Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
🤣🤣🤣 Hujaachaga kupendesha watu tu?Unafaa kupewa limbwata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Hujaachaga kupendesha watu tu?Unafaa kupewa limbwata
Single Mothers kujaa kila kona za mitaa ndiyo Ke kuwa na na nuru zinazong'aa [emoji848]Unajua nimecheka sana mkuu, kwa sababu Afrika mzungu asingepatakasa pangekuwa sehemu ya ajabu sana. Wanawake wa zamani wamepitia mengi sana, ulikuwa hata ukiwaona hawana nuru kabisa, ndiyo maana wa siku hizi wamenawiri yaani karibu kila mwanamke utakayekutana naye lazima anakuwa anavutia hata kama umri wa ujana umeanza kumpiga mkono, kwa sababu wanapata treatment nzuri kutokana na ulimwengu kuelimika.
Tunawaza mgegedo tu sio?Shida mkiitwa,nyie mnawaza vyengine
HaswaaaTunawaza mgegedo tu sio?
Yeah mimi ukiniita mpenzi maana yake unataka ukuni tuHaswaaa
Mm kumuita mpnz mwanaume ni rare kwanza siweziYeah mimi ukiniita mpenzi maana yake unataka ukuni tu
Mkishaanza kula hela zetu automatic mnaanzaga kutuitaga mara sijui "mpenzi" "my" "chibaba wangu" "dear"Mm kumuita mpnz mwanaume ni rare kwanza siwezi
Eti chibaba 😆Mkishaanza kula hela zetu automatic mnaanzaga kutuitaga mara sijui "mpenzi" "my" "chibaba wangu" "dear"
🤣🤣🤣 tukiwa tunapigwa vizinga ndo mnatuita hivyo siku hiziEti chibaba 😆
Nishaacha issue inayosumbua ni kumpenda mtu halafu yeye asinitake sasa mizimu iliwekwa kwa kazi gani..?🤣🤣🤣 Hujaachaga kupendesha watu tu?
Kwaajili ya kukuombea heri.Nishaacha issue inayosumbua ni kumpenda mtu halafu yeye asinitake sasa mizimu iliwekwa kwa kazi gani..?
Ndo heri zenyewe hizoKwaajili ya kukuombea heri.
Hapana, hizo sio heriNdo heri zenyewe hizo
Umekuwa muhubiri sasaHapana, hizo sio heri