Mnaosifia Simba kuwa ni team kubwa Afrika hamjui Mpira. Mnaijua Atletico Madrid ya Spain?

Mnaosifia Simba kuwa ni team kubwa Afrika hamjui Mpira. Mnaijua Atletico Madrid ya Spain?

Nyuzi Nyingi sana zinaandikwa kuisifia Simba eti ni kubwa Afrika na jana imeonyesha kua ni giant😂😂.

Machizi kweli nyie na kama unasoma huu uzi una hilo wazo huo ni uchizi pia. Hivi Team gani ulaya haiogopi Atletico hii ni Moja ya Team ngumu sana ulaya na Match zake hua zakuvutia sana kuanzia ndani ya uwanja hadi kwa makocha.

Ila nani hajui Atletico pamoja na ugumu wake hua inakufa na kifo ni kilekile kama cha simba hua ni moja Bila au 2-1 lakini wanatoka.

Na ukienda ulaya ukasema Team kubwa ulaya Atletico huwez kuiweka meza moja na R.madrid, Barca, Chelsea, Liverpool, Inter milan, Ac Milan, Bayern na Man United.

Ila ukweli Atletico Madrid hua ni moja ya Team ngumu na kila team hua inaiogopa lakini hua inatolewa. So simba ni kama Atletico Madrid tu.

Sema tunaoisifia na kusema ni giant sijui tunaamaanisha nini niseme hatujui Mpira. Moja wao Genta nani yule ndio maana yupo busy na soka la Bongo.
TUNAONGELEA AFRICA....
Hayo ya Spain au Ulaya hayatuhusu...
Simba ni kubwa.
 
Huo ukubwa Simba haijipi yenyewe bali imepewa na mamlaka zinazo simamia mpira barani Afrika yaani CAF na ndio maana wameiweka nafasi ya 9 kwa ubora.

Ww kama unaona haisitairi nenda kawambie CAF waitoe ili waiweke timu yako unayo itaka ww, kama hauwezi basi kaa kimia maana kelele zako hazitabadilisha chochote.
Kuna kitu kama umefatilia kwa makini CAF wamekuja kufaham currently Tanzania wanapenda sana Mpira yawezekana kuliko hata huko kanda zingine sa wanachokifanya siku hizi kwenye kila kitu utakuta Team ya Tanzania.
Mfungaji wa goli bora lazima team ya Bongo awepo coz wanataka fanbase wengi kwenye platforms zao za social media coz wabongo tupo vizur sana kwenye issue za mitandao ya kijamii.
Kama unapinga angali hata Kuna Journalist mmoja anaitwa MickyJr huyu siku hizi huwez kosa taarfa ya soka ya Team za Tz,na zote ni Simba na Yanga tu na hizi zimempa Followers wengi sana na yeye kajua hilo daily lazima azizungumzie.
So hilo linatumika ki biashara mkuu zinduka.
 
Nyuzi Nyingi sana zinaandikwa kuisifia Simba eti ni kubwa Afrika na jana imeonyesha kua ni giant[emoji23][emoji23].

Machizi kweli nyie na kama unasoma huu uzi una hilo wazo huo ni uchizi pia. Hivi Team gani ulaya haiogopi Atletico hii ni Moja ya Team ngumu sana ulaya na Match zake hua zakuvutia sana kuanzia ndani ya uwanja hadi kwa makocha.

Ila nani hajui Atletico pamoja na ugumu wake hua inakufa na kifo ni kilekile kama cha simba hua ni moja Bila au 2-1 lakini wanatoka.

Na ukienda ulaya ukasema Team kubwa ulaya Atletico huwez kuiweka meza moja na R.madrid, Barca, Chelsea, Liverpool, Inter milan, Ac Milan, Bayern na Man United.

Ila ukweli Atletico Madrid hua ni moja ya Team ngumu na kila team hua inaiogopa lakini hua inatolewa. So simba ni kama Atletico Madrid tu.

