Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Acha matusi Babu feminist nani?Feminists mlishatia nanga
Nina de libolo dushe abdallah kichwa wazi shika adabu. .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha matusi Babu feminist nani?Feminists mlishatia nanga
Mapenzi ya dhati yamejaa upuuzi. Mfano kunyonya kamasi za mpenzi wako, kusafisha masikio ya mwenza kwa ulimi, n.kUpuuzi huo
UuuuuuuhhhMapenzi ya dhati yamejaa upuuzi. Mfano kunyonya kamasi za mpenzi wako, kusafisha masikio ya mwenza kwa ulimi, n.k
KabisaUpuuzi huo
Ndiyo hivyo mkuu. Kama huwezi kufanya hayo ujue unaidanganya nafsi yako kwa huyo uliye nayeUuuuuuuhhh
Shoga umerudi kwa Id yako ya zamani tena?.Kabisa
Ndiyo mpenz,niliipumzisha kidogoShoga umerudi kwa Id yako ya zamani tena?.
Sikuwezi kwa heka heka 😆 😆 😆 😆Ndiyo mpenz,niliipumzisha kidogo
Kabisa cute....Kumbe inawezekana ee
Ukiona huku wanakuzoea sana unaruka kivingine hii imekaa njemaKabisa cute....
Ukifunga pm, umefunga bahati - by mhengaPm imefungwa
Umeona ee,ndo dawaUkiona huku wanakuzoea sana unaruka kivingine hii imekaa njema
Saut kapeleka wapYan hapo unakuta hata hyo mama hapendi kubeba vitu vyote hvyo ni vile tu Hana sauti kwa mmewe
Wanafundika wangali wadadaEnzi hizo wamama wanfundwa na kufundika
Unajua nimecheka sana mkuu, kwa sababu Afrika mzungu asingepatakasa pangekuwa sehemu ya ajabu sana. Wanawake wa zamani wamepitia mengi sana, ulikuwa hata ukiwaona hawana nuru kabisa, ndiyo maana wa siku hizi wamenawiri yaani karibu kila mwanamke utakayekutana naye lazima anakuwa anavutia hata kama umri wa ujana umeanza kumpiga mkono, kwa sababu wanapata treatment nzuri kutokana na ulimwengu kuelimika.BASED PLUG usicheke, hayo ndiyo malavi-niuwe.