kufyeka , Mapanga na visu kutoka china wakati Babu zetu walitengeneza majembe na mapanga na mikuki Kwa kuyeyusha vyuma.

Tumelogwa na Wanasiasa Kwa manufaa Yao.
Du wee jamaa umejazi mavitu kichwani yasio kichwa wala miguu ebu pungu chuki na angalia jambo kwa upana wake na iweke huru akili yako
 
Huu mjadala wa kwamba bandari ya Dar imeuzwa na nyingine zote zimeuzwa unakolezwa sana.

Tuondoe u-CCM na u-CHADEMA naomba kueleweshwa kua bandari imeuzwaje, kwanini nataka kueleweshwa.

Kabla ya bunge kupitisha na kuridhia mkataba wa serikali kuingia ubia na Dubai maneno yalikua mengi kua bandari imeuzwa lakini baada ya kumsikiliza Mbarawa naona mnazidi kunichanganya.

Serikali wamesema suala la ulinzi na usalama wa bandari bado utabaki chini ya vyombo vya ulinzi vya nchi yetu Tanzania, swali je hatuviamini vyombo vyetu?

Dubai wanapewa baadhi ya gates wafanye operation, kama sijaelewa nimesikia kua kwenye ubia huu hawa Dubai hawapewi bandari nzima wanapewa baadhi ya gates lkn nyingne wataendelea kufanya kazi TPA je hapa bandari imeuzwaje.

Mamlaka za serikali zote zitakuepo bandarini, serikali imesema mamlaka zote za serikali kama TPA na TRA zitaendelea ku oparate bandarini yaani hakuna kitu watafanya bila TRA na TPA kujua in short ni kuwa TRA itaendelea kukusanya cha kwao na TPA nao halikadhalika, tuelewesheni hapa tumepigwaje.

Ajira, serikali wanasema ajira za Watanzania zilizopo bandarini zitalindwa na kutaongezeka nyingine ubaya wa hawa Dubai uko wapi na hapa tutapigwaje?

Serikali inasema imeamua kufanya ubia ili kuongeza ufanisi katika utendaji, hapa ni kupunguza siku za meli kutia nanga kutoka siku nne mpaka wastani wa siku moja na nusu.

Sisi kama nchi tumepambana tumeshindwa ku oparate kwa ufanisi wa kimataifa kwa muda mrefu tumeamua kutafta watu wengine watuongezee technology tupate Zaidi nao wapate.

Wamesema kama kutatokea mgogoro Dubai na Tanzania watakaa meza moja kuzungumza, sheria zitakazotumika kumaliza mgogoro ni za Tanzania na sehemu ya kufanyia usuluhishi imetajwa tunaogopa nini, tufafanulieni?

Wamesema hawa jamaa kama wakiweza kufanya vizuri huko mbeleni watapewa bandari nyingine wakishindwa sisi Tanzania tunaweza kumpa mtu mwingine, hapa shida iko wapi?

Tunaomba tupewe darasa la bure wenzetu kua tutapigwaje huko mbeleni.
Bureeeeee kabisa milelee
 
Huu mjadala wa kwamba bandari ya Dar imeuzwa na nyingine zote zimeuzwa unakolezwa sana.

Tuondoe u-CCM na u-CHADEMA naomba kueleweshwa kua bandari imeuzwaje, kwanini nataka kueleweshwa.

Kabla ya bunge kupitisha na kuridhia mkataba wa serikali kuingia ubia na Dubai maneno yalikua mengi kua bandari imeuzwa lakini baada ya kumsikiliza Mbarawa naona mnazidi kunichanganya.

Serikali wamesema suala la ulinzi na usalama wa bandari bado utabaki chini ya vyombo vya ulinzi vya nchi yetu Tanzania, swali je hatuviamini vyombo vyetu?

Dubai wanapewa baadhi ya gates wafanye operation, kama sijaelewa nimesikia kua kwenye ubia huu hawa Dubai hawapewi bandari nzima wanapewa baadhi ya gates lkn nyingne wataendelea kufanya kazi TPA je hapa bandari imeuzwaje.

Mamlaka za serikali zote zitakuepo bandarini, serikali imesema mamlaka zote za serikali kama TPA na TRA zitaendelea ku oparate bandarini yaani hakuna kitu watafanya bila TRA na TPA kujua in short ni kuwa TRA itaendelea kukusanya cha kwao na TPA nao halikadhalika, tuelewesheni hapa tumepigwaje.

Ajira, serikali wanasema ajira za Watanzania zilizopo bandarini zitalindwa na kutaongezeka nyingine ubaya wa hawa Dubai uko wapi na hapa tutapigwaje?

Serikali inasema imeamua kufanya ubia ili kuongeza ufanisi katika utendaji, hapa ni kupunguza siku za meli kutia nanga kutoka siku nne mpaka wastani wa siku moja na nusu.

Sisi kama nchi tumepambana tumeshindwa ku oparate kwa ufanisi wa kimataifa kwa muda mrefu tumeamua kutafta watu wengine watuongezee technology tupate Zaidi nao wapate.

Wamesema kama kutatokea mgogoro Dubai na Tanzania watakaa meza moja kuzungumza, sheria zitakazotumika kumaliza mgogoro ni za Tanzania na sehemu ya kufanyia usuluhishi imetajwa tunaogopa nini, tufafanulieni?

