Mnaosema bandari imeuzwa tunaomba mtueleweshe imeuzwaje, na kwa kiasi gani

Mnaosema bandari imeuzwa tunaomba mtueleweshe imeuzwaje, na kwa kiasi gani

Utakuja kuelewa ukiwa umechelewa sana
 
Waje hapa watuambie sema watz kwa kufuata mkumbo bana ukute hat kufata mzigo bandarini hajawahi
 
View attachment 2653322

Hiyo Ro-Ro inapokea meli kama hizo, biashara ikichanganya hapo kwa nchi zinazotumia hiyo bandari. Kitengo icho tu kinaweza tengeneza ajira 200-500 mpya za madereva kama lengo ni kuitoa meli in 24 hours.

Hayo magari yanashushwa na watu, ndio maana kwa kufikiria future increase in volumes; kabla ya bandari kuchanganya wana jenga multi storey car park. Ni madereva kibao wanapata ajira.

Hiyo inaenda kuuwa biashara ya private car yards na storage charges za kishamba.

Mtu anaepinga huo mradi ajaipata bado bigger picture; ni mradi unaoenda badili namna ya kuendesha bandari kabisa.

Ndio maana wanafikiria na mbele kuziboresha Port zingine za kanda ya ziwa zinazotumiwa na nchi nyingine. Kuongeza inflow na outflow ya shipping inventory za aina zote ili volumes za kutoa mizigo ziwe kubwa pia.

Mimi sio shabiki wa mama vileee; ila hapa kaupiga mwingi. Kilichobaki ni kupata good terms.
Kwa hiyo hayo yote unayotuonyesha ww umeamin na unaamin watu milion 63 hawayawezi kabisa hata ww wakitrain ktk hiyo KAZI watakuwa wanatwanga maji kwenye kinu ndivyo unavyoamin na wala hakuna sababu ya vijana kujengewa uwezo.kweli Afrika na Waafrika ni wa AJABU sana.yaan ww unaamin nchi nzima tumefel mpaka zero.lkn ukumbuke huo ni mpaka wa nchi.Naamin kuna kitu kitatokea wala siku sio nyingi.
 
Kwa hiyo hayo yote unayotuonyesha ww umeamin na unaamin watu milion 63 hawayawezi kabisa hata ww wakitrain ktk hiyo KAZI watakuwa wanatwanga maji kwenye kinu ndivyo unavyoamin na wala hakuna sababu ya vijana kujengewa uwezo.kweli Afrika na Waafrika ni wa AJABU sana.yaan ww unaamin nchi nzima tumefel mpaka zero.lkn ukumbuke huo ni mpaka wa nchi.Naamin kuna kitu kitatokea wala siku sio nyingi.
Tumeshapeana miaka mingi ya kujaribu, inatosha; muda wa kukubali matokeo. Tuwape kazi wenye uwezo watuongoze kwa muda.

Ma bank leo yanatoa faida kwa sababu wamefundishwa kazi na wageni kwa miaka ishirini, wamesha zoea culture ya kigeni ya mafanikio waliyopewa kwenye utendaji, kuna fiscal discipline.

Matunda yanaonekana kwa kukua kwa huduma zao na capital reserves.

Tukubali matokeo na kwengineko kunahitajika huo utaratibu; hasa eneo kama bandari wapewe wenye uwezo kubadili culture ya kufanya kazi.
 
Huu mjadala wa kwamba bandari ya Dar imeuzwa na nyingine zote zimeuzwa unakolezwa sana.

Tuondoe u-CCM na u-CHADEMA naomba kueleweshwa kua bandari imeuzwaje, kwanini nataka kueleweshwa.

Kabla ya bunge kupitisha na kuridhia mkataba wa serikali kuingia ubia na Dubai maneno yalikua mengi kua bandari imeuzwa lakini baada ya kumsikiliza Mbarawa naona mnazidi kunichanganya.

Serikali wamesema suala la ulinzi na usalama wa bandari bado utabaki chini ya vyombo vya ulinzi vya nchi yetu Tanzania, swali je hatuviamini vyombo vyetu?

Dubai wanapewa baadhi ya gates wafanye operation, kama sijaelewa nimesikia kua kwenye ubia huu hawa Dubai hawapewi bandari nzima wanapewa baadhi ya gates lkn nyingne wataendelea kufanya kazi TPA je hapa bandari imeuzwaje.

Mamlaka za serikali zote zitakuepo bandarini, serikali imesema mamlaka zote za serikali kama TPA na TRA zitaendelea ku oparate bandarini yaani hakuna kitu watafanya bila TRA na TPA kujua in short ni kuwa TRA itaendelea kukusanya cha kwao na TPA nao halikadhalika, tuelewesheni hapa tumepigwaje.

Ajira, serikali wanasema ajira za Watanzania zilizopo bandarini zitalindwa na kutaongezeka nyingine ubaya wa hawa Dubai uko wapi na hapa tutapigwaje?

Serikali inasema imeamua kufanya ubia ili kuongeza ufanisi katika utendaji, hapa ni kupunguza siku za meli kutia nanga kutoka siku nne mpaka wastani wa siku moja na nusu.

Sisi kama nchi tumepambana tumeshindwa ku oparate kwa ufanisi wa kimataifa kwa muda mrefu tumeamua kutafta watu wengine watuongezee technology tupate Zaidi nao wapate.

Wamesema kama kutatokea mgogoro Dubai na Tanzania watakaa meza moja kuzungumza, sheria zitakazotumika kumaliza mgogoro ni za Tanzania na sehemu ya kufanyia usuluhishi imetajwa tunaogopa nini, tufafanulieni?

