Mnaosema mapenzi ni pesa "hampendwi!!". Tazama huyu aliyeyapatia mapenzi

Huo Ni utumwa wa kiwango Cha pro max Wala sio mapenzi.Afu usikute hiyo picha iliratibiwa tu Haina uhalisia wowote.
 
Single Mothers kujaa kila kona za mitaa ndiyo Ke kuwa na na nuru zinazong'aa [emoji848]
 
Nae ana msala wake kuhakikisha pesa ipo, na wife anajua hilo anasubiri tu zamu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…