ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Wanaume ni wale walioshiriki Klub bingwa na sio nyinyi kwenye kombe la maloosers.Next match Mtwara mkakomae na kina Namungo kimataifa wamebaki wanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume ni wale walioshiriki Klub bingwa na sio nyinyi kwenye kombe la maloosers.Next match Mtwara mkakomae na kina Namungo kimataifa wamebaki wanaume
sawa wakati sisi tunasafiri kwenda kucheza kombe la loser nyie mtakua mnafanya nini?Wanaume ni wale walioshiriki Klub bingwa na sio nyinyi kwenye kombe la maloosers.
TUNAONGELEA AFRICA....Nyuzi Nyingi sana zinaandikwa kuisifia Simba eti ni kubwa Afrika na jana imeonyesha kua ni giant😂😂.
Machizi kweli nyie na kama unasoma huu uzi una hilo wazo huo ni uchizi pia. Hivi Team gani ulaya haiogopi Atletico hii ni Moja ya Team ngumu sana ulaya na Match zake hua zakuvutia sana kuanzia ndani ya uwanja hadi kwa makocha.
Ila nani hajui Atletico pamoja na ugumu wake hua inakufa na kifo ni kilekile kama cha simba hua ni moja Bila au 2-1 lakini wanatoka.
Na ukienda ulaya ukasema Team kubwa ulaya Atletico huwez kuiweka meza moja na R.madrid, Barca, Chelsea, Liverpool, Inter milan, Ac Milan, Bayern na Man United.
Ila ukweli Atletico Madrid hua ni moja ya Team ngumu na kila team hua inaiogopa lakini hua inatolewa. So simba ni kama Atletico Madrid tu.
Sema tunaoisifia na kusema ni giant sijui tunaamaanisha nini niseme hatujui Mpira. Moja wao Genta nani yule ndio maana yupo busy na soka la Bongo.
Yawezekana Mi Baba ako pia hujui kwahio unasemea babu ako ana hasara!!Kama kweli we ni 1st born,baba ako ana hasara
Kombe la Robo karibuniWakukurupuka
Kama umesoma uzi wa mtu hana akili halaf uka reply bas na wewe huna akili.KAA CHINI, HUNA AKILI.
Kusafiri kwenda kucheza kombe la loosers ni sawa na kujilisha upepo.sawa wakati sisi tunasafiri kwenda kucheza kombe la loser nyie mtakua mnafanya nini?
Kuna kitu kama umefatilia kwa makini CAF wamekuja kufaham currently Tanzania wanapenda sana Mpira yawezekana kuliko hata huko kanda zingine sa wanachokifanya siku hizi kwenye kila kitu utakuta Team ya Tanzania.Huo ukubwa Simba haijipi yenyewe bali imepewa na mamlaka zinazo simamia mpira barani Afrika yaani CAF na ndio maana wameiweka nafasi ya 9 kwa ubora.
Ww kama unaona haisitairi nenda kawambie CAF waitoe ili waiweke timu yako unayo itaka ww, kama hauwezi basi kaa kimia maana kelele zako hazitabadilisha chochote.
Huna hoja chuki tu mjinga mmoja .Nyuzi Nyingi sana zinaandikwa kuisifia Simba eti ni kubwa Afrika na jana imeonyesha kua ni giant[emoji23][emoji23].
Machizi kweli nyie na kama unasoma huu uzi una hilo wazo huo ni uchizi pia. Hivi Team gani ulaya haiogopi Atletico hii ni Moja ya Team ngumu sana ulaya na Match zake hua zakuvutia sana kuanzia ndani ya uwanja hadi kwa makocha.
Ila nani hajui Atletico pamoja na ugumu wake hua inakufa na kifo ni kilekile kama cha simba hua ni moja Bila au 2-1 lakini wanatoka.
Na ukienda ulaya ukasema Team kubwa ulaya Atletico huwez kuiweka meza moja na R.madrid, Barca, Chelsea, Liverpool, Inter milan, Ac Milan, Bayern na Man United.