Wamesema hawa jamaa kama wakiweza kufanya vizuri huko mbeleni watapewa bandari nyingine wakishindwa sisi Tanzania tunaweza kumpa mtu mwingine, hapa shida iko wapi?

Tunaomba tupewe darasa la bure wenzetu kua tutapigwaje huko mbeleni.
Hawawezi kuonesha. Hawa ni watu wenye maslahi binafsi ambao wanajua uongozi ukinyooka hapatakuwa na wizi pale bandarini na kupitisha mizigo kiholela kutakwisha.
 
Huu mjadala wa kwamba bandari ya Dar imeuzwa na nyingine zote zimeuzwa unakolezwa sana.

Tuondoe u-CCM na u-CHADEMA naomba kueleweshwa kua bandari imeuzwaje, kwanini nataka kueleweshwa.

Kabla ya bunge kupitisha na kuridhia mkataba wa serikali kuingia ubia na Dubai maneno yalikua mengi kua bandari imeuzwa lakini baada ya kumsikiliza Mbarawa naona mnazidi kunichanganya.

Serikali wamesema suala la ulinzi na usalama wa bandari bado utabaki chini ya vyombo vya ulinzi vya nchi yetu Tanzania, swali je hatuviamini vyombo vyetu?

Dubai wanapewa baadhi ya gates wafanye operation, kama sijaelewa nimesikia kua kwenye ubia huu hawa Dubai hawapewi bandari nzima wanapewa baadhi ya gates lkn nyingne wataendelea kufanya kazi TPA je hapa bandari imeuzwaje.

Mamlaka za serikali zote zitakuepo bandarini, serikali imesema mamlaka zote za serikali kama TPA na TRA zitaendelea ku oparate bandarini yaani hakuna kitu watafanya bila TRA na TPA kujua in short ni kuwa TRA itaendelea kukusanya cha kwao na TPA nao halikadhalika, tuelewesheni hapa tumepigwaje.

Ajira, serikali wanasema ajira za Watanzania zilizopo bandarini zitalindwa na kutaongezeka nyingine ubaya wa hawa Dubai uko wapi na hapa tutapigwaje?

Serikali inasema imeamua kufanya ubia ili kuongeza ufanisi katika utendaji, hapa ni kupunguza siku za meli kutia nanga kutoka siku nne mpaka wastani wa siku moja na nusu.

Sisi kama nchi tumepambana tumeshindwa ku oparate kwa ufanisi wa kimataifa kwa muda mrefu tumeamua kutafta watu wengine watuongezee technology tupate Zaidi nao wapate.

Wamesema kama kutatokea mgogoro Dubai na Tanzania watakaa meza moja kuzungumza, sheria zitakazotumika kumaliza mgogoro ni za Tanzania na sehemu ya kufanyia usuluhishi imetajwa tunaogopa nini, tufafanulieni?

Wamesema hawa jamaa kama wakiweza kufanya vizuri huko mbeleni watapewa bandari nyingine wakishindwa sisi Tanzania tunaweza kumpa mtu mwingine, hapa shida iko wapi?

Tunaomba tupewe darasa la bure wenzetu kua tutapigwaje huko mbeleni.
Swali hiyo biashara itafanyika kwa muda gani tuanzie hapo. Making social inferences: means understanding information that is inferred or not directly stated. It involves observing a situation, to figure out what has happened or what is happening.
 
Huyo dada akiminya hapo aliposhikilia endepo huo mlango haujafungwa na ufunguo, akabonyeza chakufungulia mlango bila kujua ama kwa makusudi wote walio weka sehemu kubwa ya makalio yao kwenye huo mlango watadondoka huo ni mfano mzuri kuhusu hili jambo la DPWORLD endapo tukawachia CCM ambao muda mwingi hujitoa ufahumu,(unyumbu), mimi nina km mieze 3 naandika kuhusu usiyo yatarajia endapo unajua ukiyapuuza hutengeneza janga/majanga ambayo katu huwezi kuyatatua. Uncertainty and uncertainty inherent tatizo CCM wanadhani wanauwezo wa kufikiri kuliko wengine wote
 
Tumeshapeana miaka mingi ya kujaribu, inatosha; muda wa kukubali matokeo. Tuwape kazi wenye uwezo watuongoze kwa muda.

Ma bank leo yanatoa faida kwa sababu wamefundishwa kazi na wageni kwa miaka ishirini, wamesha zoea culture ya kigeni ya mafanikio waliyopewa kwenye utendaji, kuna fiscal discipline.

Matunda yanaonekana kwa kukua kwa huduma zao na capital reserves.

Tukubali matokeo na kwengineko kunahitajika huo utaratibu; hasa eneo kama bandari wapewe wenye uwezo kubadili culture ya kufanya kazi.
Vipi kuhusu matimizi. Je yafaa tusaidiwe pia ?
 
Kwa kuwa mikataba ya utekelezaji itakuwa ni siri kwenye hiyo mikataba ndiko tutakakokuwa tunaliwa.Hata kwenye miswada inayojadiliwa na kupitishwa na bunge shida inaanza pale ikifika serikali na waziri muhusika anapoandalia kanuni zake
 
Kwa mujibu wa matokeo ya sensa ya mwaka 2022 Tanzania inasemekana ina zaidi ya watu milioni 60 hivi kati watanzania wote hao tumeshindwa kupata watu kadhaa ambao wanaweza wakawa trained na hao Dp world wakaweza kusimamia bandari zetu kama hao waarabu badala ya kuwapa mazima?
 
Back
Top Bottom