Wamesema hawa jamaa kama wakiweza kufanya vizuri huko mbeleni watapewa bandari nyingine wakishindwa sisi Tanzania tunaweza kumpa mtu mwingine, hapa shida iko wapi?

Tunaomba tupewe darasa la bure wenzetu kua tutapigwaje huko mbeleni.
Wamepewa, hawajauziwa
 
View attachment 2653322

Hiyo Ro-Ro inapokea meli kama hizo, biashara ikichanganya hapo kwa nchi zinazotumia hiyo bandari. Kitengo icho tu kinaweza tengeneza ajira 200-500 mpya za madereva kama lengo ni kuitoa meli in 24 hours.

Hayo magari yanashushwa na watu, ndio maana kwa kufikiria future increase in volumes; kabla ya bandari kuchanganya wana jenga multi storey car park. Ni madereva kibao wanapata ajira.

Hiyo inaenda kuuwa biashara ya private car yards na storage charges za kishamba.

Mtu anaepinga huo mradi ajaipata bado bigger picture; ni mradi unaoenda badili namna ya kuendesha bandari kabisa.

Ndio maana wanafikiria na mbele kuziboresha Port zingine za kanda ya ziwa zinazotumiwa na nchi nyingine. Kuongeza inflow na outflow ya shipping inventory za aina zote ili volumes za kutoa mizigo ziwe kubwa pia.

Mimi sio shabiki wa mama vileee; ila hapa kaupiga mwingi. Kilichobaki ni kupata good terms.

Wanaiongelea mkataba haujakaa vzuri law maslahi na usalama wa nchi sio hayo maoni yako mbwiga wewe.
 
Je, wewe umeusoma huo Mkataba wa Ushirikiano, unaitwa "Intergovernmental Agreement (IGA)" ambao Mbarawa alisaini kwa idhini ya Rais SSH?


Kama vinaamika iweje Merelani Serikali ya Awamu ya Tano ilijenga ukuta! Hujasikia tuhuma za wanyama kama Twiga kusafirisha wakiwa hai?




Una ushahidi wowote wa aina hiyo ya Mkataba ambao umetusaidia kiuchumi?


Usome huo Mkataba "Article 20"


Soma huo Mkataba "Article 5"

Katumiwa kiasi tu kwny mpesa yupo tayr kusaliti
 
Huu mjadala wa kwamba bandari ya Dar imeuzwa na nyingine zote zimeuzwa unakolezwa sana.

Tuondoe u-CCM na u-CHADEMA naomba kueleweshwa kua bandari imeuzwaje, kwanini nataka kueleweshwa.

Kabla ya bunge kupitisha na kuridhia mkataba wa serikali kuingia ubia na Dubai maneno yalikua mengi kua bandari imeuzwa lakini baada ya kumsikiliza Mbarawa naona mnazidi kunichanganya.

Serikali wamesema suala la ulinzi na usalama wa bandari bado utabaki chini ya vyombo vya ulinzi vya nchi yetu Tanzania, swali je hatuviamini vyombo vyetu?

Dubai wanapewa baadhi ya gates wafanye operation, kama sijaelewa nimesikia kua kwenye ubia huu hawa Dubai hawapewi bandari nzima wanapewa baadhi ya gates lkn nyingne wataendelea kufanya kazi TPA je hapa bandari imeuzwaje.

Mamlaka za serikali zote zitakuepo bandarini, serikali imesema mamlaka zote za serikali kama TPA na TRA zitaendelea ku oparate bandarini yaani hakuna kitu watafanya bila TRA na TPA kujua in short ni kuwa TRA itaendelea kukusanya cha kwao na TPA nao halikadhalika, tuelewesheni hapa tumepigwaje.

Ajira, serikali wanasema ajira za Watanzania zilizopo bandarini zitalindwa na kutaongezeka nyingine ubaya wa hawa Dubai uko wapi na hapa tutapigwaje?

Serikali inasema imeamua kufanya ubia ili kuongeza ufanisi katika utendaji, hapa ni kupunguza siku za meli kutia nanga kutoka siku nne mpaka wastani wa siku moja na nusu.

Sisi kama nchi tumepambana tumeshindwa ku oparate kwa ufanisi wa kimataifa kwa muda mrefu tumeamua kutafta watu wengine watuongezee technology tupate Zaidi nao wapate.

Wamesema kama kutatokea mgogoro Dubai na Tanzania watakaa meza moja kuzungumza, sheria zitakazotumika kumaliza mgogoro ni za Tanzania na sehemu ya kufanyia usuluhishi imetajwa tunaogopa nini, tufafanulieni?

Wamesema hawa jamaa kama wakiweza kufanya vizuri huko mbeleni watapewa bandari nyingine wakishindwa sisi Tanzania tunaweza kumpa mtu mwingine, hapa shida iko wapi?

Tunaomba tupewe darasa la bure wenzetu kua tutapigwaje huko mbeleni.
Bandari kwa kweli haijauzwa na wala haitauzwa ILA tumewapa bure DP world kwa kuwa wenye DP world ni wajomba zetu.

Wewe utadhubutu kumuuzia kitu mjomba wako, kweli?
 
Back
Top Bottom