Sema tunaoisifia na kusema ni giant sijui tunaamaanisha nini niseme hatujui Mpira. Moja wao Genta nani yule ndio maana yupo busy na soka la Bongo.
Huna hoja chuki tu mjinga mmoja .
 
Huna hoja chuki tu mjinga mmoja .
Nimeona mtoa mada akijaribu kujibu jibu hoja ila naona angeanza kujiita yeye CHIZI.

Anaweka title ya UKUBWA wa timu kisha anazungumzia UGUMU wa Atletico Madrid, uchizi unaanzia hapa nadhani.
  • Atletico, unasema ni timu kubwa au ngumu?
  • Unazungumzia UGUMU au UKUBWA?

Simba, ni miongoni mwa timu 8 bora zilizobaki kwenye michuano ya KLABU BINGWA AFRICA, kama UGUMU, unazungumzia walishindwa CL wakaenda CC, sababu kuna waliotoka kabisa CL bila kwenda CC.

Atletico sio timu kubwa ulaya, Simba ni timu kubwa AFRICA.
 
Nyuzi Nyingi sana zinaandikwa kuisifia Simba eti ni kubwa Afrika na jana imeonyesha kua ni giant[emoji23][emoji23].

Machizi kweli nyie na kama unasoma huu uzi una hilo wazo huo ni uchizi pia. Hivi Team gani ulaya haiogopi Atletico hii ni Moja ya Team ngumu sana ulaya na Match zake hua zakuvutia sana kuanzia ndani ya uwanja hadi kwa makocha.

Ila nani hajui Atletico pamoja na ugumu wake hua inakufa na kifo ni kilekile kama cha simba hua ni moja Bila au 2-1 lakini wanatoka.

Na ukienda ulaya ukasema Team kubwa ulaya Atletico huwez kuiweka meza moja na R.madrid, Barca, Chelsea, Liverpool, Inter milan, Ac Milan, Bayern na Man United.

Ila ukweli Atletico Madrid hua ni moja ya Team ngumu na kila team hua inaiogopa lakini hua inatolewa. So simba ni kama Atletico Madrid tu.

Sema tunaoisifia na kusema ni giant sijui tunaamaanisha nini niseme hatujui Mpira. Moja wao Genta nani yule ndio maana yupo busy na soka la Bongo.
Timu kubwa Ni Yanga. Simba Ni timu ndogo!

Moyo wako utulie Sasa!

Sema watu wa Yanga hamjui namna ya kuipambania brand yenu badala yake mnaipambania Simba bila kujua mkidhani mnaishusha!

Simba[emoji123]
 
Kuna kitu kama umefatilia kwa makini CAF wamekuja kufaham currently Tanzania wanapenda sana Mpira yawezekana kuliko hata huko kanda zingine sa wanachokifanya siku hizi kwenye kila kitu utakuta Team ya Tanzania.
Mfungaji wa goli bora lazima team ya Bongo awepo coz wanataka fanbase wengi kwenye platforms zao za social media coz wabongo tupo vizur sana kwenye issue za mitandao ya kijamii.
Kama unapinga angali hata Kuna Journalist mmoja anaitwa MickyJr huyu siku hizi huwez kosa taarfa ya soka ya Team za Tz,na zote ni Simba na Yanga tu na hizi zimempa Followers wengi sana na yeye kajua hilo daily lazima azizungumzie.
So hilo linatumika ki biashara mkuu zinduka.
Kama linatumika kibiashara mbona timu yako utopolo haijawekwa kumi bora kama simba au utopolo haina mashabiki wengi kama simba?
Saa nyingine ushabiki unamfanya mtu kuwa mpumbavu.
 
Zilianza mashindano zaidi ya timu 70 zikabaki 8.

Kuna wakati lazima ufikiri kwanza ndiyo uongee!

Ila wengi humu hasa Utopolo kwa kukosa maarifa huongea kwanza halafu baadae ndiyo anafikir.
UEFA Zinaanzaga Team ngapi na Atletico hua inafika hadi wapi?
Lakini inabaki kua Team Ngumu sio kubwa.
 
Back
Top Bottom