Mnaosema mapenzi ni pesa "hampendwi!!". Tazama huyu aliyeyapatia mapenzi

Mnaosema mapenzi ni pesa "hampendwi!!". Tazama huyu aliyeyapatia mapenzi

BASED PLUG usicheke, hayo ndiyo malavi-niuwe.
Unajua nimecheka sana mkuu, kwa sababu Afrika mzungu asingepatakasa pangekuwa sehemu ya ajabu sana. Wanawake wa zamani wamepitia mengi sana, ulikuwa hata ukiwaona hawana nuru kabisa, ndiyo maana wa siku hizi wamenawiri yaani karibu kila mwanamke utakayekutana naye lazima anakuwa anavutia hata kama umri wa ujana umeanza kumpiga mkono, kwa sababu wanapata treatment nzuri kutokana na ulimwengu kuelimika.
 
Back
Top Bottom