Ila ukweli Atletico Madrid hua ni moja ya Team ngumu na kila team hua inaiogopa lakini hua inatolewa. So simba ni kama Atletico Madrid tu.
Sema tunaoisifia na kusema ni giant sijui tunaamaanisha nini niseme hatujui Mpira. Moja wao Genta nani yule ndio maana yupo busy na soka la Bongo.
Nimeona mtoa mada akijaribu kujibu jibu hoja ila naona angeanza kujiita yeye CHIZI.Huna hoja chuki tu mjinga mmoja .
Timu kubwa Ni Yanga. Simba Ni timu ndogo!Nyuzi Nyingi sana zinaandikwa kuisifia Simba eti ni kubwa Afrika na jana imeonyesha kua ni giant[emoji23][emoji23].
Machizi kweli nyie na kama unasoma huu uzi una hilo wazo huo ni uchizi pia. Hivi Team gani ulaya haiogopi Atletico hii ni Moja ya Team ngumu sana ulaya na Match zake hua zakuvutia sana kuanzia ndani ya uwanja hadi kwa makocha.
Ila nani hajui Atletico pamoja na ugumu wake hua inakufa na kifo ni kilekile kama cha simba hua ni moja Bila au 2-1 lakini wanatoka.
Na ukienda ulaya ukasema Team kubwa ulaya Atletico huwez kuiweka meza moja na R.madrid, Barca, Chelsea, Liverpool, Inter milan, Ac Milan, Bayern na Man United.
Ila ukweli Atletico Madrid hua ni moja ya Team ngumu na kila team hua inaiogopa lakini hua inatolewa. So simba ni kama Atletico Madrid tu.
Sema tunaoisifia na kusema ni giant sijui tunaamaanisha nini niseme hatujui Mpira. Moja wao Genta nani yule ndio maana yupo busy na soka la Bongo.
Zilianza mashindano zaidi ya timu 70 zikabaki 8.Washatoka washatoka sio cha u giant.
Kwani Spain ipo Afrika? 😁😁😁Mnaosifia Simba kua ni team kubwa Afrika Hamjui Mpira. Mnaijua Atletico Madrid ya Spain?
Kama linatumika kibiashara mbona timu yako utopolo haijawekwa kumi bora kama simba au utopolo haina mashabiki wengi kama simba?Kuna kitu kama umefatilia kwa makini CAF wamekuja kufaham currently Tanzania wanapenda sana Mpira yawezekana kuliko hata huko kanda zingine sa wanachokifanya siku hizi kwenye kila kitu utakuta Team ya Tanzania.
Mfungaji wa goli bora lazima team ya Bongo awepo coz wanataka fanbase wengi kwenye platforms zao za social media coz wabongo tupo vizur sana kwenye issue za mitandao ya kijamii.
Kama unapinga angali hata Kuna Journalist mmoja anaitwa MickyJr huyu siku hizi huwez kosa taarfa ya soka ya Team za Tz,na zote ni Simba na Yanga tu na hizi zimempa Followers wengi sana na yeye kajua hilo daily lazima azizungumzie.
So hilo linatumika ki biashara mkuu zinduka.
Mjinga umekuja kureply kwenye uzi wa mjinga mwenzako vizur sana.Huna hoja chuki tu mjinga mmoja .
Simba ni moja ya Team Ngumu kimataifa sio kubwa OVA.Weka hitimisho tuelewe basi,tuache kuisifia simba kama timu kubwa bali ni timu ngumu au atletico madrid..
UEFA Zinaanzaga Team ngapi na Atletico hua inafika hadi wapi?Zilianza mashindano zaidi ya timu 70 zikabaki 8.
Kuna wakati lazima ufikiri kwanza ndiyo uongee!
Ila wengi humu hasa Utopolo kwa kukosa maarifa huongea kwanza halafu baadae ndiyo anafikir.